kesho jumamosi professa Issa Shivji na Jenerali Ulimwengu watakuwa na kongamano endelevu juu ya katiba mpya katika ukumbi wa nkurumah chuo kikuu kuanzia saa nne wote mnakaribishwa hata kama sio wana jamii ya mlimani,natamani hata Dk.Yusuf makamba angekuwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.