Amechangia sana kueneza imani potofu kwenye karne hii ya sayansi na teknolojia.Hakika kila nafsi itaonja mauti. Mola ampe pumziko la amani.
Amechangia sana kueneza imani potofu kwenye karne hii ya sayansi na teknolojia.Hakika kila nafsi itaonja mauti. Mola ampe pumziko la amani.
..Ngoja nisubiri kwanza
Nyie mnaonekana ni true watz....kuficha ficha mambo ndio maana miwshowe mnaumbuka kwa matatizo.....nakumbuka Uganda miaka ya 80 ilikupambana na AIDS ukifa na ngoma siku ya msiba unatangazwa kabisa.....manumbu kafariki kwa HIV!!!!....
NYIE tz kila mtu anakufa kwa kisukari.....ndio maana mnazidi kuwa maskini wakubwa kwa kuona aibu kuambiana ukweli......
Nani asiejua yahaya alikuwa mchawi,mwongo na mchonganishi kwa watanzania??......vitabu vinatuambia watu wa namna hiyo hawawezi kufika mbinguni.......suala la marehemu hasemwi imeandikiwa wapi? nipe aya
ya kweli hayoooo?maana washawahi mzushia khabari ka hizi..