Kifaranga
Senior Member
- Jan 6, 2011
- 144
- 31
Jamani kwa utafiti wangu niliofanya kwa haraka haraka na kwa kusikia toka kwa wadau mbalimbali ni kwamba vyoo vingi vya shule za serikali vimejaa, vinanuka na hakuna wa kusimamia na kurekebisha hali hiyo. Mfano dhahiri ni Tosamaganga iliyopo Iringa. Inakuwaje vyoo vimejaa na hakuna wa kurekebisha hali hiyo???? Damn it .... Siasa zimezidi bongo!!!!