Kwa hiyo watakuja jeshi la zimamoto tu ili wapigane na magaidi na kuzima na Moto kwa wakati mmoja.kazi ya majeshi mengine Ni nini?. Akili zingine shida sana. ndiyo maana waliotuzidi akili mnawaita mabeberuMagaidi mfano wamelipua sehemu na bomu na moto unawaka na wanawamalizia watu na risasi kwa situation hii watu wa zimamoto na uokoaji waje mikono mitupu