Shilling ya tanzania

Wa Kwilondo

JF-Expert Member
Sep 15, 2007
1,081
312
Wadau naomba kujua kuhusu TShs kimataifa ni kuwa haina thamani au haijulikani? nimepita nchi nyingi kusini mwa Tanzania kwenye bureau de change,mabenk haionyeshwi exchange rate yake, even in black market haipo ukiacha mipakani kwetu. Na kwenye all international Tv in business news in exchange rate haipo zaidi ni Kshs & Ushs. Wadau Naomba elimu kuhusu hili. :usa::coffee:
 
Simple! We produce nothing for export for anybody to need our currency to purchase our products, or if we are produce anything, we use US dollars!
 
Currency rasmi ya nchi ya Tanzania ni US DOLLAR ndiyo maana wageni na wafanya biashara hawana haja ya kujua dhamani ya pesa yetu.
 
Tunazalisha japo kwa kiwango kidogo ila bei na ubora wa bidhaa zetu hauwezi kushindana na masoko ya jirani zetu. Hata pale ambapo tumezalisha bidhaa bora na bei nafuu bado thamani ya pesa yetu sio ya kuaminika inabadilika sana tena kwa tofauti kubwa kubwa. Hizi tofauti za kuyumba kwa thamani shilingi zinaweza kumsababishia mfanya biashara wa nje kupoteza pesa zake (kama akiamua kununua pesa yetu huko nje alipo kabla ya kuja Tanzania). Kwa sababu atapokuja Tanzania atakuta thamani ya pesa yetu imebadilika (mara nyingi pesa yetu huwa inaporomoka) basi atajikuta akinunua bidhaa pungufu. Kwa wafanya biashara na watu wengine wa nje ambao ni makini watapenda kuja na pesa inayotunza thamani kama vile dola halafu abadilishe akiwa ndani. Kwa ufupi pesa yetu haijatulia.
 
Back
Top Bottom