Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa hili
MUNGU awabariki kabla hamjaanza kusoma uzi huu
Unajua hapa dunian kuna baadhi ya mambo unaweza usiamin kabisa kama kweli ni wewe au ni mwingine
Na unaweza ukabaki unajiuliza jee nimewezaje aisee
Bado siamin kabisa kama kweli toka kwaresma ianze ni siku moja tu ambayo nilikula mchana nayo ni juzi jumatatu
Yaan nimefunga mpaka najishangaa nakulaga saa 12-12 kesho yake
Licha ya kanisa kuruhusu kunywa maji mchana lakin mimi nimekataa na nimeamua kulipinga kanisa kuhusu hilo la kunywa maji
Mimi nimeamua tu kufuaata maneno ya MUNGU mwenyewe aliyesema RARUEN MIOYO YENU, NIRUDIEN MIMI KWA KUFUNGA KUSALI KWA KULIA NA KUOMBOLEZA
ni ajabu sana saiz nakuwa naamka saa nane usiku nasali mpaka saa tisa
Ni ajabu sana aisee
Yaan hata ndoto zangu kwa sasa naona zimebadilika kabisa sioti tena nikikimbizwa na Mbwa, simba na majoka
Kwa sasa naota nikiwa nimepanda farasi na nikiwa naona njiwa
Utukufu una MUNGU PEKEE
.HOSANA JUU MBIGUN BWANA MUNGU WA MAJESHI MBIGU NA DUNIA ZIMEJAA UTUKUFU WAKO
HOSANA JUU MBIGUNI
NI WEWE ULITANDAZA NCHI JUU YA MAJI
NI WEWE UTENDAYE MAAJABU MAKUU
NI WEWE ULIYEFANYA MBIGU KWA FAHAMU ZAKO
NAKUSHUKURU MUNGU WA MBIGU KWA KUNIBADILI
ASANTE
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
MUNGU awabariki kabla hamjaanza kusoma uzi huu
Unajua hapa dunian kuna baadhi ya mambo unaweza usiamin kabisa kama kweli ni wewe au ni mwingine
Na unaweza ukabaki unajiuliza jee nimewezaje aisee
Bado siamin kabisa kama kweli toka kwaresma ianze ni siku moja tu ambayo nilikula mchana nayo ni juzi jumatatu
Yaan nimefunga mpaka najishangaa nakulaga saa 12-12 kesho yake
Licha ya kanisa kuruhusu kunywa maji mchana lakin mimi nimekataa na nimeamua kulipinga kanisa kuhusu hilo la kunywa maji
Mimi nimeamua tu kufuaata maneno ya MUNGU mwenyewe aliyesema RARUEN MIOYO YENU, NIRUDIEN MIMI KWA KUFUNGA KUSALI KWA KULIA NA KUOMBOLEZA
ni ajabu sana saiz nakuwa naamka saa nane usiku nasali mpaka saa tisa
Ni ajabu sana aisee
Yaan hata ndoto zangu kwa sasa naona zimebadilika kabisa sioti tena nikikimbizwa na Mbwa, simba na majoka
Kwa sasa naota nikiwa nimepanda farasi na nikiwa naona njiwa
Utukufu una MUNGU PEKEE
.HOSANA JUU MBIGUN BWANA MUNGU WA MAJESHI MBIGU NA DUNIA ZIMEJAA UTUKUFU WAKO
HOSANA JUU MBIGUNI
NI WEWE ULITANDAZA NCHI JUU YA MAJI
NI WEWE UTENDAYE MAAJABU MAKUU
NI WEWE ULIYEFANYA MBIGU KWA FAHAMU ZAKO
NAKUSHUKURU MUNGU WA MBIGU KWA KUNIBADILI
ASANTE
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app