Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Dunia imekwisha!
Wanaume hawavai Chupi.
hata mm napinga hili la chupi kufuliwa na mke
ujinga mtupu kwann usifue bafuni ukioga hata soksi fua mwenyewe
wanawake acheni kuwanyenyekea midume zembe,wote mko kitu kimoja ya nn ww kuwa kama punda wake???
zama za miaka 50 imepita.
hata mm napinga hili la chupi kufuliwa na mke
ujinga mtupu kwann usifue bafuni ukioga hata soksi fua mwenyewe
wanawake acheni kuwanyenyekea midume zembe,wote mko kitu kimoja ya nn ww kuwa kama punda wake???
Zama za miaka 50 imepita.
Wanaume wavivu jamani! Hadi chupi lako unashndwa kufua hadi ufuliwe. Khaa!
jaman wadada wakati mwingine ndo wanatusababisha tuwe wavivu!!! kwa mfano me mchumba wangu aliwahi kunimind eti ''kwa nini umefua chupi zako kwani me siwezi?''
Wanaume wavivu jamani! Hadi chupi lako unashndwa kufua hadi ufuliwe. Khaa!