Inachosa sana, kwakweli nimehisi uchungu moyoni, it is a betrayal of the highest order!!!!!!!!!!!!!!!!!
Anyways, mimi nadhani nenda kahudhurie ndoa na harusi ya shosti kama ambavyo mchangiaji mmoja amesema hapo juu wanawake huwa tunamind sana.
Pili, mahudhurio yako yatapelekea hata siku ukiamua kumuuliza shostito kilichotokea anaweza kukueleza ukweli basi nawe utapata kuelewa, kwani hata usipoenda harusini hutapata majibu ya kilichosababisha mmoja kufa na wengine wawili kuoana.
Anyways, mimi nadhani nenda kahudhurie ndoa na harusi ya shosti kama ambavyo mchangiaji mmoja amesema hapo juu wanawake huwa tunamind sana.
Pili, mahudhurio yako yatapelekea hata siku ukiamua kumuuliza shostito kilichotokea anaweza kukueleza ukweli basi nawe utapata kuelewa, kwani hata usipoenda harusini hutapata majibu ya kilichosababisha mmoja kufa na wengine wawili kuoana.