Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Wakuu haya mambo ni kweli? kwamba watz watapimwa afya na kugongwa nembo ya tbs ! Habari hizi zimeenea sana hapa samunge. Eti, watanzania wengi afya mgogoro ndio maana wanajaa; loliondo, vituo vya maombezi, kwa magagula, INDIA, n.k. na kwamba mapadre hawatafungisha ndoa bila hiyo nembo!!