Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Jamani mimi napenda kupingina na nyinyi wote,lkn nadhani mawazo yetu wote ni kwa ajiri ya kupata timu iliyo bora hata kama tutakua tukipingina hapa.
Cha kwanza nadhani kama wapenzi wa michezo lazima tuwe na subira hatuwezi kupata timu nzuri katika kipindi kichache kama tunavyotaka sisi.Hii ni kutokana na wachezaji wenyewe na hulka zao.
Wachezaji wengi wa kitanzania wanalewa sifa mapema sana,na wengi ni waongo waongo hawafatilii mafundisho na miiko ya mpira wenyewe.
Hapa tunaweza kumlaumu huyu kocha ila tatizo lipo kwa nguvu kazi yenyewe,nasema hivi sio kwa sababu nimesikia kwa mtu furani au ndivyo ninavyo dhani la hasha...,nasema kutokana mimi niko karibu na wengi ya ha wa wachezaji wetu.
Kocha anaweza kufundisha kwa uwezo wake wote lakini mafundisho yakawa hayazingatiwi na hawa wachezaji ikawa work done sawa na zero.
Kuna mchezaji mfano ya hao waongo waongo niliosema hapo juu,alicheza simba kwanza kwa majaribio akashindwa kufanya lolote kwenye mechi hizo ambapo matokeo yake akusajiriwa na Simba,akaendelea kucheza timu yake ya mtaani lkn dreams zake zilikua kucheza timiu ya Taifa na kweli akaja kucheza kweli timu hiyo tu kwasababu ya USANI... USANI...(kama rais wetu anavyo sema,ukitaka kupata uongozi unafanya fanya tu....) basi Ndg.yule Mchezaji akaja cheza National Time kama International Player kutoka huko alikotoka hata miezi sita hana na hiyo timu aliyo kua akicheza huko bara ulaya.Kaja lichofanya ni madudu tu,jana kakosa bao la wazi yeye na Lango tu.
Wengine kesho mechi mpaka saa tisa wana lewa na wanawake tu habari hawapati alafu hao ndio wanaopigiwa debe na magazeti nawalio wengi wasio jua system za maisha yao,wengi ya hao wanasema mpira ndio maisha yao lkn hawafati ile miko ya mchezo wenyewe.
Ukiwa na wachezaji wa aina hii watano tu kwenye kikosi basi hapo hamna kitu na tunaweza kufukuza kila kocha hata akija MOrinho nini Maximo.Ina husu kwanza hawa wachezaji wenyewe wajue wajibu wao(kitu ambacho watz hatuna)
Kuna mengi tu hapa ya kueleza kutokana na hii hari,na ili tupate maendeleo ya ukweli lazima tuwe wakweli kwa hatu ambazo timu imeziweka na lazima tuweze kuziweka wazi kama sifa ya Kocha.
Mfano mimi nimeona mpira wote wa jana na mengine iliyopita ukiondoa mechi mbili za mwanzo,timu kiwango kimeongezeka sana kuliko kipindi chochote cha mpira wa Tanzania kuanzia mwaka 1995.
Tulikua na makocha wazawa mfano wa Mziray yule wa Chuo kikuu,hakufanya lolote ukiniuliza mimi ambaye toka alipo pewa yanga Miaka ya nyuma nilkuwepo karibu kabisa mpaka kwenye vyuma vya wachezaji,kocha mzawa msomi na mshirikina wa hari ya juu.sipendi kusema mengi ila hii ni mifana michache sisi kama wapenda miche zo tunaweza kujadiri kutokea hapa
Cha kwanza nadhani kama wapenzi wa michezo lazima tuwe na subira hatuwezi kupata timu nzuri katika kipindi kichache kama tunavyotaka sisi.Hii ni kutokana na wachezaji wenyewe na hulka zao.
Wachezaji wengi wa kitanzania wanalewa sifa mapema sana,na wengi ni waongo waongo hawafatilii mafundisho na miiko ya mpira wenyewe.
Hapa tunaweza kumlaumu huyu kocha ila tatizo lipo kwa nguvu kazi yenyewe,nasema hivi sio kwa sababu nimesikia kwa mtu furani au ndivyo ninavyo dhani la hasha...,nasema kutokana mimi niko karibu na wengi ya ha wa wachezaji wetu.
Kocha anaweza kufundisha kwa uwezo wake wote lakini mafundisho yakawa hayazingatiwi na hawa wachezaji ikawa work done sawa na zero.
Kuna mchezaji mfano ya hao waongo waongo niliosema hapo juu,alicheza simba kwanza kwa majaribio akashindwa kufanya lolote kwenye mechi hizo ambapo matokeo yake akusajiriwa na Simba,akaendelea kucheza timu yake ya mtaani lkn dreams zake zilikua kucheza timiu ya Taifa na kweli akaja kucheza kweli timu hiyo tu kwasababu ya USANI... USANI...(kama rais wetu anavyo sema,ukitaka kupata uongozi unafanya fanya tu....) basi Ndg.yule Mchezaji akaja cheza National Time kama International Player kutoka huko alikotoka hata miezi sita hana na hiyo timu aliyo kua akicheza huko bara ulaya.Kaja lichofanya ni madudu tu,jana kakosa bao la wazi yeye na Lango tu.
Wengine kesho mechi mpaka saa tisa wana lewa na wanawake tu habari hawapati alafu hao ndio wanaopigiwa debe na magazeti nawalio wengi wasio jua system za maisha yao,wengi ya hao wanasema mpira ndio maisha yao lkn hawafati ile miko ya mchezo wenyewe.
Ukiwa na wachezaji wa aina hii watano tu kwenye kikosi basi hapo hamna kitu na tunaweza kufukuza kila kocha hata akija MOrinho nini Maximo.Ina husu kwanza hawa wachezaji wenyewe wajue wajibu wao(kitu ambacho watz hatuna)
Kuna mengi tu hapa ya kueleza kutokana na hii hari,na ili tupate maendeleo ya ukweli lazima tuwe wakweli kwa hatu ambazo timu imeziweka na lazima tuweze kuziweka wazi kama sifa ya Kocha.
Mfano mimi nimeona mpira wote wa jana na mengine iliyopita ukiondoa mechi mbili za mwanzo,timu kiwango kimeongezeka sana kuliko kipindi chochote cha mpira wa Tanzania kuanzia mwaka 1995.
Tulikua na makocha wazawa mfano wa Mziray yule wa Chuo kikuu,hakufanya lolote ukiniuliza mimi ambaye toka alipo pewa yanga Miaka ya nyuma nilkuwepo karibu kabisa mpaka kwenye vyuma vya wachezaji,kocha mzawa msomi na mshirikina wa hari ya juu.sipendi kusema mengi ila hii ni mifana michache sisi kama wapenda miche zo tunaweza kujadiri kutokea hapa