Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 2,392
- 5,792
Ni gamba la chui nini?Kuna course nilipata pale college of informatics UDOM, basi Kila sehemu nikionyesha lile gamba imoo😂
God is always Great 🙏
Ni gamba la chui nini?Kuna course nilipata pale college of informatics UDOM, basi Kila sehemu nikionyesha lile gamba imoo😂
God is always Great 🙏
SaafiUfundi gypsum na ceiling in general, hii nilijifunza site moja kwa moja nilipoanza kibarua baada ya life kunichapa juu kati na chini, nikaingia site nikakutana na hizi mbishe wana wanapiga nikajiunga sijawahi kujutia na hakuna kurudi nyuma, natamani hata ningemaliza tu 4 ningekuja pande hizi
Fundi halali njaa😂Ufundi gypsum na ceiling in general, hii nilijifunza site moja kwa moja nilipoanza kibarua baada ya life kunichapa juu kati na chini, nikaingia site nikakutana na hizi mbishe wana wanapiga nikajiunga sijawahi kujutia na hakuna kurudi nyuma, natamani hata ningemaliza tu 4 ningekuja pande hizi
Nilikua mvuvi mwenye mafanikio kibiashara, mala viwanda vikafungwa fungwa, nikaibiwa nyavu pia na Machine zangu, nikaingia mjini nikazama kwenye magari, nikapiga course pale NIT, na nikawa Driver wa mashirika, japo kwa mbinde lakini mpaka leo hii nagonga Land Cruiser DFP toka 2009,na kazi hiyo ndo imeniganya kujenga, kununua usafiri tofauti tofauti, kulea familia yangu, full Michele na mikaa huko barabarani, watoto wanakua kwa uwezo wake Jaaliya
Maisha ni kuchagua na siyo muonekano kwa watu
Hongera mkuu maaana tunajifunza, wengine tunawaz bora tusingekula gamba la PETROLEUM CHEMISTRYUfundi gypsum na ceiling in general, hii nilijifunza site moja kwa moja nilipoanza kibarua baada ya life kunichapa juu kati na chini, nikaingia site nikakutana na hizi mbishe wana wanapiga nikajiunga sijawahi kujutia na hakuna kurudi nyuma, natamani hata ningemaliza tu 4 ningekuja pande hizi
Naam mkuu nipo matosa napakia Kokoto na mchanga na wahuni hakika sikosi ya kula, kwa graundi mambo magum sanaFundi halali njaa
Naam madamComments zinapendeza
PSV inamaanShukrani mkuu, psv driving sindio
Itakua la GISNi gamba la chui nini?
Public service vehicle.. udereva wa gari za abiria kwa kifupiPSV inamaan
Vip Driving, lakuendesha vibosile au wakubwa wizaran. Halmashauri nakadhalikaPSV inamaan
Aaah shukrani kwa ufafanuziPublic service vehicle.. udereva wa gari za abiria kwa kifupi
Yes ipo vetaShukrani mkuu hii nayo inapatikana veta pia
Taja acha uchoyoKuna course nilipata pale college of informatics UDOM, basi Kila sehemu nikionyesha lile gamba imoo
God is always Great
Shukrani mkuuYes ipo veta
Baada ya kupoteza ajira yangu, nikarudi darasani na kusoma MVM . Since then imenifungulia milango mingi.
Acheni kudanganyana.....shoti kozi ya kubadili maisha.....ni kujifunza namna ya kuchukua hela kutoka mahali zilipoifadhiwa..........hapo maisha yatabadilika!!!Wakuu, habari za muda na wakati huu.
Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa jalalani.
Nilikua napenda nijui ni short kozi gani ziliwafungulia milango ili na sisi wengine tupate kuokota mawili matatu.