Sherehe ya harusi: Hongera kamati ya harusi

nyamchele

JF-Expert Member
May 28, 2014
1,309
1,008
Ilifanyika Kanda fulani hivi maarufu.........Ni ya mfano wa kuigwa!!!!!!

harusi.jpg
 
Hasa kama umeolewa lazima uoneshe mfano wa ushirikiano pamoja na jamaa zako....lazima muukate huo mlima kisawasawa ili wakwe wawape maksi!!!!

Ukute kabinti kenyewe kametoka royal family, bugger na sausage za kutosha halafu ndo anakuja kuolewa kwenye primitive family kama hivi ptuuuuh wacha hayo mapenzi ya dhati tuyaangalie tu kwenye tamthiliya za kifilipino!
 
Ukute kabinti kenyewe kametoka royal family, bugger na sausage za kutosha halafu ndo anakuja kuolewa kwenye primitive family kama hivi ptuuuuh wacha hayo mapenzi ya dhati tuyaangalie tu kwenye tamthiliya za kifilipino!

Halfu ukute Kamati ya Vinywaji imeandaa TOGWA kama kinywaji rasmi.......
 
hapo kuna varieties za vyakula..mtu atachagua anachokitaka na sijawahi kuona mtu analazimishwa kula msosi fulani harusini so let them be..

Kila jamii ya watu ina utamaduni wake ikiwa ni pamija na chakula...kwetu sisi lazima ndizi zitakuwepo...nigeria vitakuwepo visahani vyenye kola nuts..sasa kwa nini jamii husika kwenye picha hiyo ipondwe kwa kuweka msosi wao wa asili?

Kuna huyu rafiki kaiita familia "primitive" what is so primitive about that..like nilivyosema kabla kila watu wana chakula chao...unachokiona bora kwako kwa mwenzio sio bora kihivyo...Ingekuwa jamii ya wa-Irish tukaonyeshwa jungu la viazi mviringo tusingeponda namna hiyo!!! tuepuke promitive thinking
 
Ukute kabinti kenyewe kametoka royal family, bugger na sausage za kutosha halafu ndo anakuja kuolewa kwenye primitive family kama hivi ptuuuuh wacha hayo mapenzi ya dhati tuyaangalie tu kwenye tamthiliya za kifilipino!
Burger ni chakula cha kimasikini sana.
Halafu chakula na uprimitive wapi na wapi? He! we vipi?
 
Capt Nemo;

Umenena mkuu, shida inayotokea sasa ni kuwa hii miji yetu hasa DSM menu zake kwa wengi ni zilezile, Kuku, Pilau, wali mweupe, wali sijui nini,najua wengi mnafahamu, na hiyo ndio imekuwa kama Standard ya harusi,

MENU zilezile....kama utofauti ni kidogo sana, ili ku maintain standard ya kimjini....ingawa kiukweli wengi tuna asili zetu, ila kwenye sherehe tunaweka MENU "standard" zinatakazoweza kuacommodate tamaduni tofauti! Ingependeza pamoja na kuwepo kwa varieties, main dish iwe ya kiasili kama huo MLIMA kwenye sufuria!!! au any other traditional food ya wahusika wakuu wa harusi!

Au ndio tumeshapoteza asili zetu tunapokuwa DAR?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom