The Analyst
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 464
- 246
Salaams!
Wapendwa, mmewahi kusikia majigambo ya mashost juu ya kuwateka kiakili/kimapenzi bwana zao wakionesha kiganja na kudai wamewaka hapo kumaanisha jamaa zao hawana ujanja na hawafurukuti?
Nimekuwa nachekeshwa sana na kauli za aina hii maana nijuavyo mimi mwanaume kumkubalia mambo mengi partner wake si lazima itokane na kupagawishwa saana kimapenzi au kiujeuri na mwandani huyo. Wakati mwingine jamaa anakuwa anamwonea huruma kutokana na pengine hali yake duni kimaisha, marketability (hauziki/havutii), historical background nk. lakini kabla ya kuchunguza vijimambo hivi demu hudhania yeye ni special saaaaana na kwamba ndiyo maana anapewa kila anachokitaka.
Mashost tujuzeni kaka zenu, nani huwarubuni nyie kiasi cha kuamini mmewaweka bwana zenu viganjani na hawafurukuti? Siku ukigundua mdogo wako tumbo moja ana mimba ya mshikaji utafuta vipi kauli?
Wapendwa, mmewahi kusikia majigambo ya mashost juu ya kuwateka kiakili/kimapenzi bwana zao wakionesha kiganja na kudai wamewaka hapo kumaanisha jamaa zao hawana ujanja na hawafurukuti?
Nimekuwa nachekeshwa sana na kauli za aina hii maana nijuavyo mimi mwanaume kumkubalia mambo mengi partner wake si lazima itokane na kupagawishwa saana kimapenzi au kiujeuri na mwandani huyo. Wakati mwingine jamaa anakuwa anamwonea huruma kutokana na pengine hali yake duni kimaisha, marketability (hauziki/havutii), historical background nk. lakini kabla ya kuchunguza vijimambo hivi demu hudhania yeye ni special saaaaana na kwamba ndiyo maana anapewa kila anachokitaka.
Mashost tujuzeni kaka zenu, nani huwarubuni nyie kiasi cha kuamini mmewaweka bwana zenu viganjani na hawafurukuti? Siku ukigundua mdogo wako tumbo moja ana mimba ya mshikaji utafuta vipi kauli?