<br />Acha utoto wewee..we si mtaalam wa massage..<br />
<br />
Imagine kama wewe ungekuwa docta na shemeji yako anaumwa busha je..ungeacha kumtibia ilhali ukijua kuwa kuwa usipompa hiyo huduma ya kwanza ngiri ikimpanda anaweza kufa...tumia elimu na utaalamu wako kwa manufaa ya ndugu na jamaa zako wa karibu...<br />
<br />
<b>mpe massage shemejiyoo..tena kitu ya fully body</b>...au unataka aje ofcn kwako ndio ufunge ofc...<br /> Hey Try to use ua common sense! kumbuka we are great thinker!
<br />
Huyo si mteja tuu.
kama unafanya kazi tafuta nyumba upange usije kuingia matatizoni bure,km huna uwezo rudi nyumbani,kwani huna kwenu????????wadau wa mmu tumsaidieje huyu?
"mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22, ninakaa na dada yangu hapa jijini dar ambaye ameolewa na wana mtoto mmoja na kwa sasa dada ni mjamzito tena. Mimi nimafanya kazi kwenye massage parlour moja hapa jijini nimeifanya kazi hii kwa miaka 2 sasa na nimekuwa na uzoefu nayo mkubwa.
Shemeji yangu (mume wa dada) amekuwa akinisumbua sana, alianza na gia ya kunitongoza nikamkataa kwani sikutaka kumsaliti dada yangu anayeniweka mjini, sasa hivi dada amesafiri kikazi kwa kama wiki 2 hivi, shemeji kila akirudi anadai mwili umamuuma nimfanyie massage.,jana ndio katoa kali maana kaja na taulo tu anasema anataka full body massage kwa kweli ilibidi nikimbie nyumba nikalala kwa rafiki yangu.,naombeni ushauri huyu shemeji nimfanyaje nasita kumwambia dada kwani sitaki kuwagombanisha na ninahifia hali ya sasa ya dada..nisaidieni ushauri"
<br /><font color="#B22222"><font size="3"><span style="font-family: book antiqua">...dahhh, ama ugonjwa hauchagui dakitari,... <br />
kwani kuna shida kufanya massage ilhali nawe umetinga full overall la jeans?<br />
au raha ya masseuse ni avae nusu uchi?</span></font></font>