Shule ipi ya A-level yenye ada nafuu?

Duh! mi sihuck huko Mkuu nlkuwa napita 2... muulize Ndug IPLIMO ndo alyesema itende inayo hostel...

KWAKWELI UKIKUTANA NA MDAU WA TANGAZO AMBAYE, HAHUSIKI NA TANGAZO HILO ATABAKI KUKOSOA TU, LABDA ASHAWAHI SOMA HAPO KAONA sio HOSTEL (maana yake izingatiwe) NI DARASA LA KULALA. vyovyote vile Mwenye MALI anaweza geuza matumizi ya DARASA kuwa sehemu ya malazi (kama ambavyo nyumba yaweza geuzwa kuwa dispensary nk. KWA ANAYEHITAJI SHULE HIYO, MAHALI PA KULALA WANAFUNZI (HOSTEL) PANAPATIKANA HAPOHAPO SHULENI; KWA WAVULANA NA WASICHANA.
 
ITENDE.......? nenda kajidanganye utaishia kunywa ulanzi kwa mkali kenya.haaaah afu hiyo ada ulivotaja utazani kunawaalimu wa kutosha pamoja na miundombinu bora..... nitaleta na picha
 
shule nzuri na maadili mazuri pia matokeo mazuri Tanzania zinapatikana Bagamoyo mkoa wa Pwani.
 
Habari zenu wakuu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu shule ya advance level ambayo ada yake ni bei nafuu naomba anijulishe... Iwe ya mchanganyiko au hata ya boyz tu.

Naomba anijulishe na ada yake ni kiasi gani!

Ahsanteni sana wakuu!
nenda mbezi beach hutajutia matokeo yao ni mazuri sawa na wanaolipa ada milioni tatu na kuendelea nenda hapo sikushauri uende kwengine
 
Back
Top Bottom