Should Maximo stay and enjoy the money 4 nothing? - Contract to be renewed?

Ni kichekesho kulinganisha timu ya mpira wa miguu ya England na Tanzania. Wachezaji wa England ni full time professionals, they are all finished articles-kinachotakiwa kwao ni tacticts tu,na hapo ndio kocha anapoingia- timu ikishinda sifa zake zote, ikichemsha anaonyeshwa exit door. Ongelea soka yetu ya bongo- hii bado ni amateur na mwalimu yoyote anafundisha timu hiyo ana kazi kubwa kwelikweli- anaanzia chini kabisa, aanze kuwakimbiza, awapigishe push ups wagain fitness,awafundishe kucheza mpira (this is serious),awapangie diet, etc- mambo ambayo wenzetu wanayafanya kwenye club level, wakikutana kambini ni mambo ya kiufundi tu. On top of that kuna budget constraint- hawezi kutekeleza plans zake zote kwa kuwa TFA haina hela za kutosha.Kocha akifeli England there is no doubt anadeserve kuwa sacked kwa kuwa facilities zote zipo lakini you can not say this should apply to Bongo, bado sana.Timu ya england ni sawa na msosi ambao umeshapikwa tayari- inategemea tu mhudumu atau serve vipi mezani lakini katimu ketu ka Tanzania ni kamsosi ambako bado kanapikwa jikoni na mpishi hana ingridients zote zinazohitajika- if something goes wrong here kwenye hizi scenarios mbili huwezi kutoa adhabu sawa kwa wahusika.
 
Ni kichekesho kulinganisha timu ya mpira wa miguu ya England na Tanzania. Wachezaji wa England ni full time professionals, they are all ready made articles-kinachotakiwa kwao ni tacticts tu,na hapo ndio kocha anapoingia- timu ikishinda sifa zake zote, ikichemsha anaonyeshwa exit door. Ongelea soka yetu ya bongo- hii bado ni amateur na mwalimu yoyote anafundisha timu hiyo ana kazi kubwa kwelikweli- anaanzia chini kabisa, aanze kuwakimbiza wagain fitness, awapangie diet, etc- mambo ambayo wenzetu wanayafanya kwenye club level, wakikutana kambini ni mambo ya kiufundi tu. On top of that kuna budget constrait- hawezi kutekeleza plans zake zote kwa kuwa TFA haina hela za kutosha.Kocha akifeli England there is no doubt anadeserve kuwa sacked kwa kuwa facilities zote zipo lakini you can not say this should apply to Bongo, bado sana.Timu ya england ni sawa na msosi ambao umeshapikwa tayari- inategemea mhudumu atau serve vipi mezani lakini katimu ketu ka Tanzania ni kamsosi ambako bado kanapikwa jikoni na mpishi hana engridients zote zinazohitajika- if something goes wrong here kwenye hii scenario huwezi kutoa adhabu sawa kwa wahusika.

Nakushukuru ndugu yangu kanakansungu kwa mchango wako mzuri. Endelea kuelimisha jamii.
 
Ni kichekesho kulinganisha timu ya mpira wa miguu ya England na Tanzania. Wachezaji wa England ni full time professionals, they are all finished articles-kinachotakiwa kwao ni tacticts tu,na hapo ndio kocha anapoingia- timu ikishinda sifa zake zote, ikichemsha anaonyeshwa exit door. Ongelea soka yetu ya bongo- hii bado ni amateur na mwalimu yoyote anafundisha timu hiyo ana kazi kubwa kwelikweli- anaanzia chini kabisa, aanze kuwakimbiza, awapigishe push ups wagain fitness,awafundishe kucheza mpira (this is serious),awapangie diet, etc- mambo ambayo wenzetu wanayafanya kwenye club level, wakikutana kambini ni mambo ya kiufundi tu. On top of that kuna budget constraint- hawezi kutekeleza plans zake zote kwa kuwa TFA haina hela za kutosha.Kocha akifeli England there is no doubt anadeserve kuwa sacked kwa kuwa facilities zote zipo lakini you can not say this should apply to Bongo, bado sana.Timu ya england ni sawa na msosi ambao umeshapikwa tayari- inategemea tu mhudumu atau serve vipi mezani lakini katimu ketu ka Tanzania ni kamsosi ambako bado kanapikwa jikoni na mpishi hana ingridients zote zinazohitajika- if something goes wrong here kwenye hii scenario huwezi kutoa adhabu sawa kwa wahusika.

Hii analysis imeenda shule watu waache kukurupuka matatizo ya soka letu ni mengi sana timua timua ya makocha ni kuzidisha tatizo badala ya kutatua..
 
Ni kichekesho kulinganisha timu ya mpira wa miguu ya England na Tanzania. Wachezaji wa England ni full time professionals, they are all finished articles-kinachotakiwa kwao ni tacticts tu,na hapo ndio kocha anapoingia- timu ikishinda sifa zake zote, ikichemsha anaonyeshwa exit door. Ongelea soka yetu ya bongo- hii bado ni amateur na mwalimu yoyote anafundisha timu hiyo ana kazi kubwa kwelikweli- anaanzia chini kabisa, aanze kuwakimbiza, awapigishe push ups wagain fitness,awafundishe kucheza mpira (this is serious),awapangie diet, etc- mambo ambayo wenzetu wanayafanya kwenye club level, wakikutana kambini ni mambo ya kiufundi tu. On top of that kuna budget constraint- hawezi kutekeleza plans zake zote kwa kuwa TFA haina hela za kutosha.Kocha akifeli England there is no doubt anadeserve kuwa sacked kwa kuwa facilities zote zipo lakini you can not say this should apply to Bongo, bado sana.Timu ya england ni sawa na msosi ambao umeshapikwa tayari- inategemea tu mhudumu atau serve vipi mezani lakini katimu ketu ka Tanzania ni kamsosi ambako bado kanapikwa jikoni na mpishi hana ingridients zote zinazohitajika- if something goes wrong here kwenye hizi scenarios mbili huwezi kutoa adhabu sawa kwa wahusika.

Ati huwezi kulinganisha England na Tanzania. Hivi kitu kizuri kikifanywa na adui yako au rafiki huwezi kukiiga? hapo ndio tunapopotea kuendekeza kichwa ngumu ya kiuendawazimu - we do this in Tanzania, ..........

Croatia wangekuwa wanaweweseka kama baadhi ya members wa JF wasingeweza kuwafunga England walipocheza nao pale Wembly Stadium kwa sababu wakisikia jina tu ni jinamizi tayari. (Wanja la kimataifa historia ya soka na madoido kibao). Wenzetu hawaweweseki na jina wanacheza mpira waliofunzwa.

Kocha wa Croatia analipwa karibu £ 20,000 kwa mwaka wakati mwenzake wa England anapata takriban £ 3,000,000. Matokeo mmeyaona.

Msingi wa swala langu: Kwa sababu hata mshahara wa Maximo ni mkubwa kupindukia na usiri ulio katika mkataba wake tumeingizwa kwenye mkenge, ni bora hizo pesa wangelipwa makocha angalau 20 na ushee wafundishe mpira kuanzia shule za chekechea, primary na secondari na kuongeza vipaji ambavyo tayari vipo Tanzania. Maximo ni mbabaishaji mwingine tu ambaye anaona achume kwa vilaza ambao wamempa ulaji.

Huyu ameshindwa mbinu ndogo tu ya kuwafunga Mozambique timu ambayo tuliweza kutoka nayo sare nyumbani kwao, ilibidi abebe lawama zote na kufukuzwa. Sasa hao Mozambique wana quality gani ya ajabu ya kutubugiza magoli au kutoka nao sare?

Ukiboronga na kuleta uvundo ni sharti uache mwenyewe kwa hiari yako au ufukuzwe ndio mfano ambao tunatakiwa tujifunze kutoka kwa wenzetu wa England. Tofauti na sisi Tanzania ukivurunda unahamishwa kwenda sehemu nyingine ili uendeleze libeneke la kuboronga au wanakubakiza pale pale, na hili sio geni wala sio kwenye michezo tu kwenye nyanja mbali mbali hakuna uwajibikaji, madudu ni yale yale waziri anasaini mkataba halafu anasema sheria zetu ndio zenye tatizo wakati yeye amepewa dhamana kuangalia maslahi ya taifa. Wewe ni waziri kwa nini uweke sahihi wakati sheria ina walakini? Badili sheria then saini mkataba ndiyo kazi hiyo hawakukupa uwaziri bure wala sio mbumbumbu unatakiwa uwe na telescopic eyes kuona dosari kama sheria mbovu omba Bunge waibadili mara moja.

Angalia timu kama Arsenal wana wachezaji wengi ambao sio Englanders sasa huko walikotoka nani aliwafundisha? Unapoongelea diet unaniacha hoi unafikiri packed lunch ndiyo zinasaidia ushindi? Usizugike na neno proffessional tulikuwa na wachezaji wengi ambao waliendeleza vipaji vyao tangu wakiwa wadogo nitakupa mfano wakati tulikwenda fainali Nigeria tulikuwa na kina Peter Tino ambaye alifunga bao la kutupeleka kwenye fainali tena ugenini Zambia, alikuwepo Mohamed Salim huyu baadae alinunuliwa uarabuni, walikuwepo wachezaji wengi wazuri akina Manara, Pondamali, T. Ally n.k. na tuliweza kufanya vizuri. Kwenye riadha ndio usisema walikuwepo akina F. Bayi, Nyambui, n.k. Hivi ni vipaji vilivyojengwa tangu wakiwa wadogo sio kuleta uchuro wa kupoteza pesa za walipa kodi kwa siri siri. Hatuhitaji hizo diet pumba ili tuwe na ushindi, badget constraints wakati walikaa Brazil mwezi mzima? Tena wakaenda Scandinaviana countries naona hata data ndogo tu huna.

Kumbuka wakati timu ya kenya walipotufunga magoli matatu mtungi kule Nairobi wakati wachezaji wetu mashuhuri hawakwenda kwenye mechi ile na nini kiliwapata walipotua Dar? tuliwanywesha magoli matano mtungi. Hatumuhitaji huyu mbabaishaji kutoka Brazil.
 
now people who do u think shuould be the next england manager?
as ni aibu kwa motherland ya football kuwa na major title ka sikosei ni moja tuu tena ya mwaka 1966!duhh!wanalack nini hasa?
 
na je hivi ni kweli watanzania tunavyoongoza kwa...... hakuna chanzo kinachjua mshahara wa MAximo na kuweza kutujulishaa??
 
n talkin about that?me naona mpira wetu una usaniiii kidoogoo as huyu Tinoco sijui kwa kumbukumbu yangu tuliambiwa alikuja kufundisha timu ya vijana...but nachoshangaa ni kuwa kwa muda mrefu uko na taifa stars na kwa habari nilizozipata ni kuwa hata fungu lwa fweza za kimafanikio ya timu ya taifa naye kamegewa kubwa kuliko hata kocha msaidizi mzalendo abushiri sijui...
even now kwenda sauzi nadhani kwa ajili ya upangaji wa makundi naye kaenda...sasa swali langu hapa ni sawa yanayotendeka au ndo twapigwa changa la machoo??
 
Ati huwezi kulinganisha England na Tanzania. Hivi kitu kizuri kikifanywa na adui yako au rafiki huwezi kukiiga? hapo ndio tunapopotea kuendekeza kichwa ngumu ya kiuendawazimu - we do this in Tanzania, ..........

Croatia wangekuwa wanaweweseka kama baadhi ya members wa JF wasingeweza kuwafunga England walipocheza nao pale Wembly Stadium kwa sababu wakisikia jina tu ni jinamizi tayari. (Wanja la kimataifa historia ya soka na madoido kibao). Wenzetu hawaweweseki na jina wanacheza mpira waliofunzwa.

Kocha wa Croatia analipwa karibu £ 20,000 kwa mwaka wakati mwenzake wa England anapata takriban £ 3,000,000. Matokeo mmeyaona.

Msingi wa swala langu: Kwa sababu hata mshahara wa Maximo ni mkubwa kupindukia na usiri ulio katika mkataba wake tumeingizwa kwenye mkenge, ni bora hizo pesa wangelipwa makocha angalau 20 na ushee wafundishe mpira kuanzia shule za chekechea, primary na secondari na kuongeza vipaji ambavyo tayari vipo Tanzania. Maximo ni mbabaishaji mwingine tu ambaye anaona achume kwa vilaza ambao wamempa ulaji.
Huyu ameshindwa mbinu ndogo tu ya kuwafunga Mozambique timu ambayo tuliweza kutoka nayo sare nyumbani kwao, ilibidi abebe lawama zote na kufukuzwa. Sasa hao Mozambique wana quality gani ya ajabu ya kutubugiza magoli au kutoka nao sare?

Ukiboronga na kuleta uvundo ni sharti uache mwenyewe kwa hiari yako au ufukuzwe ndio mfano ambao tunatakiwa tujifunze kutoka kwa wenzetu wa England. Tofauti na sisi Tanzania ukivurunda unahamishwa kwenda sehemu nyingine ili uendeleze libeneke la kuboronga au wanakubakiza pale pale, na hili sio geni wala sio kwenye michezo tu kwenye nyanja mbali mbali hakuna uwajibikaji, madudu ni yale yale waziri anasaini mkataba halafu anasema sheria zetu ndio zenye tatizo wakati yeye amepewa dhamana kuangalia maslahi ya taifa. Wewe ni waziri kwa nini uweke sahihi wakati sheria ina walakini? Badili sheria then saini mkataba ndiyo kazi hiyo hawakukupa uwaziri bure wala sio mbumbumbu unatakiwa uwe na telescopic eyes kuona dosari kama sheria mbovu omba Bunge waibadili mara moja.

Angalia timu kama Arsenal wana wachezaji wengi ambao sio Englanders sasa huko walikotoka nani aliwafundisha? Unapoongelea diet unaniacha hoi unafikiri packed lunch ndiyo zinasaidia ushindi? Usizugike na neno proffessional tulikuwa na wachezaji wengi ambao waliendeleza vipaji vyao tangu wakiwa wadogo nitakupa mfano wakati tulikwenda fainali Nigeria tulikuwa na kina Peter Tino ambaye alifunga bao la kutupeleka kwenye fainali tena ugenini Zambia, alikuwepo Mohamed Salim huyu baadae alinunuliwa uarabuni, walikuwepo wachezaji wengi wazuri akina Manara, Pondamali, T. Ally n.k. na tuliweza kufanya vizuri. Kwenye riadha ndio usisema walikuwepo akina F. Bayi, Nyambui, n.k. Hivi ni vipaji vilivyojengwa tangu wakiwa wadogo sio kuleta uchuro wa kupoteza pesa za walipa kodi kwa siri siri. Hatuhitaji hizo diet pumba ili tuwe na ushindi, badget constraints wakati walikaa Brazil mwezi mzima? Tena wakaenda Scandinaviana countries naona hata data ndogo tu huna.

Kumbuka wakati timu ya kenya walipotufunga magoli matatu mtungi kule Nairobi wakati wachezaji wetu mashuhuri hawakwenda kwenye mechi ile na nini kiliwapata walipotua Dar? tuliwanywesha magoli matano mtungi. Hatumuhitaji huyu mbabaishaji kutoka Brazil.

Ati huwezi kulinganisha England na Tanzania. Hivi kitu kizuri kikifanywa na adui yako au rafiki huwezi kukiiga? hapo ndio tunapopotea kuendekeza kichwa ngumu ya kiuendawazimu - we do this in Tanzania, ..........

Tanzania katika soka inaweza kuwa kama England siku moja lakini kwa hivi sasa hiyo siku haipo karibu,it will take time. Maximo anahitaji muda, kumfukuza au akijiuzulu sasa hivi tutaajiri kocha mwingine ambaye nae ataanza mwanzo tena, it will be a step back, we need to be patient.

Hivi wewe Dua unafuatilia masuala ya mpira kweli? na siimanishi soka la bongo tu, naamisha world soccer.Blah blah hapa ni nyingi, au na wewe ni mmojawapo wa wale watu wanaokusanyika nje ya klabu za yanga na simba na kujadili habari za magazeti ya kidaku?

Croatia wangekuwa wanaweweseka kama baadhi ya members wa JF wasingeweza kuwafunga England walipocheza nao pale Wembly Stadium kwa sababu wakisikia jina tu ni jinamizi tayari. (Wanja la kimataifa historia ya soka na madoido kibao). Wenzetu hawaweweseki na jina wanacheza mpira waliofunzwa.

Lets get back to business- Croatia unavyoiongelea hapo juu unaonekana huwajui kabisa, unawaongelea kama katimu kadogo kasikojua mpira. Let me educate you a little bit kuhusu hawa mabwana. According to current FIFA Ranking- Croatia ni bora kuliko England, wako kwenye top 10 ya dunia ambayo inaongozwa na Argentina kwa sasa.Kwa hiyo jina la Croatia ni kubwa kuliko England kwenye international football scene na wala hawakuwa na sababu ya kuweweseka kwa kuwa waliingia wembley wakiwa top of their group na wameshaqualify.



Kocha wa Croatia analipwa karibu £ 20,000 kwa mwaka wakati mwenzake wa England anapata takriban £ 3,000,000. Matokeo mmeyaona.

Kwa mshahara huo wa Coach wa England,ukiboronga ni lazima uachie ngazi- its plain simple. Utaona kwamba hata kama Croatia ingefungwa kelele zisingekua nyingi toka kwa mashabiki wao coz they know they fall short in resources.

[B]Msingi wa swala langu: Kwa sababu hata mshahara wa Maximo ni mkubwa kupindukia na usiri ulio katika mkataba wake tumeingizwa kwenye mkenge, ni bora hizo pesa wangelipwa makocha angalau 20 na ushee wafundishe mpira kuanzia shule za chekechea, primary na secondari na kuongeza vipaji ambavyo tayari vipo Tanzania. Maximo ni mbabaishaji mwingine tu ambaye anaona achume kwa vilaza ambao wamempa ulaji.[/B]
Mtu yeyote anaefuatilia mpira kwa karibu hawezi kumuita Maximo 'mbabaishaji' au una personal issue naye mazee? Ngoja nikupe few lines nilizozidonoa kwenye CV yake.... 92/93 Brazilian National U-17, U-20 and Olympic Teams.(Kabla sijaendelea- unamjua Ronaldinho? naye alikwepo kwenye hao vijana aliowafundisha) baada ya hapo- 1993-94 First Team-Assistant Coach for Qatar National Team, Head Coach and Supervisor of the training centre of Rio De Janeiro for IFC Union Berlin in 1998, akaenda Scotland kama head coach wa Livingston FC in 2003/04. On top of that jamaa amepiga shule- ana graduate and post-graduate degrees ya Technical and Physical Education, Tactical and Technical Football na Sport Training Methodology ya University of Federal of Rio de Janeiro. Surely, there must be some few other better words to descibe him rather than 'mbabaishaji'. Unasema '..ni bora hizo hela wangelipwa makocha 20..', ni wazi kuwa wewe unajali wingi badala ya ubora. Na huko chekechea na mashuleni unaposuggest makocha waajiriwe-ni lazima ujue kwamba kuna watoto wengi wenye vipaji vya michezo tofauti, sasa kwa nini mpira tu ndio upewe kipau mbele hadi makocha wachukue ajira za walimu? I understand kuwa serekali imekubali kuajiri jamaa wanye degree za PE kwenye mashule, hawa ni maspecilist kwenye michezo yote,this is a step forward lakini pia subira inahitajika kwani matunda yake yanaweza anza kuonekana in 10 years.

Huyu ameshindwa mbinu ndogo tu ya kuwafunga Mozambique timu ambayo tuliweza kutoka nayo sare nyumbani kwao, ilibidi abebe lawama zote na kufukuzwa. Sasa hao Mozambique wana quality gani ya ajabu ya kutubugiza magoli au kutoka nao sare?

Mozambique wana quality gani? Again, nakurudisha kwenye FIFA ranking, Black Mambas wapo nafasi ya 75 na Tanzania ni ya 105, ranking ya CAF inawaweka Msumbiji kwenye nafasi ya 15 wakati TZ ni ya 26. Kwa mantiki hii ni kwamba mpira wa hawa chingas ni better than South Africa, Trinard and Tobago and Jamaica just to mention some few big names ambazo zimewahi kushiriki World Cup recently na zina wachezaji kwenye ligi kubwa za ulaya. Je unajua kuna wamachinga wanachezea Benfica na Sporting Lisbon? Wakati sisi tumeshiriki kwenye African Cup of Nations mara moja tu, wenzetu wao ni mara tatu. Kuna factors nyingine pia ambazo ni psychological, hawa wenzetu wana insipirational figures, watu ambao wametesa na bado wanaendelea kutesa kwenye ulimwengu wa soka la kimataifa., talk about Eusebio, Carlos Quiroz, Abel Xavier- hawa wote ni machinga and every young boy who is playing footbal in that country today is dreaming of being like them one day.Sisi tunao kina nani? Peter Tino?(Naskia karibu gongo litammaliza, mabega yamesha overtake kichwa!) Pondamali? Manara? Did they ever play for Liverpool, Benfica or Sporting? Wana mafanikio gani kutokana na mpira wao ili wadogo zetu watake kuwa kama wao? No wonder wazazi wanawahimiza watoto wao wakazanie masomo na sio kucheza.

Ukiboronga na kuleta uvundo ni sharti uache mwenyewe kwa hiari yako au ufukuzwe ndio mfano ambao tunatakiwa tujifunze kutoka kwa wenzetu wa England. Tofauti na sisi Tanzania ukivurunda unahamishwa kwenda sehemu nyingine ili uendeleze libeneke la kuboronga au wanakubakiza pale pale, na hili sio geni wala sio kwenye michezo tu kwenye nyanja mbali mbali hakuna uwajibikaji, madudu ni yale yale waziri anasaini mkataba halafu anasema sheria zetu ndio zenye tatizo wakati yeye amepewa dhamana kuangalia maslahi ya taifa. Wewe ni waziri kwa nini uweke sahihi wakati sheria ina walakini? Badili sheria then saini mkataba ndiyo kazi hiyo hawakukupa uwaziri bure wala sio mbumbumbu unatakiwa uwe na telescopic eyes kuona dosari kama sheria mbovu omba Bunge waibadili mara moja.

Maximo sasa hivi ni kama mhudumu wa hoteli ambaye anakipresent chakula mezani na kukutana na jazba za wateja kama wewe lakini watu wanasahau kwamba yeye sio mpishi wa chakula hicho, tumpe nafasi akipike chakula chake mwenyewe.

Angalia timu kama Arsenal wana wachezaji wengi ambao sio Englanders sasa huko walikotoka nani aliwafundisha? Unapoongelea diet unaniacha hoi unafikiri packed lunch ndiyo zinasaidia ushindi? Usizugike na neno proffessional tulikuwa na wachezaji wengi ambao waliendeleza vipaji vyao tangu wakiwa wadogo nitakupa mfano wakati tulikwenda fainali Nigeria tulikuwa na kina Peter Tino ambaye alifunga bao la kutupeleka kwenye fainali tena ugenini Zambia, alikuwepo Mohamed Salim huyu baadae alinunuliwa uarabuni, walikuwepo wachezaji wengi wazuri akina Manara, Pondamali, T. Ally n.k. na tuliweza kufanya vizuri. Kwenye riadha ndio usisema walikuwepo akina F. Bayi, Nyambui, n.k. Hivi ni vipaji vilivyojengwa tangu wakiwa wadogo sio kuleta uchuro wa kupoteza pesa za walipa kodi kwa siri siri. Hatuhitaji hizo diet pumba ili tuwe na ushindi, badget constraints wakati walikaa Brazil mwezi mzima? Tena wakaenda Scandinaviana countries naona hata data ndogo tu huna.

Yaani hujui kwamba vyakula na vinywaji wanavyokula wachezaji vina effects kwenye performance yao? Yaani hujiu kwamba kila proper football club au professional footballers wana dietitians? Kwa taarifa tu ni kwamba current Arsenal squad imejengwa na vijana wengi waliosajiliwa wakiwa watoto wadogo, some of them went there when they were 14! Walikua spotted na mascouts wa club ambao wako all over the world, walibahatika kukutana na watu walioona vipaji vyao na wakapelekwa hapo kuendelezwa.Waliosajiliwa wakiwa wameshaiva kama Lehman,Rosicky, Hleb, Sagna wametoka kwenye vilabu vingine ambavyo pia vipi kwenye top leagues za dunia hii. By the way.... hakuna mtanzania anaechezea Arsenal!

Unaonekana unabisha kwamba suala la budget constraint halipo kwenye TFA, umesahau kuwa kuna kampuni moja ya Bia ndio ilidhamini hizo safari huko majuu? Pamoja na hayo bado ni kichekesho kufananisha hela waliyonayo TFA na FA. Kama ingetokea timu za Tanzania na England zikawa huko scandinavia-ie Sweden kwa wakati mmoja- scenarios zingekua hivi: England watakaa kwenye one of the top 5 stars hotel wakati Stars watalala kwenye cheap B&B (tena wanaweza wakashare rooms!).Ukija kwenye msosi ni basi tu hakuna mama ntilie ulaya lakini wangekwepo vijana wetu wangepelekwa huko wakati wenzao wa England wakijidai na buffet!Viongozi wa timu wanapiga panga umoumo.

So timu yetu ya Taifa iliua majuu kwa mwezi mzima! ndio uone tofauti iliyopo kati yetu na timu ya Taifa ya england, they dont need kukaa kambini mwezi mzima- hata kama wanajiaandaa na kombe la dunia, ndio maana nasema inachukua muda mrefu sana kuwaandaa wachezaji wetu tofauti na wenzetu ambao mambo mengi wanayafanya kwenye club zao wakikutana ni technical issues kwa sana na sio kukimbizana na kupigishana push ups.

There is no doubt anyone deserves a sack kama ni kocha wa England na umeshindwa ku qualify for EURO 2008 lakini its so unfair for anyone to start calling for Maximo's head, common Dua-be serious.
 
Kanakansungu,
1. Mimi ni shabiki tu- na mzalendo, sii mtaalamu wa michezo! Unaonekana umeboboa kwenye utaalamu- hongera!

2. Nimependa your analytical response to Dua!
 
Tanzania katika soka inaweza kuwa kama England siku moja lakini kwa hivi sasa hiyo siku haipo karibu,it will take time. Maximo anahitaji muda, kumfukuza au akijiuzulu sasa hivi tutaajiri kocha mwingine ambaye nae ataanza mwanzo tena, it will be a step back, we need to be patient.

Hivi wewe Dua unafuatilia masuala ya mpira kweli? na siimanishi soka la bongo tu, naamisha world soccer.Blah blah hapa ni nyingi, au na wewe ni mmojawapo wa wale watu wanaokusanyika nje ya klabu za yanga na simba na kujadili habari za magazeti ya kidaku?
Naona bado una kiwewe, Ni wapi nimekwambia nalinganisha soka ya UK na Tanzania? Elewa lugha nimekwambia England kumfukuza kocha ni kitu cha kuigwa, wewe umekomalia nalinganisha soka ya England na Tanzania pumba at its best.
Maximo hahitaji muda, narudia pesa anayopewa Max. inatosha kuwaajiri makocha (20+) wenye uwezo wa kufundisha vijana kutoka chekechea, primary na sekondari hata sielewi unabisha nini. Kocha tunayehitaji wa Taifa stars anayelipwa kwa pesa nyingi namna hiyo kwa hivi sasa hatumuhitaji, tunahitaji makocha wa kufundisha kwenye sehemu nilizoandika hapo juu. Kama huelewi mafanikio yoyote yanatokana na kuwa na makocha wa michezo kuanzia ngazi za chini. Wewe mwenyewe ulipozaliwa hukuanza kukimbia maana yake wazazi wako wangekukimbia ulianza kwa kutambaa. Max hawezi kuleta mafanikio yoyote yale mark my words. Kama wewe vijiwe vyako ni vya Simba na Yanga hiyo ni shauri yako maana ujuzi wako ndio ulipokomea unaangalia Jangwani na Msimbazi.
Lets get back to business- Croatia unavyoiongelea hapo juu unaonekana huwajui kabisa, unawaongelea kama katimu kadogo kasikojua mpira. Let me educate you a little bit kuhusu hawa mabwana. According to current FIFA Ranking- Croatia ni bora kuliko England, wako kwenye top 10 ya dunia ambayo inaongozwa na Argentina kwa sasa.Kwa hiyo jina la Croatia ni kubwa kuliko England kwenye international football scene na wala hawakuwa na sababu ya kuweweseka kwa kuwa waliingia wembley wakiwa top of their group na wameshaqualify.
Kwa mshahara huo wa Coach wa England,ukiboronga ni lazima uachie ngazi- its plain simple. Utaona kwamba hata kama Croatia ingefungwa kelele zisingekua nyingi toka kwa mashabiki wao coz they know they fall short in resources.

Sasa kama ulikuwa hulijui hilo sijui nikusaidie vipi, huo mfano ni kwako wewe maana unafikiri jinsi unavyomlipa Maximo ndio utashinda naona nabishana na mtu ambaye hana hata idea Maximo analipwa kiasi gani pole sana. Huwezi kununua vipaji kwa kulipa kocha kufundisha timu ya taifa wakati misingi ya kuinua vipaji hutaki kufanya.

Mtu yeyote anaefuatilia mpira kwa karibu hawezi kumuita Maximo 'mbabaishaji' au una personal issue naye mazee? Ngoja nikupe few lines nilizozidonoa kwenye CV yake.... 92/93 Brazilian National U-17, U-20 and Olympic Teams.(Kabla sijaendelea- unamjua Ronaldinho? naye alikwepo kwenye hao vijana aliowafundisha) baada ya hapo- 1993-94 First Team-Assistant Coach for Qatar National Team, Head Coach and Supervisor of the training centre of Rio De Janeiro for IFC Union Berlin in 1998, akaenda Scotland kama head coach wa Livingston FC in 2003/04. On top of that jamaa amepiga shule- ana graduate and post-graduate degrees ya Technical and Physical Education, Tactical and Technical Football na Sport Training Methodology ya University of Federal of Rio de Janeiro. Surely, there must be some few other better words to descibe him rather than 'mbabaishaji'. Unasema '..ni bora hizo hela wangelipwa makocha 20..', ni wazi kuwa wewe unajali wingi badala ya ubora. Na huko chekechea na mashuleni unaposuggest makocha waajiriwe-ni lazima ujue kwamba kuna watoto wengi wenye vipaji vya michezo tofauti, sasa kwa nini mpira tu ndio upewe kipau mbele hadi makocha wachukue ajira za walimu? I understand kuwa serekali imekubali kuajiri jamaa wanye degree za PE kwenye mashule, hawa ni maspecilist kwenye michezo yote,this is a step forward lakini pia subira inahitajika kwani matunda yake yanaweza anza kuonekana in 10 years.

Ubora upi ambao unaongelea wakati fika unafahamu terms of reference ambazo mliwaambia WTZ ni kutupeleka Ghana na sasa mnakuja na ngonjera mpya. Kama angekuwa kocha mzuri tungeona matunda sio makaratasi ambayo ati alifundisha under 17 ya Brazil etc. Unaongelea wachezaji ambao wanavipaji tayari na yeye alikuwa ni msindikizaji tu. Angekuwa bora hivyo angekuja Tanzania? Makocha bora wote huwezi kuwapata utapata wababaishaji tu kama Max. ambao hawana lolote lile bali kukomba pesa ya walipa kodi ambayo ingeweza kufanya mengi kutoka ngazi ya chini siyo kwenye matawi. Samaki mkunje angali mbichi.

Hatuhitaji kocha kama yeye mwenye CV nzuri lakini matokeo ni zero, mpira ni ushindi wa magoli sio blah blah ambazo Max na kundi lake wanatuletea.
Mozambique wana quality gani? Again, nakurudisha kwenye FIFA ranking, Black Mambas wapo nafasi ya 75 na Tanzania ni ya 105, ranking ya CAF inawaweka Msumbiji kwenye nafasi ya 15 wakati TZ ni ya 26. Kwa mantiki hii ni kwamba mpira wa hawa chingas ni better than South Africa, Trinard and Tobago and Jamaica just to mention some few big names ambazo zimewahi kushiriki World Cup recently na zina wachezaji kwenye ligi kubwa za ulaya. Je unajua kuna wamachinga wanachezea Benfica na Sporting Lisbon? Wakati sisi tumeshiriki kwenye African Cup of Nations mara moja tu, wenzetu wao ni mara tatu. Kuna factors nyingine pia ambazo ni psychological, hawa wenzetu wana insipirational figures, watu ambao wametesa na bado wanaendelea kutesa kwenye ulimwengu wa soka la kimataifa., talk about Eusebio, Carlos Quiroz, Abel Xavier- hawa wote ni machinga and every young boy who is playing footbal in that country today is dreaming of being like them one day.Sisi tunao kina nani? Peter Tino?(Naskia karibu gongo litammaliza, mabega yamesha overtake kichwa!) Pondamali? Manara? Did they ever play for Liverpool, Benfica or Sporting? Wana mafanikio gani kutokana na mpira wao ili wadogo zetu watake kuwa kama wao? No wonder wazazi wanawahimiza watoto wao wakazanie masomo na sio kucheza.

Again on your flip flopping Nilikwambia Peter Tino alifunga goli la kutupeleka Nigeria na hicho ndio kipaji alichokuwa nacho na tulikwenda kwenye zile fainali bila kutegemea Maximo wako. Sasa kama yeye hivi sasa anakunywa gongo or whatever inahusiana vipi na hili? Je, Maximo ametupeleka wapi? Msimbazi au Jangwani maana huo ndio upeo unaotaka niongelee. Hiyo list ni vipaji ambavyo viliendelezwa sasa wewe hutaki kisa una mapemzi na Max. you can have him in your house lakini sio kama kocha wa Taifa kwa sababu ameshindwa mtihani wa kwanza i.e amefeli na anatakiwa kufukuzwa. Unaongelea Mozambique ranking ya FIFA etc. - shida yako ukisoma rankings ndio unaweweseka unafikiria kwa sababu ranking yao ni kubwa basi hawafungiki. Tanzania tuna wachezaji wenye vipaji kila kona lakini kwa ajili ya kuajiri makocha uchwara kama Maximo ndio wanadumaza kukomalia kuchagua wale wanaoonekana kutoka Jangwani na Msimabazi maana ndio upeo mlionao.

Yaani hujui kwamba vyakula na vinywaji wanavyokula wachezaji vina effects kwenye performance yao? Yaani hujiu kwamba kila proper football club au professional footballers wana dietitians? Kwa taarifa tu ni kwamba current Arsenal squad imejengwa na vijana wengi waliosajiliwa wakiwa watoto wadogo, some of them went there when they were 14! Walikua spotted na mascouts wa club ambao wako all over the world, walibahatika kukutana na watu walioona vipaji vyao na wakapelekwa hapo kuendelezwa.Waliosajiliwa wakiwa wameshaiva kama Lehman,Rosicky, Hleb, Sagna wametoka kwenye vilabu vingine ambavyo pia vipi kwenye top leagues za dunia hii. By the way.... hakuna mtanzania anaechezea Arsenal!

Unaonekana unabisha kwamba suala la budget constraint halipo kwenye TFA, umesahau kuwa kuna kampuni moja ya Bia ndio ilidhamini hizo safari huko majuu? Pamoja na hayo bado ni kichekesho kufananisha hela waliyonayo TFA na FA. Kama ingetokea timu za ............................................................. England watakaa kwenye one of the top 5 stars hotel wakati Stars watalala kwenye cheap B&B (tena wanaweza wakashare rooms!).Ukija kwenye msosi ni basi tu hakuna mama ntilie ulaya lakini wangekwepo vijana wetu wangepelekwa huko wakati wenzao wa England wakijidai na buffet!Viongozi wa timu wanapiga panga umoumo.

Again on your flip flopping side - Huyu Maximo umempa vijana wa miaka 14? Maana unasema matunda yake yataonekana baada ya miaka 10, hebu tuwekee programme ambazo anafanya kwa vijana wa miaka 10? Au unapiga soga tu? Unaweka tamaa mbele kabla ya kazi. Ni wapi stars walilala kwenye B & B wakati wa Max? Alipewa kila kitu na vitendea kazi kwa sababu yeye sio bingwa wa kufanya timu ishinde ndio alikotufikisha, mtetee lakini matokeo utayaona ni katika kuendeleza uvundo na mnuko uliopo katika sakata zima la kumuajiri kinyemela.
 
Kaka Dua unaonekana unapenda ubishi sana, alafu unatumia hoja za nguvu na si nguvu za hoja, angalia analysis ya kanakansungu ilivyotulia,ana data na inaonekana anakijua anachokiongelea kwa undani tofauti na wewe, yani kuendelea kujibizana nae hapa unazidi kujiembarass tu. Punguza jazba, huyo Maximo huna cha kumfanya na wala sidhani kama atafukuzwa kazi leo au kesho, ataendelea kuwepo tu labda mpaka baada ya mechi za world cup qualifications kuisha.
 
Kaka Dua unaonekana unapenda ubishi sana, alafu unatumia hoja za nguvu na si nguvu za hoja, angalia analysis ya kanakansungu ilivyotulia,ana data na inaonekana anakijua anachokiongelea kwa undani tofauti na wewe, yani kuendelea kujibizana nae hapa unazidi kujiembarass tu. Punguza jazba, huyo Maximo huna cha kumfanya na wala sidhani kama atafukuzwa kazi leo au kesho, ataendelea kuwepo tu labda mpaka baada ya mechi za world cup qualifications kuisha.

Tangu lini nikaji-embrass kwani nimekwambia nahitaji umaarufu kwako? Wewe hupendi ubishi? Nini kimekuleta hapa? Kwi kwi kwi kwi......................
Analysis ipi ambayo unanionyesha kwani tunahitaji kukariri hapa? Maximo up to now ame-deliver ZERO sasa nyinyi ambao mpo hapa kutetea pumba zake ndiyo mjikusanye njooni mteteeni lakini siwezi kukubali ufujaji wa pesa za walalahoi ati kwa sababu ya unazi wenu ambao unaangalia na kuishia Jangwani na Msimbazi. Soma uelewe content ya mjadala sio kuparamia tu.

Wewe unashindwa nini kutupatia utaratibu wa kuajiriwa kwake? Ati kocha bingwa ameshindwa kutumia mbinu wakati alipewa kila kitu na shukurani yake ni kwenda kuchafua kapeti kwenye bunge letu. SIRI SIRI kila mahali, lini mtakuwa wawazi na kuweka mambo yote yanayohusu mustakabali wa taifa hadharani? Ati Wakudata haya lete hizo wakudata zako tuangalie kama zina kichwa na mkia. Lakini hadi hivi sasa naona hamuwezi kuleta programme yoyote ile ya huyu Maximo - Mwondoeni huyo tapeli wenu mliomwajiri kinyemela. Halafu TRA lazima wamuulize analipa kodi kiasi gani? Au ndio alikwisha samehewa? Utapeli kila mahali ndio sababu hata baraka ya ushindi mdogo tu bado hamjapata.
 
though nasikia Tz imechupa kwenye rankings za fifa ila tuu naona kiwango cha mpira charudi kuleee tulikotoka kuwa kichwa cha mwenda wazimu...
 
Aaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

mimi sina raha- huwezi husema mambo yatakuwa poa siku zijazo- wakati Watz wana hamu na ushindi kwa sasa! Je tusubiri hadi lini?
 
hilondilo swali na kero hasaaa!twangojea mpaka lini??as hatuishi kujazwa ujinga mara ghana lzma tuende...mara challenji yetuu tusipoangalia hata hilo kundi tulilopangiwa tuu kwa ajili ya 2010 hatuvuki as washindi wa pili!!!!where it wil b too late i guess for anything to happen as tutakua out of mataifa ya afrika ya 2010!!so next thing will be kusubiria 2012 mataifa ya Afrika!!
 
besides why hamna makocha wazalendo wenye hata kanafasi ka ku mshauri juu ya wachezaji wa kuchaguliwa timu ya Taifa??mimi sio simba wala yanga ila tujiulize why watoto kama Mrisho Ngassa wa Yanga na Juma Kaseja hawaitwi??wale kina Patric Mangunguru,Julius Mrope waliowika na Serengeti boys wakati ule sijui wako wapi for now maskini ya Mungu n as kuhusiana na Age kimaandishi they are still young!!
wat other type of vipaji he needs kuvikuza??
 
It's time for MINIMO to go, he has achieve nothing and in my opinion he is not a good coach at all. There is no need to wait much longer, fire him and look for replacement asap for 2010's preparation.
 
It's time for MINIMO to go, he has achieve nothing and in my opinion he is not a good coach at all. There is no need to wait much longer, fire him and look for replacement asap for 2010's preparation.

i support u though najua wengi watasema kuwa it wont help as tutakua twachange timu kila mara...ila sidhani kama ni bora kuendelea na kukaa na mtu ambaye has proven to be nothing tumshikilie tuu for the sake of having kocha wa muda mrefu huku tukizidi kuvurunda
 
Back
Top Bottom