Lasthope
Senior Member
- Jun 5, 2008
- 149
- 6
Wajameni naombeni msaada kwenye tuta, najua humu wapo watu wa aina zote which means kila swali au tatizo laweza kutatuliwa. Mimi naomba mnisaidie kujua shule za secondary za private boarding, girls only would be better au hata mchanganyiko as last choice. ningependa kujua ada ni ngapi according to different experiences. Kindly help yani natafuta shule lakini sijui nianzie wapi zaidi ya kuuliza watu maana kama mjuavyo shule za bongo hazina websites.
Thanks in advance
Thanks in advance