Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
Congrats sana na Mungu awatangulie daima, usichakachue kabla ya ndoa!
Jamani napenda kutowa shukrani zangu zote kwa JF na wadau wake wote kwani nilikuwa natafuta MKE nashukuru nimempata,JF ipo juu na wadau wote tupo juu.
aisee embu iweke vizuri yaani umepata mke JF? Kuna watu wanasemaga kwamba mahusiano ya mtandaoni si ya ukweli. Embu nitaarifu manaka na mimi natafuta sana mtaani nakutana sijapata labda na mimi nihamie huku.