Sheria ya Mafao ya wenza wa viongozi wakuu: Usultani unapiga hodi!?

NYONGEZA NA UPDATE
(Aasemavyo mwandishi maarufu )

"TUNAFUTA BIMA KWA MTOTO TUNAENDA KUMLIPA MAFAO MWENZA WA KIONGOZI.

Na Thadei Ole Mushi

1. Hili la kulipa mafao wenza wa Viongozi linatafakarisha. Cha muhimu sana wasiwasahau wenza wa wanajeshi wetu ambao hulala mipikani kulilinda taifa, madaktari na wauguzi wanaolala mahospitalini kuokoa roho za watanzania, wasisahau na walimu wanaowafundisha na kuondoa ujinga kwa watanzania kwenye mazingira magumu kabisa. Wakiwasahau tuwaombee hayo makundi yasije kuwa na wivu na Sheria hiyo.

2. Kama wakiyakumbuka makundi hayo niliyoyataja hapo juu, keki yote ya Taifa itageuka kulipa mafao ya wenza. Kupanga ni kuchagua…..

3. Mimi kama Mwana-CCM natamani sana chama changu kiendelee kushika hatamu, lakini kwa mbali naona umuhimu wa vyama vya upinzani kuwepo bungeni sheria kama hizi zingepata ukosoaji wenye tija na hatimaye ingeundwa sheria nzuri kabisa ambayo isingewakera watanzania. Hili bunge na chama kimoja linapitisha kila kitu hata kesho wakiletewa mswada wa watanzania kula kinyesi chao watapisha… hawana muda wa kuhoji sana.

4. Miswada kama hii inayochochea chuki kwa wananchi kimahesabu haitakiwi kupishwa au hata kujadiliwa mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi. Tumewapa Wapinzani agenda, hata kama ni kucheza hii rafu ingetakiwa ichezwe mara baada ya uchaguzi mkuu 2025 jambo hili lipo karibu sana na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu….. Chama chetu tunakipitisha kwenye misukosuko wenyewe ngoja tuone.

5.Hizi ndio akili zetu, tunaondoa bima kwa watoto tunaenda kuwalipa mafao wake na waume wa viongozi….. Mungu turejeshee akili zetu.

5. Hili kundi la wenza wa viongozi kabla ya mswada huu walikuwa wanapewa kila kitu hata baada ya kustaafu Kama ulinzi,nyumba, na wanaedelea kutunzwa na serikali kwa kila kitu lakini still hawariziki na sasa wamejitungia sheria ya kuendelea kunufaika zaidi na keki ya Taifa. Kwa taifa ambalo vijana wake wanazurura kwenye jua na mvua kutafuta ajira haya ni matusi kwao.

6. Nafikiri Busara ni kuwa Mafao yabaki kuwa ya mtumishi aliyeyachangia tu. Mtu ambaye hajayanchangia asinufaike nayo, hivi katika mazingira yaliyopo nani anayenufaika na keki ya taifa hili kati ya mwenza wa kigogo na mwenza wa mtumishi wa umma kama mwalimu, askari, mwanajeshi, madaktari na kadhalika?

7. Nchi maskini kama hii ambayo bado huduma za jamii hatujamaliza kumpatia kila mtu si sawa kuongeza matumizi ya fedha za Umma kwenye matumizi yasiyo ya Msingi. Kuna watu wanashare maji na mifugo, kuna maeneo watu wanatafuna mizizi badala ya kumeza dawa kutokana na gharama za matibabu hazishikiki…. Haya ni matusi kwao.

8. Wana CCM waliopo nje ya mhilimili wa Bunge tumuombe Rais Samia asisaini huu mswada kuwa Sheria kwanza kuna manufaa makubwa sana kisiasa kutokuusaini kwa sasa.

9. Ukiachana na mishahara mikubwa na minono ambayo viongozi hawa tunaojadili mafao ya wenza wao pia hulipwa mafao manono pindi wanapomaliza utumishi wao na pia huendelea kulipwa mishahara asilimia 80 ya mishahara ya viongozi wenye vyeo kama vyao waliopo madarakani. Yaani huyo kigogo akistaafa bado anaendelea kukamua asilimia 80 ya uliokuwa mshahara wake akiwa nyumbani huyu tunamjadili tena mwenza wake kumlipa mafao kwa kazi gani aliyofanya? Hivi mnawaona watumishi wa umma waliostaafu nusu yao akili zinawaruka kutokana na frustration za kikokotoo na maisha magumu?

10. Jambo hili linaondoa kabisa uzalendo huku chini kwa watumishi wa Umma. Yaani kila atakayepata mrija wa kunyonya akilimnuka huu mswada hataacha kunyonya na kufanya ubadirifu wa mali za umma. Uzalendo hujengwa na mambo mengi hili linawaondolea watanzania wengi uzalendo wao. Nendeni mkaangalie salary slip za watumishi wa Umma wengi wanapokea kiwango cha mwisho cha mishahara yao kutokana na mikopo wakisikia haya wanajisikiaje?

Kila mwanaccm mwenye akili ahoji jambo hili…. Kuwa mwanaccm sio kukubali kila kitu.

Mithali 16: 18-20 inasema “Kiburi hutangulia kabla ya anguko”.

Ole Mushi
0712702602"


Hii ni aibu ya karne-tamaa ya fisi kwa mali ya umma
Aisee Bwa Ole Mushi Nchi inadidimia
 
Tuongee ukweli ..kati yetu hapa ukitokea umepata bahati ya kupiga kama wanavyowafanya wanasiasa..Kuna mtu anaweza kukataa au kusema hataki ..haswa akiangalia shida alizopitia kimaisha yeye na jamii yake!?
Tatizo basi ni Shida? Kama Waziei Mkuu au Spika wa Bunge ana shida gani?
Au Jaji Mkuu?
 
Salma kweli huwa ni kilazaa simlaumu, na bunge letu jee....kama linalala sheria ya hovyo hivi inapita, kuna umuhimu gani wa kuwepo kwa bunge sasa??
Vijiwe vya kahawa hawawezi pitisha sheria za kipuuzi hivi!.
Kuna wabunge wana PhD
Wanajiita dokita my foot
Poor reason
Poor thinking
Ovyo kabsaaa
Nitawanyoosha 2025
 
Walioleta mswaada ni serikali, vilaza waliounga mkono ni wabunge wote.
Wafanyakazi na wanasiasa wanaiibia nchi kulia na kushoto.
Nchi inaingia laana ya Usultani.
Kila MTU anaiba kulingana na level yake
Tatizo ni uongozi
Acha tulambe asali sisi
 
JK hana kosa,wakulaumiwa ni wabunge,yaani kilaza darasa la saba Salima kawaingiza mkenge na wamejaa tele,pumbavu kabisa
PhD holder
Dokita wa mchongo
Thesis ya mchongo
Chuo cha mchongo
Cabinet ya chuo ya mchongo

Ovyo ovyo tuu tutafika tuu
Ngoja tulambe asali sisi
Hii michongo ni mitamu japo sio mizuri lkn
 
Mwananchi huyu kaeleza yote.

Kati ya sheria za kuchekesha na kuudhi kwa pamoja kwa mlipa kodi, ni hii sheria iliyopitishwa na Bunge wiki hii.

Ati nao WENZA wa viongozi wakuu , nao wapewe mafungu ya pesa zilizokusanywa kama kodi kutoka kwa walalahoi.

Sasa mwenza naye ameshakuwa kiongozi, ambaye hakuchaguliwa na wananchi, lakini mume/mke analipwa mafao ya juu akiwa anatumikia nchi, na analipwa 80% ya mafao yake akimaliza muda wake kiofisi.

Sasa hao wenza inaelekea tamaa imewazidi , wameshajiweka kuwa wanastahili maisha yao yote KUTUNZWA na kodi za walala hoi.
Ati watoto walizoea kupelekwa shule na ma V8, waendelee kuishi hivyo, kwa gharama ya walipa kodi.

Mama Salma Kikwete, mbunge, ndiye alionyesha tamaa hiyo hadharani.

Hilo ni licha ya kwamba mh. Kikwete ana mafao ya urais, na mama Kikwete ana mafao ya ustaafu wa ubunge na mtoto wao Ridhiwani naye mbunge, atakuwa na mafao ya ubunge.

Hii hali kiurahisi sijui utaielezaje.
Ni wizi wa kuaminiwa?
Ni tamaa iliyopitiliza kwa resources za nchi?
Ni kwa kuwaona wananchi kuwa wajinga?

Mwalimu Nyerere pamoja na urais wake, alipong'atuka urais, alirudi Butiama kulima maharage.
Yule mzee alikuwa mtu wa kiasi.

Jakaya Kikwete kwa kweli amelichafua jina lake kwa hili.

Tusipoliondoa hili tutajenga tabaka la watu wanaofyonza hazina kwa kutolifanyia chochote taifa hili.

Na huo utakuwa Usultani.


NYONGEZA NA UPDATE
(Aasemavyo mwandishi maarufu )

TUNAFUTA BIMA KWA MTOTO TUNAENDA KUMLIPA MAFAO MWENZA WA KIONGOZI.

Na Thadei Ole Mushi

1. Hili la kulipa mafao wenza wa Viongozi linatafakarisha. Cha muhimu sana wasiwasahau wenza wa wanajeshi wetu ambao hulala mipikani kulilinda taifa, madaktari na wauguzi wanaolala mahospitalini kuokoa roho za watanzania, wasisahau na walimu wanaowafundisha na kuondoa ujinga kwa watanzania kwenye mazingira magumu kabisa. Wakiwasahau tuwaombee hayo makundi yasije kuwa na wivu na Sheria hiyo.

2. Kama wakiyakumbuka makundi hayo niliyoyataja hapo juu, keki yote ya Taifa itageuka kulipa mafao ya wenza. Kupanga ni kuchagua…..

3. Mimi kama Mwana-CCM natamani sana chama changu kiendelee kushika hatamu, lakini kwa mbali naona umuhimu wa vyama vya upinzani kuwepo bungeni sheria kama hizi zingepata ukosoaji wenye tija na hatimaye ingeundwa sheria nzuri kabisa ambayo isingewakera watanzania. Hili bunge na chama kimoja linapitisha kila kitu hata kesho wakiletewa mswada wa watanzania kula kinyesi chao watapisha… hawana muda wa kuhoji sana.

4. Miswada kama hii inayochochea chuki kwa wananchi kimahesabu haitakiwi kupishwa au hata kujadiliwa mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi. Tumewapa Wapinzani agenda, hata kama ni kucheza hii rafu ingetakiwa ichezwe mara baada ya uchaguzi mkuu 2025 jambo hili lipo karibu sana na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu….. Chama chetu tunakipitisha kwenye misukosuko wenyewe ngoja tuone.

5.Hizi ndio akili zetu, tunaondoa bima kwa watoto tunaenda kuwalipa mafao wake na waume wa viongozi….. Mungu turejeshee akili zetu.

5. Hili kundi la wenza wa viongozi kabla ya mswada huu walikuwa wanapewa kila kitu hata baada ya kustaafu Kama ulinzi,nyumba, na wanaedelea kutunzwa na serikali kwa kila kitu lakini still hawariziki na sasa wamejitungia sheria ya kuendelea kunufaika zaidi na keki ya Taifa. Kwa taifa ambalo vijana wake wanazurura kwenye jua na mvua kutafuta ajira haya ni matusi kwao.

6. Nafikiri Busara ni kuwa Mafao yabaki kuwa ya mtumishi aliyeyachangia tu. Mtu ambaye hajayanchangia asinufaike nayo, hivi katika mazingira yaliyopo nani anayenufaika na keki ya taifa hili kati ya mwenza wa kigogo na mwenza wa mtumishi wa umma kama mwalimu, askari, mwanajeshi, madaktari na kadhalika?

7. Nchi maskini kama hii ambayo bado huduma za jamii hatujamaliza kumpatia kila mtu si sawa kuongeza matumizi ya fedha za Umma kwenye matumizi yasiyo ya Msingi. Kuna watu wanashare maji na mifugo, kuna maeneo watu wanatafuna mizizi badala ya kumeza dawa kutokana na gharama za matibabu hazishikiki…. Haya ni matusi kwao.

8. Wana CCM waliopo nje ya mhilimili wa Bunge tumuombe Rais Samia asisaini huu mswada kuwa Sheria kwanza kuna manufaa makubwa sana kisiasa kutokuusaini kwa sasa.

9. Ukiachana na mishahara mikubwa na minono ambayo viongozi hawa tunaojadili mafao ya wenza wao pia hulipwa mafao manono pindi wanapomaliza utumishi wao na pia huendelea kulipwa mishahara asilimia 80 ya mishahara ya viongozi wenye vyeo kama vyao waliopo madarakani. Yaani huyo kigogo akistaafa bado anaendelea kukamua asilimia 80 ya uliokuwa mshahara wake akiwa nyumbani huyu tunamjadili tena mwenza wake kumlipa mafao kwa kazi gani aliyofanya? Hivi mnawaona watumishi wa umma waliostaafu nusu yao akili zinawaruka kutokana na frustration za kikokotoo na maisha magumu?

10. Jambo hili linaondoa kabisa uzalendo huku chini kwa watumishi wa Umma. Yaani kila atakayepata mrija wa kunyonya akilimnuka huu mswada hataacha kunyonya na kufanya ubadirifu wa mali za umma. Uzalendo hujengwa na mambo mengi hili linawaondolea watanzania wengi uzalendo wao. Nendeni mkaangalie salary slip za watumishi wa Umma wengi wanapokea kiwango cha mwisho cha mishahara yao kutokana na mikopo wakisikia haya wanajisikiaje?

Kila mwanaccm mwenye akili ahoji jambo hili…. Kuwa mwanaccm sio kukubali kila kitu.

Mithali 16: 18-20 inasema “Kiburi hutangulia kabla ya anguko”.

Ole Mushi
0712702602
Africa itawaliwe moja kwa moja tena ieleweke.
 
Wanasiasa wanafanya hivyo wanajua hii ni ya majuha, kesho utasikia wabunge wanataka posho ziongezwe nani wakizuia haya yasifanyike!? Hakuna na ndiyo maana kila siku hua nasema hakuna viumbe wabaya hapa duniani kama wanasiasa na ndiyo chanzo cha shida zote hizi. Huduma ya afya kwa wazee wajawazito watoto haipo, imebakia siasa tuna uzuri watumishi wa afya hua wanawapa makavu wagonjwa wao kubwa hakuna cha bure ukitaka kutibiwa control number ile pale nenda kalipie ukweli mchungu. wasiotaka kusikia wagonjwa. Harafu kuna wake wa wastaafu wenye kumiliki vitega uchumi na waume zao wanalipwa ambayo hayatamkiki. Na wabunge kwa vile ni watumishi wa shetani wanapitisha muswada huu, huku wakijua fika kama kuna kaya ambazo kesho yao Mungu tu ndiye anajua. Nini kitanishawishi kuto kukuona wewe mwanasiasa zaidi vampire. Dunia ilikuwa sehemu mzuri ya kuishi kusingekuwepo wanasiasa.
 
Mwananchi huyu kaeleza yote.

Kati ya sheria za kuchekesha na kuudhi kwa pamoja kwa mlipa kodi, ni hii sheria iliyopitishwa na Bunge wiki hii.

Ati nao WENZA wa viongozi wakuu , nao wapewe mafungu ya pesa zilizokusanywa kama kodi kutoka kwa walalahoi.

Sasa mwenza naye ameshakuwa kiongozi, ambaye hakuchaguliwa na wananchi, lakini mume/mke analipwa mafao ya juu akiwa anatumikia nchi, na analipwa 80% ya mafao yake akimaliza muda wake kiofisi.

Sasa hao wenza inaelekea tamaa imewazidi , wameshajiweka kuwa wanastahili maisha yao yote KUTUNZWA na kodi za walala hoi.
Ati watoto walizoea kupelekwa shule na ma V8, waendelee kuishi hivyo, kwa gharama ya walipa kodi.

Mama Salma Kikwete, mbunge, ndiye alionyesha tamaa hiyo hadharani.

Hilo ni licha ya kwamba mh. Kikwete ana mafao ya urais, na mama Kikwete ana mafao ya ustaafu wa ubunge na mtoto wao Ridhiwani naye mbunge, atakuwa na mafao ya ubunge.

Hii hali kiurahisi sijui utaielezaje.
Ni wizi wa kuaminiwa?
Ni tamaa iliyopitiliza kwa resources za nchi?
Ni kwa kuwaona wananchi kuwa wajinga?

Mwalimu Nyerere pamoja na urais wake, alipong'atuka urais, alirudi Butiama kulima maharage.
Yule mzee alikuwa mtu wa kiasi.

Jakaya Kikwete kwa kweli amelichafua jina lake kwa hili.

Tusipoliondoa hili tutajenga tabaka la watu wanaofyonza hazina kwa kutolifanyia chochote taifa hili.

Na huo utakuwa Usultani.


NYONGEZA NA UPDATE
(Aasemavyo mwandishi maarufu )

TUNAFUTA BIMA KWA MTOTO TUNAENDA KUMLIPA MAFAO MWENZA WA KIONGOZI.

Na Thadei Ole Mushi

1. Hili la kulipa mafao wenza wa Viongozi linatafakarisha. Cha muhimu sana wasiwasahau wenza wa wanajeshi wetu ambao hulala mipikani kulilinda taifa, madaktari na wauguzi wanaolala mahospitalini kuokoa roho za watanzania, wasisahau na walimu wanaowafundisha na kuondoa ujinga kwa watanzania kwenye mazingira magumu kabisa. Wakiwasahau tuwaombee hayo makundi yasije kuwa na wivu na Sheria hiyo.

2. Kama wakiyakumbuka makundi hayo niliyoyataja hapo juu, keki yote ya Taifa itageuka kulipa mafao ya wenza. Kupanga ni kuchagua…..

3. Mimi kama Mwana-CCM natamani sana chama changu kiendelee kushika hatamu, lakini kwa mbali naona umuhimu wa vyama vya upinzani kuwepo bungeni sheria kama hizi zingepata ukosoaji wenye tija na hatimaye ingeundwa sheria nzuri kabisa ambayo isingewakera watanzania. Hili bunge na chama kimoja linapitisha kila kitu hata kesho wakiletewa mswada wa watanzania kula kinyesi chao watapisha… hawana muda wa kuhoji sana.

4. Miswada kama hii inayochochea chuki kwa wananchi kimahesabu haitakiwi kupishwa au hata kujadiliwa mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi. Tumewapa Wapinzani agenda, hata kama ni kucheza hii rafu ingetakiwa ichezwe mara baada ya uchaguzi mkuu 2025 jambo hili lipo karibu sana na uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu….. Chama chetu tunakipitisha kwenye misukosuko wenyewe ngoja tuone.

5.Hizi ndio akili zetu, tunaondoa bima kwa watoto tunaenda kuwalipa mafao wake na waume wa viongozi….. Mungu turejeshee akili zetu.

5. Hili kundi la wenza wa viongozi kabla ya mswada huu walikuwa wanapewa kila kitu hata baada ya kustaafu Kama ulinzi,nyumba, na wanaedelea kutunzwa na serikali kwa kila kitu lakini still hawariziki na sasa wamejitungia sheria ya kuendelea kunufaika zaidi na keki ya Taifa. Kwa taifa ambalo vijana wake wanazurura kwenye jua na mvua kutafuta ajira haya ni matusi kwao.

6. Nafikiri Busara ni kuwa Mafao yabaki kuwa ya mtumishi aliyeyachangia tu. Mtu ambaye hajayanchangia asinufaike nayo, hivi katika mazingira yaliyopo nani anayenufaika na keki ya taifa hili kati ya mwenza wa kigogo na mwenza wa mtumishi wa umma kama mwalimu, askari, mwanajeshi, madaktari na kadhalika?

7. Nchi maskini kama hii ambayo bado huduma za jamii hatujamaliza kumpatia kila mtu si sawa kuongeza matumizi ya fedha za Umma kwenye matumizi yasiyo ya Msingi. Kuna watu wanashare maji na mifugo, kuna maeneo watu wanatafuna mizizi badala ya kumeza dawa kutokana na gharama za matibabu hazishikiki…. Haya ni matusi kwao.

8. Wana CCM waliopo nje ya mhilimili wa Bunge tumuombe Rais Samia asisaini huu mswada kuwa Sheria kwanza kuna manufaa makubwa sana kisiasa kutokuusaini kwa sasa.

9. Ukiachana na mishahara mikubwa na minono ambayo viongozi hawa tunaojadili mafao ya wenza wao pia hulipwa mafao manono pindi wanapomaliza utumishi wao na pia huendelea kulipwa mishahara asilimia 80 ya mishahara ya viongozi wenye vyeo kama vyao waliopo madarakani. Yaani huyo kigogo akistaafa bado anaendelea kukamua asilimia 80 ya uliokuwa mshahara wake akiwa nyumbani huyu tunamjadili tena mwenza wake kumlipa mafao kwa kazi gani aliyofanya? Hivi mnawaona watumishi wa umma waliostaafu nusu yao akili zinawaruka kutokana na frustration za kikokotoo na maisha magumu?

10. Jambo hili linaondoa kabisa uzalendo huku chini kwa watumishi wa Umma. Yaani kila atakayepata mrija wa kunyonya akilimnuka huu mswada hataacha kunyonya na kufanya ubadirifu wa mali za umma. Uzalendo hujengwa na mambo mengi hili linawaondolea watanzania wengi uzalendo wao. Nendeni mkaangalie salary slip za watumishi wa Umma wengi wanapokea kiwango cha mwisho cha mishahara yao kutokana na mikopo wakisikia haya wanajisikiaje?

Kila mwanaccm mwenye akili ahoji jambo hili…. Kuwa mwanaccm sio kukubali kila kitu.

Mithali 16: 18-20 inasema “Kiburi hutangulia kabla ya anguko”.

Ole Mushi
0712702602
Nchi imekufa, alisema mbunge juzi , wengi wenda hawakumuelewa, ni mkono wa Bwana na wenye nguvu, wa kulitoa taifa lilipo, Nafikili nyakati zimefika za ccm kuondoka kwa masononeko makubwa na majuto ,Mungu aendelee kuwatia nguvu watz, mda ni mwalim utaongea
 
Muwe mnaleta taarifa sahihi, ukweli ni kwamba wanalipwa mafao yao ya Kazi yao pindi wanapoacha kazi na kuwa wenza wa hao viongozi.

Mfano Mama Janeth alikuwa ni mwalimu, pale ambapo JPM alipotangazwa kuwa Raisi, Mama Janet aliacha kazi kwa kipindi kile hakulipwa mafao.

Ila kwasasa sheria inataka pale atakapoacha kazi alipwe. Vivyo hivyo kwa watumishi wa uma wakipata nafasi za kama za ubunge, udiwani n.k wanalipwa mafao yao hapo hapo.

Kitu pekee ninachoona fao la kujitoa kazini lirudi bila masharti, isiwe kwa viongozi tu bali kwa kila mtumishi.
Unaongea usichojua , iyosheria umeiona? Je mafao anayo takiwa kulipwa mfano Mama Janeth ambaye alikua mwalim ndo stahiki sahii angelipwa kama angestahafu kama mwalim? Au kisa tu alikua mke wa Rais ,
Hoja inabaki pale mke wa rais alipigiwa kura, mpaka awe na stahiki za kufuru za namna iyo?

Kama sio ulafi kwamba bado malupulupu ya mmewe kama rais hayatoshi mpaka mwongezea malupulupu ya namna iyo uku watumishi wengine wanateswa na vikokotoo,

Hii ni kufuru, na malipo yake yatakua mabaya sana
 
Ila Kwa Hili Serikali Imetukosea Sana Sana Yaani Family Zao Zina Neema Bado Zinaongezewa Mali Tele Tele
 
Unaongea usichojua , iyosheria umeiona? Je mafao anayo takiwa kulipwa mfano Mama Janeth ambaye alikua mwalim ndo stahiki sahii angelipwa kama angestahafu kama mwalim? Au kisa tu alikua mke wa Rais ,
Hoja inabaki pale mke wa rais alipigiwa kura, mpaka awe na stahiki za kufuru za namna iyo?

Kama sio ulafi kwamba bado malupulupu ya mmewe kama rais hayatoshi mpaka mwongezea malupulupu ya namna iyo uku watumishi wengine wanateswa na vikokotoo,

Hii ni kufuru, na malipo yake yatakua mabaya sana
Mnisanehe, nimetoka kuiona hiyo kitu ni tofauti kabisa walivyoongea bungeni, AMA KWELI USISIKILIZE WANACHOSEMA.

Yani mwenza anapata 25% ya kiinua mgongo cha Raisi, gari moja imeongezwa kutoka awali ambazo zilikuwa ni mbili, kwenye nyumba.... Niishie hapa tu nk.
 
Back
Top Bottom