Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Duniani kuna mambo
niko lunch moja hapa karibu na sheraton ya mwanyamala dada mmoja anasikika akimwambia
mdogo mtu we kama uwezi kumtunza si tutakusaidia na kama uji mbona nimeshamfulia sana mumeo
chupi we unanihisi leo lo!!!yaalaah nkaona yawezekana sie tulieweka mashemeji yawezekana
tukaponja nini siku moja....jamani unakula kuku na yai lake ni halali kweli???
niko lunch moja hapa karibu na sheraton ya mwanyamala dada mmoja anasikika akimwambia
mdogo mtu we kama uwezi kumtunza si tutakusaidia na kama uji mbona nimeshamfulia sana mumeo
chupi we unanihisi leo lo!!!yaalaah nkaona yawezekana sie tulieweka mashemeji yawezekana
tukaponja nini siku moja....jamani unakula kuku na yai lake ni halali kweli???