Wale wazomeaji watasubiri kuzomea picha safari hii. Huko ni kwa watu wasafi wanaonukia wastaarabu.
Yule mzee wa mteremko n maselfie lazma kazamia hata kabla y tukio
Dah watu walikua wameshapania kuzomea, itabidi wawe wapole wasubiri fiesta!
Yule mzee wa mteremko n maselfie lazma kazamia hata kabla y tukio
Dah watu walikua wameshapania kuzomea, itabidi wawe wapole wasubiri fiesta!
Huyohuyo mzee w kuzamia n kaptula yke
Dah watu walikua wameshapania kuzomea, itabidi wawe wapole wasubiri fiesta!
Hahhahahahahaha
Uknw mimi ndio nilimshauri Zari kifunya hii party..Uknw lepanywa road hamkatizi
hahahahaha i like it unknw.....
Ulinzi wa pale utakuwa kama aliopewa Obama alivyokuja bongo.. Itakuwa watu wamevaa suti nyeusi na miwani ya kijasusi sikioni earphones za security, ebu nambie kipondo chake muhuni wa kariakoo akisogea. .
Le Mutuz .... Le Mukareee ya sosho media
hahahaaa na anavyo jitahidi kufanya promo huko insta
Unafikiri hata hasipo watoza kiasi hicho maisha yatabadilika?Halafu ohh maisha mgumu m3 kuangalia upuuzi du
kudaadeki hii haina hata cha fungulia dogi
Noah ina matangazo nyuma kma mabasi y mkoani hahahaaaa