Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Kifo cha mchawi huyu mashuhuri wa serikali kinaonyesha kuwashtua watu wengi ambao kwa njia moja au nyingine walimtegemea mchawi huyu katika masuala mbalimbali ya kimaisha na kisiasa.CCM na mwenyekiti wake Kikwete ni baadhi ya watu walioinjoi kwa kiasi kikubwa utaalam wa mchawi huyu mashuhuri.Mchawi huyu alitumika kupindisha mwelekea wa siasa kwa kutabiri ushindi kwa CCM na yeyote aliyemtaka ili kukatisha tamaa juhudi za upinzani katika kuitoa serikali madarakani.Mmoja wa watu ambao tayari wameshakiri kushtushwa na kifo cha mchawi huyu ni Kikwete ambaye kwa kiasi kikubwa alifaidi utabiri na ulinzi kutoka kwa mzee huyu.

Sheikh Yahya ndiye aliyetishia Watanzania wengine kupambana na Kikwete katika ugombea wa urais kwa kusema mtu atakayejaribu kufanya hivyo atakufa.Sheikh Yahya ndiye aliyetabiri ushindi kwa Kikwete ambao pamoja na kwamba ulipatikana kwa uchakachuzi wa kura tayari wananchi walishaaminishwa kuwa Kikwete atashinda.Sheikh Yahya ndiye aliyemhakikishia ulinzi Kikwete wakati akianguka hovyo majukwaani kwa kusema hakuna kitakachomgusa kwani ameshamtumia walinzi wa kutosha.

Utabiri wa Sheikh Yahya katika siasa hauwezi kutofautishwa na tafiti pandikizi za REDET katika kuibeba CCM katika chaguzi za kitaifa.Katika mtazamo huu ni dhahiri kwamba Kikwete na CCM kwa ujumla wamepoteza mchawi muhimu katika kupindisha mwelekeo wa siasa za Tanzania.
 
Yani wameipata hasa. Na wote waliokuwa wanamtegemea watatafutana na hawataonana, usicheze na Mungu aliye hai. Kiama cha madhulumati wa nchi hii kimefika.
 
Du!
Kama alikuwa mchafu wa roho hata akioshwa na Dinsinfectant na chemical za aina yoyote hazisaidii kitu...

Hayo ataamuwa muumba wake na si sisi. Wajibu wetu tumpeleke akiwa msafi, sharti kwa ma al'oud na manukato na ambar na misk, msafiii kapendeza! Ala, unasema nini wewe? wewe waweza hukumu wote hapa duniani? Tumuachie mmoja tu kazi hiyo, aliyetuumba, Yeye ndio hakimu wa mahakimu, mfalme wa wafalme.

Sisi hatuna imani ya kuwa dhambi zetu zimebebwa na kiumbe mmoja, la hasha, imani yetu ni kila mmoja wetu ataondoka na amal yake, na aamali huwa ama njema ama si njema, ni nani ajuaye aytendae mwenzake kwa siri? wajibu wetu tuliobaki ni kumuombea maghfira kwa muumba wetu na hakuna msikivu kama muumba wetu. Yeye atammweka apendavyo lakini sisi twampeleka kwa Mola wake akiwa msafiii mweupe,hana m.a.v.i tumboni wala uchafu mwilini. Sasa kazi kwa wenzetu, mnaowapeleka na masuti huku m.a.v.i. tele tumboni. Mnashangaza!
 
Faiza imani ni jambo tete.Ukianza kukashifu imani ya mwenzako utajikuta wewe ndio unaumia.Hafu yaonekana una jazba.Si unajua
tena imani yako kwa mfano imejengwa na utaratibu wa kiarabu.Mpenzi acha kabisa kukashifu imani !!

Naomba rejea posts uone nani alioanza kukashifu wenzake. Usikurupuke tafadhali. Na atae kashifu imani yangu, sitotetereka. Sisi ni waungwana huwa hatumuanzi mtu, lakini akituanza hatuwi mabaradhuli na kungoja tumpe na shavu la pili (nadhani wamjuwa Osama wewe, na alivyoyanyesha mataifa ya kikurusedi, mmoja tu, kwa mamilioni ya makurusedi), huyo ndio sisi. Ukinitia kofi nakurudishia ngumi, ukinitusi nafungulia kamusi na kuonesha wapi kwenye matusi zaidi. Tafadhali muiheshimu imani yatu nasi tutawaheshimu, mkituanza hatukai kimya.

Hilo la imani yangu kuanzishwa na waarabu sawa kabisa (kwa muono wako), jee waarabu si binaadam? Jee, wewe imani yako imeanzishwa na nani?
 
Heshima kwako FaizaFoxy.

Naomba kujuzwa hii maneno ya kukamua maiti kabla hajaswaliwa na kuzikwa nimezisikia sana bahati mbaya sijapata darsa toka kwa wanazuoni wa kiislam kuhusiana na zoezi zima na ukamuaji.Naomba kuuliza maswali machache kwa faida ya wote wasiojua taratibu za mazishi za ndugu zetu waIslam.

[1] Ni lazima kila muIslamu kabla ya kuswaliwa na kuzikwa akamuliwe uchafu wote tumboni ?.

[2] Je ikitokea maiti imeharibika sana eg ajali taratibu lazima za kukamuliwa laziama zifuatwe na kuzingatiwa ?.

[3] Kuna magojwa ya kuambukiza eg; Kipindupindu ikithibitika marehemu kafa kwa ugonjwa huo taratibu zikoje NB;Naomba uquote kitabu kitakatifu Quran.

[4] Nani wanahusiaka na hili zoezi gumu na lakutisha ?.Masheikh na nk.Je mwanamke anaoshwa na mtu yoyote mfano mwanaume.

[5] Naomba hadith kutoka Quran kama mitume na manabii walifanyiwa hivyo au ni utaratibu wa waIslam wa Tanzania tu.

[6] Je zoezi la ukamuaji ndio sababu kuu za uharakiswaji wa mazishi ya waIslamu.nimekuwa nikijiuliza mara nyingi kwanini MuIslam akifa anazikwa mara moja.Ebu fikiria mtu kafa wiki mbili au tatu kumkamua m.a.vi itawezekana kweli ?.

1) Si lazima , kwa anaekufa shahid hana haja ya kuoshwa ikibidi. Kwa kuwa somo la kuosha maiti kwa waislaam ni refu na ili nisiwaudhi wengine, nakuwekea hapa link itakupa maelezo kamili, naomba tembelea hapo kama kweli wataka ilm: Authentic Step by Step Illustrated Janazah Guide

kwa maswali yako 2), 3), 4), 5) 6), yote yemejibiwa kwenye link niliyokuwekea hapo namba moja. Pitia huko,halafu kama hujapata jibu rudi.
 
huna hoja mashauzi tu......ukamue ,usikamue ataoza tu kama wengine....!

Na hata ukimpeleka na suti na veli, pia ataoza tu, lakini aoze na m.a.v.i tumboni au bila m.a.v.i? sisi tumeamua bila m.a.v.i, wewe jee?
 
Uislaam umekuja kwa walimwengu wote. Maana ya uislaam ni kujisalimisha kwa muumba mmoja. Tuna uhakika na ushahidi kuwa uislaam ni wa kweli na Allah ni mmoja tu hajazaa wala hajazaliwa na ndiye muumba wetu. Hata yesu alimuomba "elai elai lama sabakhtani"!
Imani yako ibaki kuwa imani yako. Hivi nini kinakufurahisha kukejeli dini za wenzako? Utajisikiaje tukianza kuandika ya mohamed? Unapotea. Tabia yako inakwenda kinyume na uislam. Roho siyo mwili.
Au ndiy
 
Hamushangai mukisoma kwamba Egyptian mummies walikuwa wanasafishwa utumbo na kuwekewa dawa kufanyiwa mummification, munakuja kushangaa leo waislamu wanafanya hivyo?

Kila mtu ana dini yake na imani yake anayoyafanya hayamuhusu asiyehusika. Hebu tuheshimiane jamani.

Huu ndo umbumbumbu juu ya mambo yafanywayo na watu wengine, kazi kukaririshwa kama kasuku: Egyptian mummuies walikuwa wakikamuliwa na kuoshwa ili waweze kuhifadhiwa kwa mda mrefu na ndo maana hata sasa wengine bado wapo museum. Je, huyu naye munamkamua ili mukamuhufadhi wapi? Si mnaenda kum-dispose pale kwenye dampo na kijiwe cha bangi-tambaza?. Nendeni shule mukaelewe namna ya ku-articulate issues na si imla ya mambo musiyojua maana yake.
 
1) Si lazima , kwa anaekufa shahid hana haja ya kuoshwa ikibidi. Kwa kuwa somo la kuosha maiti kwa waislaam ni refu na ili nisiwaudhi wengine, nakuwekea hapa kink itakupa maelezo kamili, naomba tembelea hapo kama kweli wataka ilm: Authentic Step by Step Illustrated Janazah Guide

kwa maswali yako 2), 3), 4), 5) 6), yote yemejibiwa kwenye link niliyokuwekea hapo namba moja. Pitia huko,halafu kama hujapata jibu rudi.

asante kwa Formula...
 
Bora amekufa tutulie sasa,sasa najiuliza yale majini yaliopo IKulu yataenda wapi?
 
yeye ni binadamu sio malaika so suala la kufa kwake is not an issue. Alazwe mahali pema penye mapepo
 
Na hata ukimpeleka na suti na veli, pia ataoza tu, lakini aoze na m.a.v.i tumboni au bila m.a.v.i? sisi tumeamua bila m.a.v.i, wewe jee?

haaa akioza bila mavi ndio anakuwaje kwani???hamna logic ya kumkamua mtu mavi!
 
Back
Top Bottom