MKUNGA
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 441
- 71
wadau,
naomba msaadajuu ya dawa chungu (huenda kuliko zote) shubiri. Jee dawa hii inatibu tumbo kwa watoto hasa wa kiume?nimemsikia mama mmoja akisema.
Msaada wenu tafadhali maana baby boy wangu huwa analia sana ila nimewapiga stop wasimpe shubiri bila medical advice.
Nawasilisha.
naomba msaadajuu ya dawa chungu (huenda kuliko zote) shubiri. Jee dawa hii inatibu tumbo kwa watoto hasa wa kiume?nimemsikia mama mmoja akisema.
Msaada wenu tafadhali maana baby boy wangu huwa analia sana ila nimewapiga stop wasimpe shubiri bila medical advice.
Nawasilisha.