Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Tatizo huna statistics kwa hiyo hawezi kuthibitisha unacho kisema. Sasa wewe umeona freedom of speech ndio ustaarabu, hata kama kinachosemwa hakina maana? Kama hivyo ndivyo itakuwa hata 'Yesu' hakuwa nayo! Maana unaambiwa kama huna jema la kusema ni heri kukaa kimya. Ushoga marekani ndich kitu wanachojivunia, hata Obama kwenye speech ya kushukuru kuchaguliwa alijisifu. Huko kwingine hata kama upo, jamii inachukulia kama uovu lakini sio Marekani. America sio civilized world kama ni hivyo.
Nakubali, Civilized world ni hii