AljuniorTz
JF-Expert Member
- Jan 6, 2009
- 544
- 17
Naomba sana kwa wale wenye uwezo wa kuzipata na watuwekee humu jamvini sheria za uchaguzi za tume ya taifa ya uchaguzi ili tuzijue na pia tuongeze upeo wa kuzifahamu sheria hizo.
Itatusaidia kupunguza malalamiko mbali mbali kuhusiana na taratibu za Uchaguzi hapa nchini.
Nawasilisha
Itatusaidia kupunguza malalamiko mbali mbali kuhusiana na taratibu za Uchaguzi hapa nchini.
Nawasilisha