Sarafu iko sawa haishuki kwa kasi kiivyo. Bei za bidhaa zimepanda dunia nzima, watu tunaongezeka, na mahitaji yanaongezeka. Malighafi zinapanda bei, gharama za uzalishaji zinaongezeka hivyo bei ya mlaji itaongezeka tu.
Tunaagiza kutoka nje kwa wingi kuliko tunavyouza nje, hivyo tunatumia pesa za kigeni nyingi kununua nje kuliko kiasi tunachoingiza kwa kuuza nje. Haya sasa kuna vita, na wahusika wakuu ni wale wanao tusaidia kila siku, hivyo na misaada inapungua, yani hatupati subsidies kutoka serikalini au donor countries hivyo tuna ona kila kitu kiko juu.
Thamani ya pesa ina factor nyingi sana.
Tunaagiza kutoka nje kwa wingi kuliko tunavyouza nje, hivyo tunatumia pesa za kigeni nyingi kununua nje kuliko kiasi tunachoingiza kwa kuuza nje. Haya sasa kuna vita, na wahusika wakuu ni wale wanao tusaidia kila siku, hivyo na misaada inapungua, yani hatupati subsidies kutoka serikalini au donor countries hivyo tuna ona kila kitu kiko juu.
Thamani ya pesa ina factor nyingi sana.