MwangwaJr2
Member
- Jun 29, 2011
- 55
- 9
Habarin wanajamii wenzangu mwenzenu nmekerwa na kitendo cha mh shibuda mbunge wa maswa kwa tiketi ya chadema kutounga mkono sera ya chama chake kuhusu posho kwangu mm namwona kama msaliti ,ndumilakuwili,si mzalendo wa kwel pia mlafi kwan ameona hatatosheka na mshahara wake alafu nna mashaka na msimamo wake wa upinzan dhid ya serikali ya ccm huyu tuwe naye macho anaweza kuwa mamluki wa serikali ya ccm naombeni comments zenu kuhusu hili jambo jamani;