Shoga yako anatembea na mumeo!

Mtambuzi the Great thing about this topic ni kua sio relevant kwangu.... Daima i have lady friends but sio level ya ushoga.... Rafiki yangu wa kike aruhusiwi (katika personal rules zangu) kumjua kiundani Mwanaume wangu, No! Not from me..... Ila nimekwazika YES I can rant kwa rafiki yangu kua nimeumia.... Na suala la kusema Rafiki yangu wakike anishauri nimuache mwanaume wangu for whatever reasons.... Labda kue na justifications za kutosha; For kwa upande wangu i can never advice my fellow woman amuache mwanaume wake....
 
Matatizo na raha zako tatua au share na mwenzako, na hii ni kwa wanawake na wanaume. Kwa upande mmoja, kumbuka kuwa kama utamweleza rafiki au shoga yako matatizo ya mwenzako, yeye anaweza kukuona wa ovyo, hujui kuhandle mambo na yeye kujiona staring, akafanya lile linalokushinda.

Kwa upande mwengine, kumweleza shoga yako (mara nyengine hata baadhi ya wanaume kwa marafiki zao) uzuri na utundu wa mwenzako kwenye 6x6 ndio kabisa unampa mwanya wa kwenda kujionea mwenyewe.

All in all, kama raha faidi na usimwambie mtu, kama matatizo yatatueni baina yenu au shirikisheni wazazi/walezi wenu but never to outsider hata iwe kwa sheikh au mchungaji.



Dah! Nilikusahau aisee.....
 
Mwanamke anayeipenda ndoa yake na kuthamini aibu ya mumewe hawezi kutoa mambo ya chumbani au nyumbani kwake na kuhadithia mashoga.
Matatizo yangu nitalia na mungu wangu na yakinishinda nitachagua yanayoongeleka nitaongea na mama yangu mzazi period.

una hekima ya hali ya juu mdada...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom