Babu ni Barcelona na Michelle ni Lionel Messi.
Ha ha ha hili pose la Kisharo b mambo vipi? long time. Hongereni nasikia Preta ana Mapacha.
mchezaji bora duniani,mwenye akili na kasi ya ajabu kwenye mechi na mwenye uwezo wa kufunga magoli ya kutosha.....:bange:
Mh! Wivu sina ila Roho inauma!...
Na uzuri wako una-Post Via Mobile..
Afu sikumbuki kama nlishakukagua wewe. Hebu ukuje huku tudumishe mila.
Anayeichezea timu imara na yenye hshima Barcelona a.k.a babu..........njoo nichezee mama, ucheze kwa raha zako, ufunge magoli utakavyo, idadi unayoitaka na kwa style uitakayo pia.
Naona kazi yako leo ni kufanya sensa tu. Mwisho wa siku utakonkludi........
Unaona sasa hapo kwenye red? unaanza kufichua siri yetu?
Afu anayemsomea mwenzie ni nani, babu au bibi?
Swahiba marahaba nakumiss hadi najichukia hili kaburi hili sijuiHaya makaburi hayajawahi kumwacha mtu salama. Shikamo swahiba...
December zilizopita ulinitenga ngoja tuone inayokujaDecember sijui kwanini haifiki...
Yani hili kaburi maiti mpk fuvu lilishaoza