Shida ilivyonichochea kuwa mlafi wa kuisoma Biblia

FaithClass

Member
Jul 16, 2023
14
114
Shida haina adabu!

Huo ni usemi ambao nilizoea kuusikia kwa wakubwa nilipokuwa mdogo. Lakini baada ya kuwa mtu mzima, nimebaini kuwa japo shida si nzuri, lakini wakati mwingine huweza kukusababisha kukutana na mambo mazuri.

Miaka mingi imeshapita, lakini ningali nikikumbuka jinsi changamoto ilivyonisukuma na kuishia kuwa mlafi wa Biblia, tabia ambayo namshukuru Mungu kuwa nayo. Imenisaidia sana.

Bada ya kuhitimu kidato cha Sita, nilikuwa na matumaini makubwa kuwa ningeunganisha na masomo ya Chuo Kikuu mwaka huo huo. Tofauti na matarajio yangu, sikupata nafasi mwaka huo, na hata mwaka uliofuatia.

Kana kwamba hilo halitoshi, uchumi nao ulinibana vilivyo. Kila kitu kiligeuka kuwa kinyume na matarajio niliyokuwa nayo.

Baada ya kufanya kila nililolifahamu bila mafanikio, ikiwa ni pamoja na kushauriwa na watu mbalimbali, niliona mahali pekee pa kupata msaada ni kwa Mungu. Niliamua kwamba kama Mungu huwa anajibu maombi, na nilijua kuwa anajibu, basi wakati huo ndiyo uliokuwa wakati wa muhimu sana kujibiwa kuliko wakati mwingine wo wote ule niliowahi kuwa nao. Niliazimia kuomba kwa namna ambayo sikuwahi kuomba.

Lakini, pamoja na maamuzi hayo, bado nilikuwa na changamoto mbili.
Ya kwanza, sikujua jinsi ya kuomba maombi yatakayoniletea majibu niliyoyahitaji.
Na ya pili, niliuhofia uliwengu wa roho.

Nilikuwa nimeuzingatia ushauri uliotolewa na Mhubiri mmoja aliyeshauri kuwa kama mtu ni mwombaji sana, ni muhimu sana Neno la Mungu liwepo kwa wingi ndani yake. Anapoomba sana, macho yake ya kiroho hufunguka na kuweza kuuona ulimwengu wa roho na vilivyomo humo. Pasipo ufahamu wa Neno, anaweza akashindwa kutofautisha cha MUngu na cha adui.

Ikiwa ataingia katika uliwengu wa roho bila kuwa na ufahamu wa Neno la Mungu moyoni mwake, kuna hatari ya kuweza kupotoshwa au kuathiriwa vibaya. Ni katika ulimwengu wa roho ndiko anakopatikana Mungu na Malaika Wake, na pia Shetani na jeshi lake la mapepo. Lakini kwa kuwa Neno nla Mungu ni Nuru, hukusaidia kutofautisha giza na Nuru.

Ilinichukua miezi mitatu kuisoma Biblia nzima kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo. Nilipomaliza hiyo awamu ya kwanza, nilinogewa na kuamua kuisoma tena kwa awamu nyingine, awamu ya pili.

Kwa jinsi nilivyohamasishwa na mambo niliyoanza kuyagundua kwenye Biblia, niliongeza bidii kiasi kwamba wakati mwingine nilikuwa nikitumia zaidi ya masaa ishirini kusoma. Ndani ya mwezi mmoja nilijikuta nimeimaliza Biblia kwa awamu ya pili.

Awamu ya pili ilifuatiwa na awamu ya tatu, ambayo yenyewe ilinichukua miezi kadhaa kuimaliza.

Hatimaye nilipata nilichokuwa nikikitafuta, na zaidi. Kwanza, nilijifunza jinsi ya kuitumia Imani kupata kazi, na hatimaye nikapata kazi.

Pili, kwa njia iyo hiyo ya Iman, niliweza kupata nafasi ya kuendelea na masomo ya Chuo, kipindi amabcho baadhi ya watu wangu wa karibu walikuwa wameshanikatia tamaa.

Zaidi ya hayo, niliyojifunza kwenye Biblia yaliendelea kunisaidia kuanzia kipindi hicho mpaka sasa. Kwangu mimi, Biblia ndiyo kitabu changu bora kuliko vitabu vingine vyote. Ninasoma vitabu mbali mbali, lakini kitabu namba moja ni Biblia. Kwangu, ni zaidi ya Kitabu.

Imenisaidia sana. Najua iliponitoa, ni mbali sana. Sijui ningelikuwaje leo hii kama isingelikuwa msaada wa Mungu nilioupata kwa Imani, baada ya kapata ufahamu wa Neno la Mungu kupitia Biblia! Kupitia Biblia, nilipata ufumbuzi wa changamoto ambazo Wasomi walishindwa kuzitatua.

Wakati mwingine ninapowasikia watu wakitilia mashaka uwezo wa Mungu, najikuta nawaonea huruma. Naamini wanafanya hivyo kwa kuwa hawajui kuwa hawajui.


Shida siyo nzuri, lakini zinaweza kukupelekea kupata vitu vizuri.
Kuna watu waliopata kazi zenye mishahara mikubwa sana baada ya kuachishwa kazi zenye mishahara ya kawaida.
Kuna watu waliofanikiwa kwenye biashara na kupata faida kubwa sana lakini ni baada ya kupata hasara kwenye biashara ya awali. Changamoto iliyowakumba haikuaacha kama walivyokuwa. Iliwasogeza mbele zaidi, kwenye mafanikio.

Inawezekana kwa sasa una changamoto unayokabiliana nayo. Rai yangu kwako ni hii: USIKATE TAMAA.

Kila siku amka ukiamini kuwa ndiyo siku ya muujiza wako. Fanya bidii kufanya lililo katika uwezo wako. Usihofu ikiwa matokeo yataendelea kuwa kinyume na matarjio yako. Muhimu ni wewe kuwa na bidii kutimiza wajibu wako.

Huenda matokeo yasiwe kama ulivyotarajia, lakini ikiwa utaendelea kufanya bidii kufanya yaliyo katika uwezo wako, ikiwa ni pamoja na kuendelea kujifunza namna bora zaidi ya kufanya yakupasayo, ipo siku utayafikia matokeo mazuri kuliko hata uliyoyatarajia.

Unaweza ukaishia kugundua ambacho usingegundua kama usingekutana na hiyo changamoto.

Shida zipo, na zitaendelea kuwepo. Lakini, unaweza ukazitumia kama daraja la kukupeleka kwenye mazuri.

Zinaweza zikawa zimekuja kwa lengo la kukuzamisha, lakini wewe zigeuze ziwe daraja la kuvukia. Hata ziwe kubwa kiasi gani, usiziruhusu ziingie moyoni mwako. Tazamia kesho yenye shangwe!!!

Ni wakati wako wa kung'aa sana kuzidi ulivyowahi kung'aa!!!
 
Shida haina adabu!

Huo ni usemi ambao nilizoea kuusikia kwa wakubwa nilipokuwa mdogo. Lakini baada ya kuwa mtu mzima, nimebaini kuwa japo shida si nzuri, lakini wakati mwingine huweza kukusababisha kukutana na mambo mazuri.

Miaka mingi imeshapita, lakini ningali nikikumbuka jinsi changamoto ilivyonisukuma na kuishia kuwa mlafi wa Biblia, tabia ambayo namshukuru Mungu kuwa nayo. Imenisaidia sana.

Bada ya kuhitimu kidato cha Sita, nilikuwa na matumaini makubwa kuwa ningeunganisha na masomo ya Chuo Kikuu mwaka huo huo. Tofauti na matarajio yangu, sikupata nafasi mwaka huo, na hata mwaka uliofuatia.

Kana kwamba hilo halitoshi, uchumi nao ulinibana vilivyo. Kila kitu kiligeuka kuwa kinyume na matarajio niliyokuwa nayo.

Baada ya kufanya kila nililolifahamu bila mafanikio, ikiwa ni pamoja na kushauriwa na watu mbalimbali, niliona mahali pekee pa kupata msaada ni kwa Mungu. Niliamua kwamba kama Mungu huwa anajibu maombi, na nilijua kuwa anajibu, basi wakati huo ndiyo uliokuwa wakati wa muhimu sana kujibiwa kuliko wakati mwingine wo wote ule niliowahi kuwa nao. Niliazimia kuomba kwa namna ambayo sikuwahi kuomba.

Lakini, pamoja na maamuzi hayo, bado nilikuwa na changamoto mbili.
Ya kwanza, sikujua jinsi ya kuomba maombi yatakayoniletea majibu niliyoyahitaji.
Na ya pili, niliuhofia uliwengu wa roho.

Nilikuwa nimeuzingatia ushauri uliotolewa na Mhubiri mmoja aliyeshauri kuwa kama mtu ni mwombaji sana, ni muhimu sana Neno la Mungu liwepo kwa wingi ndani yake. Anapoomba sana, macho yake ya kiroho hufunguka na kuweza kuuona ulimwengu wa roho na vilivyomo humo. Pasipo ufahamu wa Neno, anaweza akashindwa kutofautisha cha MUngu na cha adui.

Ikiwa ataingia katika uliwengu wa roho bila kuwa na ufahamu wa Neno la Mungu moyoni mwake, kuna hatari ya kuweza kupotoshwa au kuathiriwa vibaya. Ni katika ulimwengu wa roho ndiko anakopatikana Mungu na Malaika Wake, na pia Shetani na jeshi lake la mapepo. Lakini kwa kuwa Neno nla Mungu ni Nuru, hukusaidia kutofautisha giza na Nuru.

Ilinichukua miezi mitatu kuisoma Biblia nzima kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo. Nilipomaliza hiyo awamu ya kwanza, nilinogewa na kuamua kuisoma tena kwa awamu nyingine, awamu ya pili.

Kwa jinsi nilivyohamasishwa na mambo niliyoanza kuyagundua kwenye Biblia, niliongeza bidii kiasi kwamba wakati mwingine nilikuwa nikitumia zaidi ya masaa ishirini kusoma. Ndani ya mwezi mmoja nilijikuta nimeimaliza Biblia kwa awamu ya pili.

Awamu ya pili ilifuatiwa na awamu ya tatu, ambayo yenyewe ilinichukua miezi kadhaa kuimaliza.

Hatimaye nilipata nilichokuwa nikikitafuta, na zaidi. Kwanza, nilijifunza jinsi ya kuitumia Imani kupata kazi, na hatimaye nikapata kazi.

Pili, kwa njia iyo hiyo ya Iman, niliweza kupata nafasi ya kuendelea na masomo ya Chuo, kipindi amabcho baadhi ya watu wangu wa karibu walikuwa wameshanikatia tamaa.

Zaidi ya hayo, niliyojifunza kwenye Biblia yaliendelea kunisaidia kuanzia kipindi hicho mpaka sasa. Kwangu mimi, Biblia ndiyo kitabu changu bora kuliko vitabu vingine vyote. Ninasoma vitabu mbali mbali, lakini kitabu namba moja ni Biblia. Kwangu, ni zaidi ya Kitabu.

Imenisaidia sana. Najua iliponitoa, ni mbali sana. Sijui ningelikuwaje leo hii kama isingelikuwa msaada wa Mungu nilioupata kwa Imani, baada ya kapata ufahamu wa Neno la Mungu kupitia Biblia! Kupitia Biblia, nilipata ufumbuzi wa changamoto ambazo Wasomi walishindwa kuzitatua.

Wakati mwingine ninapowasikia watu wakitilia mashaka uwezo wa Mungu, najikuta nawaonea huruma. Naamini wanafanya hivyo kwa kuwa hawajui kuwa hawajui.


Shida siyo nzuri, lakini zinaweza kukupelekea kupata vitu vizuri.
Kuna watu waliopata kazi zenye mishahara mikubwa sana baada ya kuachishwa kazi zenye mishahara ya kawaida.
Kuna watu waliofanikiwa kwenye biashara na kupata faida kubwa sana lakini ni baada ya kupata hasara kwenye biashara ya awali. Changamoto iliyowakumba haikuaacha kama walivyokuwa. Iliwasogeza mbele zaidi, kwenye mafanikio.

Inawezekana kwa sasa una changamoto unayokabiliana nayo. Rai yangu kwako ni hii: USIKATE TAMAA.

Kila siku amka ukiamini kuwa ndiyo siku ya muujiza wako. Fanya bidii kufanya lililo katika uwezo wako. Usihofu ikiwa matokeo yataendelea kuwa kinyume na matarjio yako. Muhimu ni wewe kuwa na bidii kutimiza wajibu wako.

Huenda matokeo yasiwe kama ulivyotarajia, lakini ikiwa utaendelea kufanya bidii kufanya yaliyo katika uwezo wako, ikiwa ni pamoja na kuendelea kujifunza namna bora zaidi ya kufanya yakupasayo, ipo siku utayafikia matokeo mazuri kuliko hata uliyoyatarajia.

Unaweza ukaishia kugundua ambacho usingegundua kama usingekutana na hiyo changamoto.

Shida zipo, na zitaendelea kuwepo. Lakini, unaweza ukazitumia kama daraja la kukupeleka kwenye mazuri.

Zinaweza zikawa zimekuja kwa lengo la kukuzamisha, lakini wewe zigeuze ziwe daraja la kuvukia. Hata ziwe kubwa kiasi gani, usiziruhusu ziingie moyoni mwako. Tazamia kesho yenye shangwe!!!

Ni wakati wako wa kung'aa sana kuzidi ulivyowahi kung'aa!!!
Biblia ni kitabu cha kijinga jinga sana.

Hakuna kitu cha maana utakipata humo zaidi ya kukucode ubongo wako usifikiri lamaana.

Na zaidi ya yote, unakuwa umejitumbukiza kwenye bahari ya ujinga tu.

Hutokuja kuuelewa ulimwengu kamwe.

Enhe, embu nieleze, kwahyo wewe umesoma biblia yote na ukaielewa kabsa!?
 
Biblia ni kitabu cha kijinga jinga sana.

Hakuna kitu cha maana utakipata humo zaidi ya kukucode ubongo wako usifikiri lamaana.

Na zaidi ya yote, unakuwa umejitumbukiza kwenye bahari ya ujinga tu.

Hutokuja kuuelewa ulimwengu kamwe.

Enhe, embu nieleze, kwahyo wewe umesoma biblia yote na ukaielewa kabsa!?
Mpumbavu husema Hakuna Mungu, na la ajabu hata kutengeneza nywele wa kichwa chake hawezi, alafu anamtusi aliemuumba... Pole Siku ukikutana na Nuru ya Kristo, utarudi kufuta hizi pumba ulizoandika hapo juu Tena kwa machozi!
 
Mpumbavu husema Hakuna Mungu, na la ajabu hata kutengeneza nywele wa kichwa chake hawezi, alafu anamtusi aliemuumba... Pole Siku ukikutana na Nuru ya Kristo, utarudi kufuta hizi pumba ulizoandika hapo juu Tena kwa machozi!
Punguza mihemko, uniijibu swali nlilokuuliza.
 
Biblia ni kitabu cha kijinga jinga sana.

Hakuna kitu cha maana utakipata humo zaidi ya kukucode ubongo wako usifikiri lamaana.

Na zaidi ya yote, unakuwa umejitumbukiza kwenye bahari ya ujinga tu.

Hutokuja kuuelewa ulimwengu kamwe.

Enhe, embu nieleze, kwahyo wewe umesoma biblia yote na ukaielewa kabsa!?
Pole. Hujui ulitendalo.
 
Biblia ni kitabu cha kijinga jinga sana.

Hakuna kitu cha maana utakipata humo zaidi ya kukucode ubongo wako usifikiri lamaana.

Na zaidi ya yote, unakuwa umejitumbukiza kwenye bahari ya ujinga tu.

Hutokuja kuuelewa ulimwengu kamwe.

Enhe, embu nieleze, kwahyo wewe umesoma biblia yote na ukaielewa kabsa!?
Mwandishi hajakosea ,Biblia ndio kitabu bora wakat wote hata usome vya ma genius gan,lakin bible is number one book yenye maarifa na kila kitu kihusucho ,mwanadamu kimwili na kiroho.
 
Biblia ni kitabu kinafariji tu ila kitabu cha methal ni kitabu kinaendana na dunia yetu ya sasa vingne naona vimepitwa na wakati.
 
Mwandishi hajakosea ,Biblia ndio kitabu bora wakat wote hata usome vya ma genius gan,lakin bible is number one book yenye maarifa na kila kitu kihusucho ,mwanadamu kimwili na kiroho.
Niliposoma Biblia, nilishangazwa kukutana na masomo yaliyohusu Ujasiriamali, Biashara, Uwekezaji, Management, Leadership, Jeshi, Afya, Saikolojia, ndoa, malezi ya watoto, n.k.

Biblia ni STOO ya MAARIFA.
 
Shida haina adabu!

Huo ni usemi ambao nilizoea kuusikia kwa wakubwa nilipokuwa mdogo. Lakini baada ya kuwa mtu mzima, nimebaini kuwa japo shida si nzuri, lakini wakati mwingine huweza kukusababisha kukutana na mambo mazuri.

Miaka mingi imeshapita, lakini ningali nikikumbuka jinsi changamoto ilivyonisukuma na kuishia kuwa mlafi wa Biblia, tabia ambayo namshukuru Mungu kuwa nayo. Imenisaidia sana.

Bada ya kuhitimu kidato cha Sita, nilikuwa na matumaini makubwa kuwa ningeunganisha na masomo ya Chuo Kikuu mwaka huo huo. Tofauti na matarajio yangu, sikupata nafasi mwaka huo, na hata mwaka uliofuatia.

Kana kwamba hilo halitoshi, uchumi nao ulinibana vilivyo. Kila kitu kiligeuka kuwa kinyume na matarajio niliyokuwa nayo.

Baada ya kufanya kila nililolifahamu bila mafanikio, ikiwa ni pamoja na kushauriwa na watu mbalimbali, niliona mahali pekee pa kupata msaada ni kwa Mungu. Niliamua kwamba kama Mungu huwa anajibu maombi, na nilijua kuwa anajibu, basi wakati huo ndiyo uliokuwa wakati wa muhimu sana kujibiwa kuliko wakati mwingine wo wote ule niliowahi kuwa nao. Niliazimia kuomba kwa namna ambayo sikuwahi kuomba.

Lakini, pamoja na maamuzi hayo, bado nilikuwa na changamoto mbili.
Ya kwanza, sikujua jinsi ya kuomba maombi yatakayoniletea majibu niliyoyahitaji.
Na ya pili, niliuhofia uliwengu wa roho.

Nilikuwa nimeuzingatia ushauri uliotolewa na Mhubiri mmoja aliyeshauri kuwa kama mtu ni mwombaji sana, ni muhimu sana Neno la Mungu liwepo kwa wingi ndani yake. Anapoomba sana, macho yake ya kiroho hufunguka na kuweza kuuona ulimwengu wa roho na vilivyomo humo. Pasipo ufahamu wa Neno, anaweza akashindwa kutofautisha cha MUngu na cha adui.

Ikiwa ataingia katika uliwengu wa roho bila kuwa na ufahamu wa Neno la Mungu moyoni mwake, kuna hatari ya kuweza kupotoshwa au kuathiriwa vibaya. Ni katika ulimwengu wa roho ndiko anakopatikana Mungu na Malaika Wake, na pia Shetani na jeshi lake la mapepo. Lakini kwa kuwa Neno nla Mungu ni Nuru, hukusaidia kutofautisha giza na Nuru.

Ilinichukua miezi mitatu kuisoma Biblia nzima kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo. Nilipomaliza hiyo awamu ya kwanza, nilinogewa na kuamua kuisoma tena kwa awamu nyingine, awamu ya pili.

Kwa jinsi nilivyohamasishwa na mambo niliyoanza kuyagundua kwenye Biblia, niliongeza bidii kiasi kwamba wakati mwingine nilikuwa nikitumia zaidi ya masaa ishirini kusoma. Ndani ya mwezi mmoja nilijikuta nimeimaliza Biblia kwa awamu ya pili.

Awamu ya pili ilifuatiwa na awamu ya tatu, ambayo yenyewe ilinichukua miezi kadhaa kuimaliza.

Hatimaye nilipata nilichokuwa nikikitafuta, na zaidi. Kwanza, nilijifunza jinsi ya kuitumia Imani kupata kazi, na hatimaye nikapata kazi.

Pili, kwa njia iyo hiyo ya Iman, niliweza kupata nafasi ya kuendelea na masomo ya Chuo, kipindi amabcho baadhi ya watu wangu wa karibu walikuwa wameshanikatia tamaa.

Zaidi ya hayo, niliyojifunza kwenye Biblia yaliendelea kunisaidia kuanzia kipindi hicho mpaka sasa. Kwangu mimi, Biblia ndiyo kitabu changu bora kuliko vitabu vingine vyote. Ninasoma vitabu mbali mbali, lakini kitabu namba moja ni Biblia. Kwangu, ni zaidi ya Kitabu.

Imenisaidia sana. Najua iliponitoa, ni mbali sana. Sijui ningelikuwaje leo hii kama isingelikuwa msaada wa Mungu nilioupata kwa Imani, baada ya kapata ufahamu wa Neno la Mungu kupitia Biblia! Kupitia Biblia, nilipata ufumbuzi wa changamoto ambazo Wasomi walishindwa kuzitatua.

Wakati mwingine ninapowasikia watu wakitilia mashaka uwezo wa Mungu, najikuta nawaonea huruma. Naamini wanafanya hivyo kwa kuwa hawajui kuwa hawajui.


Shida siyo nzuri, lakini zinaweza kukupelekea kupata vitu vizuri.
Kuna watu waliopata kazi zenye mishahara mikubwa sana baada ya kuachishwa kazi zenye mishahara ya kawaida.
Kuna watu waliofanikiwa kwenye biashara na kupata faida kubwa sana lakini ni baada ya kupata hasara kwenye biashara ya awali. Changamoto iliyowakumba haikuaacha kama walivyokuwa. Iliwasogeza mbele zaidi, kwenye mafanikio.

Inawezekana kwa sasa una changamoto unayokabiliana nayo. Rai yangu kwako ni hii: USIKATE TAMAA.

Kila siku amka ukiamini kuwa ndiyo siku ya muujiza wako. Fanya bidii kufanya lililo katika uwezo wako. Usihofu ikiwa matokeo yataendelea kuwa kinyume na matarjio yako. Muhimu ni wewe kuwa na bidii kutimiza wajibu wako.

Huenda matokeo yasiwe kama ulivyotarajia, lakini ikiwa utaendelea kufanya bidii kufanya yaliyo katika uwezo wako, ikiwa ni pamoja na kuendelea kujifunza namna bora zaidi ya kufanya yakupasayo, ipo siku utayafikia matokeo mazuri kuliko hata uliyoyatarajia.

Unaweza ukaishia kugundua ambacho usingegundua kama usingekutana na hiyo changamoto.

Shida zipo, na zitaendelea kuwepo. Lakini, unaweza ukazitumia kama daraja la kukupeleka kwenye mazuri.

Zinaweza zikawa zimekuja kwa lengo la kukuzamisha, lakini wewe zigeuze ziwe daraja la kuvukia. Hata ziwe kubwa kiasi gani, usiziruhusu ziingie moyoni mwako. Tazamia kesho yenye shangwe!!!

Ni wakati wako wa kung'aa sana kuzidi ulivyowahi kung'aa!!!
Uzi bora wa wiki...
 
Shida haina adabu!

Huo ni usemi ambao nilizoea kuusikia kwa wakubwa nilipokuwa mdogo. Lakini baada ya kuwa mtu mzima, nimebaini kuwa japo shida si nzuri, lakini wakati mwingine huweza kukusababisha kukutana na mambo mazuri.

Miaka mingi imeshapita, lakini ningali nikikumbuka jinsi changamoto ilivyonisukuma na kuishia kuwa mlafi wa Biblia, tabia ambayo namshukuru Mungu kuwa nayo. Imenisaidia sana.

Bada ya kuhitimu kidato cha Sita, nilikuwa na matumaini makubwa kuwa ningeunganisha na masomo ya Chuo Kikuu mwaka huo huo. Tofauti na matarajio yangu, sikupata nafasi mwaka huo, na hata mwaka uliofuatia.

Kana kwamba hilo halitoshi, uchumi nao ulinibana vilivyo. Kila kitu kiligeuka kuwa kinyume na matarajio niliyokuwa nayo.

Baada ya kufanya kila nililolifahamu bila mafanikio, ikiwa ni pamoja na kushauriwa na watu mbalimbali, niliona mahali pekee pa kupata msaada ni kwa Mungu. Niliamua kwamba kama Mungu huwa anajibu maombi, na nilijua kuwa anajibu, basi wakati huo ndiyo uliokuwa wakati wa muhimu sana kujibiwa kuliko wakati mwingine wo wote ule niliowahi kuwa nao. Niliazimia kuomba kwa namna ambayo sikuwahi kuomba.

Lakini, pamoja na maamuzi hayo, bado nilikuwa na changamoto mbili.
Ya kwanza, sikujua jinsi ya kuomba maombi yatakayoniletea majibu niliyoyahitaji.
Na ya pili, niliuhofia uliwengu wa roho.

Nilikuwa nimeuzingatia ushauri uliotolewa na Mhubiri mmoja aliyeshauri kuwa kama mtu ni mwombaji sana, ni muhimu sana Neno la Mungu liwepo kwa wingi ndani yake. Anapoomba sana, macho yake ya kiroho hufunguka na kuweza kuuona ulimwengu wa roho na vilivyomo humo. Pasipo ufahamu wa Neno, anaweza akashindwa kutofautisha cha MUngu na cha adui.

Ikiwa ataingia katika uliwengu wa roho bila kuwa na ufahamu wa Neno la Mungu moyoni mwake, kuna hatari ya kuweza kupotoshwa au kuathiriwa vibaya. Ni katika ulimwengu wa roho ndiko anakopatikana Mungu na Malaika Wake, na pia Shetani na jeshi lake la mapepo. Lakini kwa kuwa Neno nla Mungu ni Nuru, hukusaidia kutofautisha giza na Nuru.

Ilinichukua miezi mitatu kuisoma Biblia nzima kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo. Nilipomaliza hiyo awamu ya kwanza, nilinogewa na kuamua kuisoma tena kwa awamu nyingine, awamu ya pili.

Kwa jinsi nilivyohamasishwa na mambo niliyoanza kuyagundua kwenye Biblia, niliongeza bidii kiasi kwamba wakati mwingine nilikuwa nikitumia zaidi ya masaa ishirini kusoma. Ndani ya mwezi mmoja nilijikuta nimeimaliza Biblia kwa awamu ya pili.

Awamu ya pili ilifuatiwa na awamu ya tatu, ambayo yenyewe ilinichukua miezi kadhaa kuimaliza.

Hatimaye nilipata nilichokuwa nikikitafuta, na zaidi. Kwanza, nilijifunza jinsi ya kuitumia Imani kupata kazi, na hatimaye nikapata kazi.

Pili, kwa njia iyo hiyo ya Iman, niliweza kupata nafasi ya kuendelea na masomo ya Chuo, kipindi amabcho baadhi ya watu wangu wa karibu walikuwa wameshanikatia tamaa.

Zaidi ya hayo, niliyojifunza kwenye Biblia yaliendelea kunisaidia kuanzia kipindi hicho mpaka sasa. Kwangu mimi, Biblia ndiyo kitabu changu bora kuliko vitabu vingine vyote. Ninasoma vitabu mbali mbali, lakini kitabu namba moja ni Biblia. Kwangu, ni zaidi ya Kitabu.

Imenisaidia sana. Najua iliponitoa, ni mbali sana. Sijui ningelikuwaje leo hii kama isingelikuwa msaada wa Mungu nilioupata kwa Imani, baada ya kapata ufahamu wa Neno la Mungu kupitia Biblia! Kupitia Biblia, nilipata ufumbuzi wa changamoto ambazo Wasomi walishindwa kuzitatua.

Wakati mwingine ninapowasikia watu wakitilia mashaka uwezo wa Mungu, najikuta nawaonea huruma. Naamini wanafanya hivyo kwa kuwa hawajui kuwa hawajui.


Shida siyo nzuri, lakini zinaweza kukupelekea kupata vitu vizuri.
Kuna watu waliopata kazi zenye mishahara mikubwa sana baada ya kuachishwa kazi zenye mishahara ya kawaida.
Kuna watu waliofanikiwa kwenye biashara na kupata faida kubwa sana lakini ni baada ya kupata hasara kwenye biashara ya awali. Changamoto iliyowakumba haikuaacha kama walivyokuwa. Iliwasogeza mbele zaidi, kwenye mafanikio.

Inawezekana kwa sasa una changamoto unayokabiliana nayo. Rai yangu kwako ni hii: USIKATE TAMAA.

Kila siku amka ukiamini kuwa ndiyo siku ya muujiza wako. Fanya bidii kufanya lililo katika uwezo wako. Usihofu ikiwa matokeo yataendelea kuwa kinyume na matarjio yako. Muhimu ni wewe kuwa na bidii kutimiza wajibu wako.

Huenda matokeo yasiwe kama ulivyotarajia, lakini ikiwa utaendelea kufanya bidii kufanya yaliyo katika uwezo wako, ikiwa ni pamoja na kuendelea kujifunza namna bora zaidi ya kufanya yakupasayo, ipo siku utayafikia matokeo mazuri kuliko hata uliyoyatarajia.

Unaweza ukaishia kugundua ambacho usingegundua kama usingekutana na hiyo changamoto.

Shida zipo, na zitaendelea kuwepo. Lakini, unaweza ukazitumia kama daraja la kukupeleka kwenye mazuri.

Zinaweza zikawa zimekuja kwa lengo la kukuzamisha, lakini wewe zigeuze ziwe daraja la kuvukia. Hata ziwe kubwa kiasi gani, usiziruhusu ziingie moyoni mwako. Tazamia kesho yenye shangwe!!!

Ni wakati wako wa kung'aa sana kuzidi ulivyowahi kung'aa!!!
Asante kwa ushuhuda huu umeniinua sana naamini nami nitapata kazi nzuri na kubwa sana kuliko ile iliyopotea kwa JINA LA YESU KRISTO, AMEN!
 
Shida haina adabu!

Huo ni usemi ambao nilizoea kuusikia kwa wakubwa nilipokuwa mdogo. Lakini baada ya kuwa mtu mzima, nimebaini kuwa japo shida si nzuri, lakini wakati mwingine huweza kukusababisha kukutana na mambo mazuri.

Miaka mingi imeshapita, lakini ningali nikikumbuka jinsi changamoto ilivyonisukuma na kuishia kuwa mlafi wa Biblia, tabia ambayo namshukuru Mungu kuwa nayo. Imenisaidia sana.

Bada ya kuhitimu kidato cha Sita, nilikuwa na matumaini makubwa kuwa ningeunganisha na masomo ya Chuo Kikuu mwaka huo huo. Tofauti na matarajio yangu, sikupata nafasi mwaka huo, na hata mwaka uliofuatia.

Kana kwamba hilo halitoshi, uchumi nao ulinibana vilivyo. Kila kitu kiligeuka kuwa kinyume na matarajio niliyokuwa nayo.

Baada ya kufanya kila nililolifahamu bila mafanikio, ikiwa ni pamoja na kushauriwa na watu mbalimbali, niliona mahali pekee pa kupata msaada ni kwa Mungu. Niliamua kwamba kama Mungu huwa anajibu maombi, na nilijua kuwa anajibu, basi wakati huo ndiyo uliokuwa wakati wa muhimu sana kujibiwa kuliko wakati mwingine wo wote ule niliowahi kuwa nao. Niliazimia kuomba kwa namna ambayo sikuwahi kuomba.

Lakini, pamoja na maamuzi hayo, bado nilikuwa na changamoto mbili.
Ya kwanza, sikujua jinsi ya kuomba maombi yatakayoniletea majibu niliyoyahitaji.
Na ya pili, niliuhofia uliwengu wa roho.

Nilikuwa nimeuzingatia ushauri uliotolewa na Mhubiri mmoja aliyeshauri kuwa kama mtu ni mwombaji sana, ni muhimu sana Neno la Mungu liwepo kwa wingi ndani yake. Anapoomba sana, macho yake ya kiroho hufunguka na kuweza kuuona ulimwengu wa roho na vilivyomo humo. Pasipo ufahamu wa Neno, anaweza akashindwa kutofautisha cha MUngu na cha adui.

Ikiwa ataingia katika uliwengu wa roho bila kuwa na ufahamu wa Neno la Mungu moyoni mwake, kuna hatari ya kuweza kupotoshwa au kuathiriwa vibaya. Ni katika ulimwengu wa roho ndiko anakopatikana Mungu na Malaika Wake, na pia Shetani na jeshi lake la mapepo. Lakini kwa kuwa Neno nla Mungu ni Nuru, hukusaidia kutofautisha giza na Nuru.

Ilinichukua miezi mitatu kuisoma Biblia nzima kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo. Nilipomaliza hiyo awamu ya kwanza, nilinogewa na kuamua kuisoma tena kwa awamu nyingine, awamu ya pili.

Kwa jinsi nilivyohamasishwa na mambo niliyoanza kuyagundua kwenye Biblia, niliongeza bidii kiasi kwamba wakati mwingine nilikuwa nikitumia zaidi ya masaa ishirini kusoma. Ndani ya mwezi mmoja nilijikuta nimeimaliza Biblia kwa awamu ya pili.

Awamu ya pili ilifuatiwa na awamu ya tatu, ambayo yenyewe ilinichukua miezi kadhaa kuimaliza.

Hatimaye nilipata nilichokuwa nikikitafuta, na zaidi. Kwanza, nilijifunza jinsi ya kuitumia Imani kupata kazi, na hatimaye nikapata kazi.

Pili, kwa njia iyo hiyo ya Iman, niliweza kupata nafasi ya kuendelea na masomo ya Chuo, kipindi amabcho baadhi ya watu wangu wa karibu walikuwa wameshanikatia tamaa.

Zaidi ya hayo, niliyojifunza kwenye Biblia yaliendelea kunisaidia kuanzia kipindi hicho mpaka sasa. Kwangu mimi, Biblia ndiyo kitabu changu bora kuliko vitabu vingine vyote. Ninasoma vitabu mbali mbali, lakini kitabu namba moja ni Biblia. Kwangu, ni zaidi ya Kitabu.

Imenisaidia sana. Najua iliponitoa, ni mbali sana. Sijui ningelikuwaje leo hii kama isingelikuwa msaada wa Mungu nilioupata kwa Imani, baada ya kapata ufahamu wa Neno la Mungu kupitia Biblia! Kupitia Biblia, nilipata ufumbuzi wa changamoto ambazo Wasomi walishindwa kuzitatua.

Wakati mwingine ninapowasikia watu wakitilia mashaka uwezo wa Mungu, najikuta nawaonea huruma. Naamini wanafanya hivyo kwa kuwa hawajui kuwa hawajui.


Shida siyo nzuri, lakini zinaweza kukupelekea kupata vitu vizuri.
Kuna watu waliopata kazi zenye mishahara mikubwa sana baada ya kuachishwa kazi zenye mishahara ya kawaida.
Kuna watu waliofanikiwa kwenye biashara na kupata faida kubwa sana lakini ni baada ya kupata hasara kwenye biashara ya awali. Changamoto iliyowakumba haikuaacha kama walivyokuwa. Iliwasogeza mbele zaidi, kwenye mafanikio.

Inawezekana kwa sasa una changamoto unayokabiliana nayo. Rai yangu kwako ni hii: USIKATE TAMAA.

Kila siku amka ukiamini kuwa ndiyo siku ya muujiza wako. Fanya bidii kufanya lililo katika uwezo wako. Usihofu ikiwa matokeo yataendelea kuwa kinyume na matarjio yako. Muhimu ni wewe kuwa na bidii kutimiza wajibu wako.

Huenda matokeo yasiwe kama ulivyotarajia, lakini ikiwa utaendelea kufanya bidii kufanya yaliyo katika uwezo wako, ikiwa ni pamoja na kuendelea kujifunza namna bora zaidi ya kufanya yakupasayo, ipo siku utayafikia matokeo mazuri kuliko hata uliyoyatarajia.

Unaweza ukaishia kugundua ambacho usingegundua kama usingekutana na hiyo changamoto.

Shida zipo, na zitaendelea kuwepo. Lakini, unaweza ukazitumia kama daraja la kukupeleka kwenye mazuri.

Zinaweza zikawa zimekuja kwa lengo la kukuzamisha, lakini wewe zigeuze ziwe daraja la kuvukia. Hata ziwe kubwa kiasi gani, usiziruhusu ziingie moyoni mwako. Tazamia kesho yenye shangwe!!!

Ni wakati wako wa kung'aa sana kuzidi ulivyowahi kung'aa!!!
Umeandika vitu vya msingi sana si wote wasomao watakuelewa ni wale tu wanaotumia jicho la tatu kutazama mambo ndio wanaweza kutoka na kitu hapa.
 
Kabisaa. Nasikia Bible ilikuwa miongoni mwa vitabu pendwa vya baba wa Taifa, hayati Nyerere.

Kama ni kweli, itakuwa kuna vitu alivibaini ambavyo kwa namna moja au nyingine vilikuwa vikimsaidia kwenye uongozi.
Inawezekana kwasababu Father alikuwa naye mtu wa kusoma soma sana vitabu, fikiria wazee wanakwambia ilifikia hatua alianza hata kukosoa MANIFESTO ya Karl Marx alipoona imezingua. Mzee yule kwakweli.
 
Back
Top Bottom