Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Naomba kwa wale wana JF wenzangu wenye ueledi na mambo ya sheria za kazi wanijuze hili.
Kuna mfanyakazi wa serikali tena ni mkurugenzi wa halmashauri! Yeye ana kesi ya mahakamani. Hii kesi bado inaendelea. Je sheria inasemaje mtumishi anapokuwa na kesi mahakamani wakati tuhuma zinazomkabili ni za ofisi hiyohiyo anayoifanyia kazi?
Sijui kama nimeweka sawa ila wenye kuweza kusaidia hili watujuze!
Kuna mfanyakazi wa serikali tena ni mkurugenzi wa halmashauri! Yeye ana kesi ya mahakamani. Hii kesi bado inaendelea. Je sheria inasemaje mtumishi anapokuwa na kesi mahakamani wakati tuhuma zinazomkabili ni za ofisi hiyohiyo anayoifanyia kazi?
Sijui kama nimeweka sawa ila wenye kuweza kusaidia hili watujuze!