Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Si unakumbuka Mkuu alitokea kule baada ya vurumai kuisha. December, January Mkuu alikuwa kimya kama vile hakuna majambo kwa majirani.
Lakini baada ya mambo kuwa shwari, mkuu anapanda kadege kwenda kutafuta misifa.
unajua mimi naamini ni mtego kwa CCM kwa sababu hawawezi kucondemn Iran wakati wao uchaguzi wao mkuu unakuja na unaweza kuja na machafuko yake.