Hiyo ni sawa kwani hizo nizako ni yake tunza zako ila usimfunze mtu kutunza yake"Mwanamke anapokosa akili zinazoumia ni sehemu za siri" aliimbaga msanii mmoja
hii ndiyo akili ya Wanawake wengi maamuzi yao yapo Kwenye K zao tuu ebu ona huyu sasa alichokiamua ni kuvua chupi *****
Asante shemu hebu nipe mi nakuahidi kukuongeza hela huyu wife msumbufu sana nakusubiri kwa hamuHi guys
Kuna huyu mwenye nyumba wangu karibu miezi 2 sasa amekua akinipa lift asubuhi wakati wa kwenda kazini, mimi ni mgeni eneo hili, ni miezi nadhan mitatu sasa tangu nihamie hapo, niseme tu ukweli kuwa, nimekuja kupanga hapo baada ya kutengana na Mr wangu kwa Muda wakati mgogoro unasuluhishwa na wazee
Mimi ndie mpangaji pekee kwenye hiyo nyumba, tunaishi pamoja na mwenye nyumba na mkewe kwenye compound moja, wote wawili wana gari, awali, kwa heshima na maadili nilikua nasubiria lift ya mama lakini cha ajabu, anaingia kwenye gari na kuondoka kama hajaniona vile, ndipo baba akitoka ananipa lift
Sasa, baba mwenye nyumba amekua akanipa lift kila siku asubuhi maana tunatoka Muda unaofanana, kumbe Kuna ugomvi mkubwa unaendelea ndani ya familia hiyo sababu ya mimi kupewa lift kila siku, mama ana wasi wasi kuwa Kuna kitu kinaendelea kati yetu
Hata hivyo baada kuzoeana huyu bwana ameshaniomba niwe rafiki yake na amenipa pesa mara nyingi tu na ahadi ya kusamehewa kodi
Hivi karibuni, wakati naingia kwenye gari yule mwanamke alikuja kufanya vurugu na kutaka kunishusha kwa nguvu, fortunately, mumewe alimtoa kwa nguvu na sisi kuondoka, jioni nikakuta ameita watu wa welding akakata kufuli na kuweka lingine, nikakuta barua na kodi yangu kwenye bahasha kuwa niondoke jioni hiyo hiyo, nikamuita mjumbe akasema sheria hiyo haipo, ni lazima kodi iishe na notice itolewe, yule mama akagoma kufungua, tukampigia baba simu akaja akalikata nikaingia ndani
Sasa kwa udhalilishaji alionifanyia naenda kumkubali mumewe na kumpa immediately, sikua na Mpango huo licha ya kuchukua pesa zake sababu tayari nina matatizo yangu ya kutosha kuhusu ndoa na mapenzi, tumetengana na Mr Kutokana na migongano isiyoisha na pia nipo na boss wangu , hivyo sikutaka kabisa kujihusisha kimapenzi na baba mwenye nyumba, ila sasa naenda kumpa
Nonsense
Dah...nitashukuruje... dahHi guys
Kuna huyu mwenye nyumba wangu karibu miezi 2 sasa amekua akinipa lift asubuhi wakati wa kwenda kazini, mimi ni mgeni eneo hili, ni miezi nadhan mitatu sasa tangu nihamie hapo, niseme tu ukweli kuwa, nimekuja kupanga hapo baada ya kutengana na Mr wangu kwa Muda wakati mgogoro unasuluhishwa na wazee
Mimi ndie mpangaji pekee kwenye hiyo nyumba, tunaishi pamoja na mwenye nyumba na mkewe kwenye compound moja, wote wawili wana gari, awali, kwa heshima na maadili nilikua nasubiria lift ya mama lakini cha ajabu, anaingia kwenye gari na kuondoka kama hajaniona vile, ndipo baba akitoka ananipa lift
Sasa, baba mwenye nyumba amekua akanipa lift kila siku asubuhi maana tunatoka Muda unaofanana, kumbe Kuna ugomvi mkubwa unaendelea ndani ya familia hiyo sababu ya mimi kupewa lift kila siku, mama ana wasi wasi kuwa Kuna kitu kinaendelea kati yetu
Hata hivyo baada kuzoeana huyu bwana ameshaniomba niwe rafiki yake na amenipa pesa mara nyingi tu na ahadi ya kusamehewa kodi
Hivi karibuni, wakati naingia kwenye gari yule mwanamke alikuja kufanya vurugu na kutaka kunishusha kwa nguvu, fortunately, mumewe alimtoa kwa nguvu na sisi kuondoka, jioni nikakuta ameita watu wa welding akakata kufuli na kuweka lingine, nikakuta barua na kodi yangu kwenye bahasha kuwa niondoke jioni hiyo hiyo, nikamuita mjumbe akasema sheria hiyo haipo, ni lazima kodi iishe na notice itolewe, yule mama akagoma kufungua, tukampigia baba simu akaja akalikata nikaingia ndani
Sasa kwa udhalilishaji alionifanyia naenda kumkubali mumewe na kumpa immediately, sikua na Mpango huo licha ya kuchukua pesa zake sababu tayari nina matatizo yangu ya kutosha kuhusu ndoa na mapenzi, tumetengana na Mr Kutokana na migongano isiyoisha na pia nipo na boss wangu , hivyo sikutaka kabisa kujihusisha kimapenzi na baba mwenye nyumba, ila sasa naenda kumpa
Nonsense
Hi guys
Kuna huyu mwenye nyumba wangu karibu miezi 2 sasa amekua akinipa lift asubuhi wakati wa kwenda kazini, mimi ni mgeni eneo hili, ni miezi nadhan mitatu sasa tangu nihamie hapo, niseme tu ukweli kuwa, nimekuja kupanga hapo baada ya kutengana na Mr wangu kwa Muda wakati mgogoro unasuluhishwa na wazee
Mimi ndie mpangaji pekee kwenye hiyo nyumba, tunaishi pamoja na mwenye nyumba na mkewe kwenye compound moja, wote wawili wana gari, awali, kwa heshima na maadili nilikua nasubiria lift ya mama lakini cha ajabu, anaingia kwenye gari na kuondoka kama hajaniona vile, ndipo baba akitoka ananipa lift
Sasa, baba mwenye nyumba amekua akanipa lift kila siku asubuhi maana tunatoka Muda unaofanana, kumbe Kuna ugomvi mkubwa unaendelea ndani ya familia hiyo sababu ya mimi kupewa lift kila siku, mama ana wasi wasi kuwa Kuna kitu kinaendelea kati yetu
Hata hivyo baada kuzoeana huyu bwana ameshaniomba niwe rafiki yake na amenipa pesa mara nyingi tu na ahadi ya kusamehewa kodi
Hivi karibuni, wakati naingia kwenye gari yule mwanamke alikuja kufanya vurugu na kutaka kunishusha kwa nguvu, fortunately, mumewe alimtoa kwa nguvu na sisi kuondoka, jioni nikakuta ameita watu wa welding akakata kufuli na kuweka lingine, nikakuta barua na kodi yangu kwenye bahasha kuwa niondoke jioni hiyo hiyo, nikamuita mjumbe akasema sheria hiyo haipo, ni lazima kodi iishe na notice itolewe, yule mama akagoma kufungua, tukampigia baba simu akaja akalikata nikaingia ndani
Sasa kwa udhalilishaji alionifanyia naenda kumkubali mumewe na kumpa immediately, sikua na Mpango huo licha ya kuchukua pesa zake sababu tayari nina matatizo yangu ya kutosha kuhusu ndoa na mapenzi, tumetengana na Mr Kutokana na migongano isiyoisha na pia nipo na boss wangu , hivyo sikutaka kabisa kujihusisha kimapenzi na baba mwenye nyumba, ila sasa naenda kumpa
Nonsense
kichwa bila akili adhabu kwa miguu, yaani unadhani unamkomoa huyo mama kwa kugawa papuchi. Ukute huyo mama anakuonea huruma usiingie matatizoni we unamuona fala,
I am sorry to say this ila ww ni mpuuzi tena sanaaaa wala sio kidogo....ulishaona mkewe hataki ukaribu wako na mumewe ww unalazimisha ili iwe nini???? Ni lazima kila siku uende kazini kwako kwa lift????? Bila gari hutoki kwako kwenda kazini sasa si ununue lako!!!!! Unaenda kugombanisha wanandoa wenye maisha yao kwa ww kutojitambua afu unakuja kuandika hapa utadhan unachoongea ni chamaana kumbe utopolo mtupu hata huyo mumeo nae kumbe kakuvumilia sanaaa maana unaonekana kichwani zero.....MWANAMKE AKIKOSA AKILI ZITAKAZOUMIA KI SEHEMU ZA SIRIHi guys
Kuna huyu mwenye nyumba wangu karibu miezi 2 sasa amekua akinipa lift asubuhi wakati wa kwenda kazini, mimi ni mgeni eneo hili, ni miezi nadhan mitatu sasa tangu nihamie hapo, niseme tu ukweli kuwa, nimekuja kupanga hapo baada ya kutengana na Mr wangu kwa Muda wakati mgogoro unasuluhishwa na wazee
Mimi ndie mpangaji pekee kwenye hiyo nyumba, tunaishi pamoja na mwenye nyumba na mkewe kwenye compound moja, wote wawili wana gari, awali, kwa heshima na maadili nilikua nasubiria lift ya mama lakini cha ajabu, anaingia kwenye gari na kuondoka kama hajaniona vile, ndipo baba akitoka ananipa lift
Sasa, baba mwenye nyumba amekua akanipa lift kila siku asubuhi maana tunatoka Muda unaofanana, kumbe Kuna ugomvi mkubwa unaendelea ndani ya familia hiyo sababu ya mimi kupewa lift kila siku, mama ana wasi wasi kuwa Kuna kitu kinaendelea kati yetu
Hata hivyo baada kuzoeana huyu bwana ameshaniomba niwe rafiki yake na amenipa pesa mara nyingi tu na ahadi ya kusamehewa kodi
Hivi karibuni, wakati naingia kwenye gari yule mwanamke alikuja kufanya vurugu na kutaka kunishusha kwa nguvu, fortunately, mumewe alimtoa kwa nguvu na sisi kuondoka, jioni nikakuta ameita watu wa welding akakata kufuli na kuweka lingine, nikakuta barua na kodi yangu kwenye bahasha kuwa niondoke jioni hiyo hiyo, nikamuita mjumbe akasema sheria hiyo haipo, ni lazima kodi iishe na notice itolewe, yule mama akagoma kufungua, tukampigia baba simu akaja akalikata nikaingia ndani
Sasa kwa udhalilishaji alionifanyia naenda kumkubali mumewe na kumpa immediately, sikua na Mpango huo licha ya kuchukua pesa zake sababu tayari nina matatizo yangu ya kutosha kuhusu ndoa na mapenzi, tumetengana na Mr Kutokana na migongano isiyoisha na pia nipo na boss wangu , hivyo sikutaka kabisa kujihusisha kimapenzi na baba mwenye nyumba, ila sasa naenda kumpa
Nonsense
Dunia hii ina watu hamnazo kumbe, duuh!!Hi guys
Kuna huyu mwenye nyumba wangu karibu miezi 2 sasa amekua akinipa lift asubuhi wakati wa kwenda kazini, mimi ni mgeni eneo hili, ni miezi nadhan mitatu sasa tangu nihamie hapo, niseme tu ukweli kuwa, nimekuja kupanga hapo baada ya kutengana na Mr wangu kwa Muda wakati mgogoro unasuluhishwa na wazee
Mimi ndie mpangaji pekee kwenye hiyo nyumba, tunaishi pamoja na mwenye nyumba na mkewe kwenye compound moja, wote wawili wana gari, awali, kwa heshima na maadili nilikua nasubiria lift ya mama lakini cha ajabu, anaingia kwenye gari na kuondoka kama hajaniona vile, ndipo baba akitoka ananipa lift
Sasa, baba mwenye nyumba amekua akanipa lift kila siku asubuhi maana tunatoka Muda unaofanana, kumbe Kuna ugomvi mkubwa unaendelea ndani ya familia hiyo sababu ya mimi kupewa lift kila siku, mama ana wasi wasi kuwa Kuna kitu kinaendelea kati yetu
Hata hivyo baada kuzoeana huyu bwana ameshaniomba niwe rafiki yake na amenipa pesa mara nyingi tu na ahadi ya kusamehewa kodi
Hivi karibuni, wakati naingia kwenye gari yule mwanamke alikuja kufanya vurugu na kutaka kunishusha kwa nguvu, fortunately, mumewe alimtoa kwa nguvu na sisi kuondoka, jioni nikakuta ameita watu wa welding akakata kufuli na kuweka lingine, nikakuta barua na kodi yangu kwenye bahasha kuwa niondoke jioni hiyo hiyo, nikamuita mjumbe akasema sheria hiyo haipo, ni lazima kodi iishe na notice itolewe, yule mama akagoma kufungua, tukampigia baba simu akaja akalikata nikaingia ndani
Sasa kwa udhalilishaji alionifanyia naenda kumkubali mumewe na kumpa immediately, sikua na Mpango huo licha ya kuchukua pesa zake sababu tayari nina matatizo yangu ya kutosha kuhusu ndoa na mapenzi, tumetengana na Mr Kutokana na migongano isiyoisha na pia nipo na boss wangu , hivyo sikutaka kabisa kujihusisha kimapenzi na baba mwenye nyumba, ila sasa naenda kumpa
Nonsense
Nakazia hapaPole sana Kivuruge. Ila nikwambie tu unaweza ona unamkomoa huyo mama kumbe unajikomoa. Kwa hayo uliyoyaandika kuhusu hiyo familia wewe ndio unaonekana hujielewi na ndio sababu unataka vuruga ndoa za watu. lol
Ila nikwambie tu muda unaoutumia kuvuruga ndoa za watu ungeutumia kutafakari namna ya kumaliza mgogoro na mumeo.
khaaaaah"Nampa nampa,nampa nampa papaaa"!!!
Weka hilo songi hapo maza hausi asikie kabla ya kwenda kumpa papa.....