Sheria mpya, Jeshi la zima moto na uokoaji kupewa silaha za kazi gani

Nikuulize, ukikuta gari limepinduka huwa askari polisi wanalinda sehemu hiyo kwanini?

Kwa mfano ile ajali ya gari la mafuta iliyoua watu Morogoro unakumbuka kwamba askari walilaumiwa kwa kutolinda eneo lile ili wananchi wasivamie?

Soma upya jina la Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, utaona wanahitaji kujilinda na kulinda watu wakati wanapotekeleza shughuli za kuzima moto na kuokoa watu.
Achana na huyo lazima atakuwa nyumbu anataka kupora Mali wakati wa majanga kisa zimamoto hawana silaha.
 
-Badala ya kufikiria kununua silaha kwa ajili ya Majukumu mspya ya Jeshi la zimamoto:
-Serikali itenge bajeti kubwa ya kununulia vitendea kazi kwa Jeshi la zimamoto wafanye kazi zao kwa weledi.
-Zimamoto wajikite kwenye kutoa mafunzo/elimu na fire extinguisher kwa wananchi (wenye nyumba wote),bure ili ziwasaidie wakati wa matukio.
-Mswada huo,hauna tija kwa sasa hivi,bali utaongeza gharama za utekelezaji,labda Kama wizara itakuja na takwimu za kuonyesha ukubwa wa tatizo hilo hapa nchini kwa hivi sasa.
 
Magaidi mfano wamelipua sehemu na bomu na moto unawaka na wanawamalizia watu na risasi kwa situation hii watu wa zimamoto na uokoaji waje mikono mitupu
Zima moto ni wazima moto tu silaha ya nn., ugaidi kweli utaona kama vile kenya jeshi la wananchi na polisi ndo wana wajibu huo kupambana,
Tanzania hakujakuwa na ugaidi hadi sasa sema munautamani kwa nguvu zote
 
Haya majeshi tunafanya kama fasheni tu.kuna lile jeshi la uhifadhi waliloanzisha wizara ya maliasili ukilifwatilia sana utaona ni ubabaishaji mtupu uko pale.walianzisha kitu kwa kukurupuka alafu sasa hivi hawawezi kusimamia ipasavyo.Huo muda wangeutumia kuwaza kufanya ubunifu wakuboresha sekta ya utalii wao wakawaza mabunduki na saluti zisizo na msingi uku wizara ikibaki na changamoto kibao zakiuendeshaji.Na hao wa zima moto nao wanawaza namna yakufuja pesa badala yakuwaza kufanya kazi kwa weledi.Bure kabisa.
 
Mleta mada ahsante sana ingawa mada yako unashambuliwa wewe badala wewe kupewa elimu. Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ya 2007 ipi wazi katika ili( Fire and Rescue Force Act)
Jeshi lazma moto pamoja na uokoaji..Lima wajibu wa kuweka mazingira ya amani na Utulivu,lakini pia kupambana uharifu kama matendo ya Ugaidi. Sasa jiulize kweli ili jeshi litaweza kupambana na hayo matatizo bila ya kua na silaha?
Waziri yupo sahihi sana kwa kuzingatia sheria.
Hakuna chochote bana.hizo ni mbinu tu za wajanja kujitengenezea namna ya kula.Jeshi la polisi likoboreshwa linaweza kufanya mambo yote hayo yakiusalama na zima moto likabaki na jukumu lake la msingi.Tofauti na hapo ni ubabaishaji mtupu.
 
Sheria ilitungwa hivyo..Hivi unaposikia kua kila mtu anawajibu wa kulinda amani ya nchi Hii maana yake ni kua jeshi na polisi wameondolewa??
Usiwe mjinga! Sasa mbona serikali haijagawa silaha kwa watu wote ili kulinda amani ya nchi? Kulinda amani siyo lazima kuwa na silaha hata kusema tu inatosha!
 
Habari wakuu
Bunge liko katika mchakato wa kupitisha muswada wa sheria mpya ambayo itaisimika jeshi la zima moto na uokoaji kuwa jeshi kamili
Sheria hiyo inaelekeza kuwa jeshi hilo litapewa silaha (bunduki) zake kama yalivyo majeshi mengine hapa nchini

maswali ya kujiuliza, Hivi katika shughuli za kuzima moto na uokoaji kunahitajika silaha kwa matumizi gani?

Serikali haioni inaenda kuongeza gharama kwa kununua silaha kwa jeshi la zimamoto?

Zimamoto inahitaji zaidi vifaa vya kuzimia moto, kama magari na fire extinguishing tools zote
Huenda kuwadhibiti wanaowatupia mawe wachelewapo kufika.
 
Bunge liko katika mchakato wa kupitisha muswada wa sheria mpya ambayo itaisimika jeshi la zima moto na uokoaji kuwa jeshi kamili
Sheria hiyo inaelekeza kuwa jeshi hilo litapewa silaha (bunduki) zake kama yalivyo majeshi mengine hapa nchini

maswali ya kujiuliza, Hivi katika shughuli za kuzima moto na uokoaji kunahitajika silaha kwa matumizi gani?
Ni kwamba kuanzia sasa wapinzani wakiandamana kudai haki zao, yale magari ya washawasha yatakuwa ya Zimamoto na watakuja wakiwa na silaha ili msije mkawa-Hamza!
 
Jeshi la zima moto lina vifaa gani vya kueleweka mpaka mkimbilie kununua silaha?
Wananchi baadhi mnaamini kila jambo Serikali inakosea, imani hii ni vigumu kuwaaminisha kwamba kuna mambo Serikali inafanya vizuri mno tena kwa sababu za msingi kabisa.

Mambo kama haya ya Zimamoto na Uokoaji hayahusiani na siasa za ccm na chadema, haya ni mambo ya usalama wa nchi, nivema mkaacha ujuaji.

Mpaka kuona taasisi inapewa Silaha ujue kuna sababu nyingi tu tena za msingi.


Sent from my mm using JamiiForums mobile app
 
Green guard wakipewa bunduki ndio nitahoji lakini sio zimamoto.Wanaokuja na mabadiliko hayo sidhani kama no wajinga kama tunavyowafikiria
 
Nadhani hali ya usalama kwa TZ sasa hivi haina afya kiviile kama watu wengi wanavyoona kwa nje. na watawala wanadhani njia pekee ya kuwatuliza WaTZ ni kuwa na bunduki nyingi kadri iwezekanavyo. Tusipojenga mifumo imara ya ulinzi shirikishi pia kutenda haki kwa wananchi katika taifa, bado tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu. mkumbuke hata hawa askari wetu ni waharifu tu huku mitaani na wamejenga mfumo wa kulindana na kulinda heshima ya taasisi yao isiharibike wakati kila mtanzania anajua kinachoendelea kuhusu polisi wetu.
 
Hii serikali inayoongozwa na ccm kamwe haijawai na haitawai kua na nia thabiti kwa hii nchi yetu. Lengo lao haswa viongozi waliopo ni kutawala kwa genaration zao after generation.

Mitutu kwa jeshi la zima ni mahususi kwao kuendelea kutawala kwa nguvu zote huku wakiamrisha majeshi yetu yote kutii maagizo yao.

Maendeleo kidogo wanayofanya bado yamekua kama hisani kwetu ile hali ni haki kwa wananchi.

Yoyote anayesema au kutenda against wao ni mwovu.
Hakika tunahitaji mbadala wa chama cha kuongoza serikali ya hii nchi.

Ni miaka 60 sasa bado ni blah blah na maigizo kibao.
 
Habari wakuu
Bunge liko katika mchakato wa kupitisha muswada wa sheria mpya ambayo itaisimika jeshi la zima moto na uokoaji kuwa jeshi kamili
Sheria hiyo inaelekeza kuwa jeshi hilo litapewa silaha (bunduki) zake kama yalivyo majeshi mengine hapa nchini

maswali ya kujiuliza, Hivi katika shughuli za kuzima moto na uokoaji kunahitajika silaha kwa matumizi gani?

Serikali haioni inaenda kuongeza gharama kwa kununua silaha kwa jeshi la zimamoto?

Zimamoto inahitaji zaidi vifaa vya kuzimia moto, kama magari na fire extinguishing tools zote
Mkuu hayo ni maandalizi ya kuja kwa mpinga kristo, weka hilo akilini....kuna mabadiliko makubwa yanafanyika ndani ya serikali na taasisi mbalimbali likiwemo hili la malipo kwa njia za kielektroniki, kusajili watu na laini za mawasiliano kwa vitambulisho vya kielektroniki na pia kuna jitihada kubwa za ku centralize haya mambo, tuinue vichwa tuache kuangalia usawa wa pua.....
 
Msiwaone wajinga wao wanajua jinsi walivyopoteza imani kwa watu na kitu pekee wanachokiamini na kukitegemea kwa sasa ni mabunduki.
 
Habari wakuu
Bunge liko katika mchakato wa kupitisha muswada wa sheria mpya ambayo itaisimika jeshi la zima moto na uokoaji kuwa jeshi kamili
Sheria hiyo inaelekeza kuwa jeshi hilo litapewa silaha (bunduki) zake kama yalivyo majeshi mengine hapa nchini

maswali ya kujiuliza, Hivi katika shughuli za kuzima moto na uokoaji kunahitajika silaha kwa matumizi gani?

Serikali haioni inaenda kuongeza gharama kwa kununua silaha kwa jeshi la zimamoto?

Zimamoto inahitaji zaidi vifaa vya kuzimia moto, kama magari na fire extinguishing tools zote
Swala la silaha siyo hatua ya kawaida kama unavyodhani ,kuna hatua Frani zimefuatwa mpaka unaona lipo linajadiliw bungeni .. Swala Hili huwezi ukalifahamu Kwa sababu .Sisi binadamu tulio wengi kila Jambo huwa tunaliju(usilolijua ni Sawa na usiku wa Giza note that...........Tanzania interigence and security service
 
Wenye jicho la tatu na wanaotenda uovu kwa watanzania wanafahamu kwamba kwa kiwango na mwendo huu wa dhuluma kwa wananchi si mda mrefu Aman na usalama wa nchi yetu utavurugika hivyo haya Ni maandalizi wanayodhani yatawasaidia lakini kumbe sifuri kubwa. Ninawaambia wenye Mamlaka kwamba polisi na jeshi haliwezi kuwashinda wananchi katu wakiamua hata mngekodi waisrael waje wawe wanajeshi,polisi au migambo hapa Tanzania, Aman Ni tunda la haki ninajua mnajua hali ya Tanzania ya Sasa si sawia kabisa endeleeni kujitekenya. 2025 polisiccm,necccm,teethccm, msajiliccm hamtaweza kuzuia ukombozi kwa Taifa hili mda hauko nanyi teeena
 
Back
Top Bottom