Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Shura ya maimamu inayoongozwa na Sheikh Ponda Issa Ponda imewalalamikia polisi wa kanda ya kati inayosimamiwa na Afande Kova kwa kuwakatalia haki yao ya kimsingi ya kuandamana na kuelimisha waumini wao juu ya elimu ya uraia kabla ya uchaguzi mkuu ujao hivi karibuni.
Afande Kova jana aliwakatalia kwa sababu joto la uchaguzi liko juu na kazi hiyo sasa yafanywa na wagombea na taasisi zisizo za kiserikali.
SOURCE : CHANNEL TEN EVENING NEWS
Afande Kova jana aliwakatalia kwa sababu joto la uchaguzi liko juu na kazi hiyo sasa yafanywa na wagombea na taasisi zisizo za kiserikali.
SOURCE : CHANNEL TEN EVENING NEWS