Emeka Onono
Senior Member
- Jul 3, 2011
- 114
- 15
Wana jf,habarin za wikiend,mwenye taarifa kuhusu zile nafas za kaz za kufundisha (TA,LECTURER) wameshaita interview? Mwenye kujua naomba atupashe habar
asante ngaliba dume sina swal hapo,nimeshakosa mana nami niliombaMda mrèfu..walianza ma-TA wa IT,wakaja wa Social science(HR and Sociology)....!una jingne?
Ukisikia paaaa! Jua imekukosa. Pole sana kiongozi try again later!asante ngaliba dume sina swal hapo,nimeshakosa mana nami niliomba
Ukisikia paaaa! Jua imekukosa. Pole sana kiongozi try again later!asante ngaliba dume sina swal hapo,nimeshakosa mana nami niliomba