Shukrani kwa Serikali

Nanren

JF-Expert Member
May 11, 2009
2,440
2,140
Nimepokea mshahara siku nne zilizopita (kutoka serikalini)

Kwa kweli ninawiwa kuishukuru serikali yetu shupavu inayoongozwa na chama kikongwe. Mpaka sasa mshahara bado haujaisha na inawezekana ukanifikisha Ijumaa kuu.

Hongera sana viongozi wa chama na serikali.

Kusifia ni muhimu.
 
Nimepokea mshahara siku nne zilizopita (kutoka serikalini)
Kwa kweli ninawiwa kuishukuru serikali yetu shupavu inayoongozwa na chama kikongwe. Mpaka sasa mshahara bado haujaisha na inawezekana ukanifikisha Ijumaa kuu.
Hongera sana viongozi wa chama na serikali.

Kusifia ni muhimu.
CCM oyeeee
 
Nimepokea mshahara siku nne zilizopita (kutoka serikalini)
Kwa kweli ninawiwa kuishukuru serikali yetu shupavu inayoongozwa na chama kikongwe. Mpaka sasa mshahara bado haujaisha na inawezekana ukanifikisha Ijumaa kuu.
Hongera sana viongozi wa chama na serikali.

Kusifia ni muhimu.
HAhahaha

Sarcasm
 
Nimepokea mshahara siku nne zilizopita (kutoka serikalini)
Kwa kweli ninawiwa kuishukuru serikali yetu shupavu inayoongozwa na chama kikongwe. Mpaka sasa mshahara bado haujaisha na inawezekana ukanifikisha Ijumaa kuu.
Hongera sana viongozi wa chama na serikali.

Kusifia ni muhimu.
Ni muhimu lakini weka na namba ya simu,wewe huoni wenzako wanasifia wanapewa vyeo unafikiri ni bure?
 
Back
Top Bottom