SHULE za Sekondari za Serikali zimengara katika matokeo ya Kidato cha sita mwaka 2011 baada ya wanafunzi wake saba kuwa miongoni mwa wanafunzi kumi bora kitaifa.Kwa mujibu wa matokeo hayo yaliyotangazwa jana jijini Dar es Salaam, wanafunzi kumi waliofanya vizuri zaidi kitaifa ni wavulana.Akitangaza matokeo hayo Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani (Necta), Dk Joyce Ndalichako aliwataja wanafunzi kuwa ni Muhagachi Chacha (Kibaha), Samwel Katwale, George Felix (Mzumbe), Amiri Abdalah, Comman Nduru na Kudra Baruti (Feza Boys), Aron Gerson, Shaban Omary na Francis Josephat (Tabora Boys), George Assenga (Majengo).
Dk Ndalichako pia aliwataja wasichana kumi waliofanya vizuri zaidi katika mtihani huo na shule zao kwenye mabano kuwa ni Doreen Kabuche (Benjamin Mkapa), Rahabu Mangamba (Kilakala), Mary Mosi (Kifungilo Girls), Nuru Kipato (Marian Girls), Zainabu Hassan (Al-Muntazil Islamic), Catherine Temu (Ashira).
Wengine ni, Anthonia Lugomo (Usongwe), Cecilia Mville (Kifungilo Girls), Mariam Matovola (Kilakala) na Suzana Makoi (Tarakea).
Alitaja shule kumi bora katika kundi la shule zenye watahiniwa zaidi ya 30 kuwa ni, Marian Girls, Feza Boys, Kifungilo, Kibaha, St Marys Mazinde, Ilboru, Tabora Boys, St Mary Goreti, Mzumbe na Mafinga Seminari.
"Shule kumi bora zenye watahiniwa chini ya 30 ni Uru Seminary, St James Seminary, Maua Seminary, Same Seminary, Dungunyi Seminary, DCT Jubilee, Parane, St Joseph- Kilocha Seminary, Mlama na Masama Girls,"alisema.
Dk Ndalichako pia aliwataja wasichana kumi waliofanya vizuri zaidi katika mtihani huo na shule zao kwenye mabano kuwa ni Doreen Kabuche (Benjamin Mkapa), Rahabu Mangamba (Kilakala), Mary Mosi (Kifungilo Girls), Nuru Kipato (Marian Girls), Zainabu Hassan (Al-Muntazil Islamic), Catherine Temu (Ashira).
Wengine ni, Anthonia Lugomo (Usongwe), Cecilia Mville (Kifungilo Girls), Mariam Matovola (Kilakala) na Suzana Makoi (Tarakea).
Alitaja shule kumi bora katika kundi la shule zenye watahiniwa zaidi ya 30 kuwa ni, Marian Girls, Feza Boys, Kifungilo, Kibaha, St Marys Mazinde, Ilboru, Tabora Boys, St Mary Goreti, Mzumbe na Mafinga Seminari.
"Shule kumi bora zenye watahiniwa chini ya 30 ni Uru Seminary, St James Seminary, Maua Seminary, Same Seminary, Dungunyi Seminary, DCT Jubilee, Parane, St Joseph- Kilocha Seminary, Mlama na Masama Girls,"alisema.