Sheikh Ponda na wafuasi wake 49 wafikishwa mahakamani.

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125



Kiongozi wa jumuiya na taasisi za kiislam Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda na wafuasi wake wapatao 49 waliokamatwa na jeshi la polisi jijini Dar es Salaam kutokana na tuhuma mbalimbali wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu ambapo wote kwa pamoja wamesomewa mashtaka manne huku shekhe Ponda akisomewa mashtaka matano likiwemo la uchochezi wenye kuhamasisha utendaji wa makosa yanayoweza kuhatarisha usalama.
 
Last edited by a moderator:
377486_453112961394251_1905123805_n.jpg
 
Back
Top Bottom