RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,620
- 3,936
Katika pitapita zangu Mkoa wa Shinyanga nimefika kushuhudia mradi mkubwa wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga kwa ujumla mradi unaenda kwa kasi ingawa baada ya kufanya mahojiano na wakazi wa maeneo hayo ya mradi wamesema mradi ulikaa siku nyingi tangu serikali ya awamu ya nne ndiyo hospitali hiyo ilianza kujengwa baadae kutelekezwa.
Kiujumla mradi kwa sasa unakaribia kukamilika na mafundi wapo eneo la mradi wanaendelea na kazi hata hivyo kwa taarifa zilizopo mkuu wa wilaya alitangazia umma kuwa mradi huo utakamilika mwezi July.
Aidha hizi ni baadhi ya picha za majengo ya hospitali hiyo.
Kiujumla mradi kwa sasa unakaribia kukamilika na mafundi wapo eneo la mradi wanaendelea na kazi hata hivyo kwa taarifa zilizopo mkuu wa wilaya alitangazia umma kuwa mradi huo utakamilika mwezi July.
Aidha hizi ni baadhi ya picha za majengo ya hospitali hiyo.