M mumburya JF-Expert Member Mar 19, 2012 321 448 Sep 12, 2012 #1 Wanajamvi naomba mnieleweshe, je,shughuli ya ufanguzi wa tawi la chama ni hadi polisi wakubali? Naomba kutoa hoja.
Wanajamvi naomba mnieleweshe, je,shughuli ya ufanguzi wa tawi la chama ni hadi polisi wakubali? Naomba kutoa hoja.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,786 Sep 12, 2012 #2 Yes, kama ni la chadema. Mti wenye matunda ndio unaopopolewa mawe. Una suali ama suala lingine?