Pichukodada
JF-Expert Member
- Oct 14, 2020
- 480
- 348
Aliye buni hiyo ajira tunayokimbilia ni nani? yesu wa vatican au Roma? Patron wako? na hiyo ajira tunayokimbilia kodi tuna mlipa nani Mkoloni au.wote mnakimbilia ajira kuganga umasikini.
Hata ivo hizo kazi atafanya Rais mwenyewe, CEO au, hujui hata kujiajiri unajilipa? nani atanunua km wote mmejiajiri ndo maana nasema labda uko Bar unakunywa pombe zikiisha utaelewa!/