Sheikh Ponda, Kundecha waanzisha deci ya Kiislam, watuhumiwa kuwadhulumu waislam

hugochavez

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
1,907
1,009
SHEIKH PONDA, KUNDECHA, WAANZISHA DES YA KIISLAM,WAWADHULUM WAISLAM.

Mwenyekiti wa Baraza kuu la Taasisi za kiislam Mussa Kundecha kwa kushirikiana na Sheikh Issa Ponda Katibu wa baraza hilo na katibu wa shura ya maimam Tanzania wanamiliki DES inayotumika kuwatapeli waislam hapa Nchini.

Miaka kadhaa iliyopita Viongozi hao wa juu kabisa wa kiislam hapa Nchini kwa kushirikiana na maimam na waumini wa misikitini mingine walianzisha SACCOS ya kiislam iitwayo KUTAYBA SACCOS yenye lengo la kusaidia yatima, wajane na maskini na kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa jamii ya kiislam wakiwemo vijana na kina mama pia kusaidia ukarabati wa misikiti.

Masheikh hawa walipita katika miskiti iliyopo chini ya Baraza kuu kuhamasisha uchangiaji wa waislam kwa lengo la kutunisha mfuko huo ambapo ilikubalika kuwa kila msikiti uchangie Tshs 300,000 kila mwezi kwa muda wa miaka Nane ndipo waumini waanze kunufaika jambo ambalo lilifanyika kwa ufanisi mkubwa kwani maimam nchi nzima waliwahamasisha waumini fedha lukuki zikapatikana.

Kinyume kabisa na matarajio, zaidi ya miaka 12 sasa giza nene limetanda kwani hakuna hata yatima mmoja wala mjane aliyesaidiwa hali iliyowafanya waislam kwa kutumia maimam wao kuhoji nini kinaendelea jambo lililozua sintofaham kubwa.

Jana tarehe 10/04/2019 katika msikiti mmoja jijini Dsm waumini wa kiislam baada ya kuchoshwa na ukimya pamoja na majibu ya kisiasa waliwaita akina Ponda na Kundecha na kufanya nao kikao kuwahoji kinachoendelea kwny DES hiyo maana imepita miongo kadhaa sasa na waislam wanachangishwa fedha kila uchao lakini hakuna mtu yeyote aliyenufaika na mfuko huo.

Kwa mshangao mkubwa masheikh hao walishindwa kutoa maelezo ya kuridhisha huku wakieleza kuwa hakuna fedha yoyote kwenye SACCOS hiyo ya KUTAYBA.

Waumini walishangazwa na majibu hayo ya kisiasa huku wakieleza kuwa hakuna mwezi hata mmoja waliokosa kuchangia fedha katika mfuko pamoja na kupokea na kutekeleza maagizo mbalimbali ya kidini na kisiasa yanayotolewa na viongozi wao hao.

My take: Tunaomba serikali iingilie kati kadhia hii kwani nyumba za ibada zimevamiwa na mchwa.
 
Sheikh Ponda huyu anayekataza maovu na kuamrisha mema aliyekuwa haogopi kufa kwa sababu yuko tayari kuonana na Mola wake wakati wowote kwa usafi wake? Mumeona mwili wake una kinga ya maumivu sasa munataka kumuadhirisha mbele ya uma?.

Mungu amlinde Sheikh Ponda na fitina na shari za shetani binaadamu!
 
SHEIKH PONDA, KUNDECHA, WAANZISHA DES YA KIISLAM,WAWADHULUM WAISLAM.

Mwenyekiti wa Baraza kuu la Taasisi za kiislam Mussa Kundecha kwa kushirikiana na Sheikh Issa Ponda Katibu wa baraza hilo na katibu wa shura ya maimam Tanzania wanamiliki DES inayotumika kuwatapeli waislam hapa Nchini.

Miaka kadhaa iliyopita Viongozi hao wa juu kabisa wa kiislam hapa Nchini kwa kushirikiana na maimam na waumini wa misikitini mingine walianzisha SACCOS ya kiislam iitwayo KUTAYBA SACCOS yenye lengo la kusaidia yatima, wajane na maskini na kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa jamii ya kiislam wakiwemo vijana na kina mama pia kusaidia ukarabati wa misikiti.

Masheikh hawa walipita katika miskiti iliyopo chini ya Baraza kuu kuhamasisha uchangiaji wa waislam kwa lengo la kutunisha mfuko huo ambapo ilikubalika kuwa kila msikiti uchangie Tshs 300,000 kila mwezi kwa muda wa miaka Nane ndipo waumini waanze kunufaika jambo ambalo lilifanyika kwa ufanisi mkubwa kwani maimam nchi nzima waliwahamasisha waumini fedha lukuki zikapatikana.

Kinyume kabisa na matarajio, zaidi ya miaka 12 sasa giza nene limetanda kwani hakuna hata yatima mmoja wala mjane aliyesaidiwa hali iliyowafanya waislam kwa kutumia maimam wao kuhoji nini kinaendelea jambo lililozua sintofaham kubwa.

Jana tarehe 10/04/2019 katika msikiti mmoja jijini Dsm waumini wa kiislam baada ya kuchoshwa na ukimya pamoja na majibu ya kisiasa waliwaita akina Ponda na Kundecha na kufanya nao kikao kuwahoji kinachoendelea kwny DES hiyo maana imepita miongo kadhaa sasa na waislam wanachangishwa fedha kila uchao lakini hakuna mtu yeyote aliyenufaika na mfuko huo.

Kwa mshangao mkubwa masheikh hao walishindwa kutoa maelezo ya kuridhisha huku wakieleza kuwa hakuna fedha yoyote kwenye SACCOS hiyo ya KUTAYBA.

Waumini walishangazwa na majibu hayo ya kisiasa huku wakieleza kuwa hakuna mwezi hata mmoja waliokosa kuchangia fedha katika mfuko pamoja na kupokea na kutekeleza maagizo mbalimbali ya kidini na kisiasa yanayotolewa na viongozi wao hao.

My take: Tunaomba serikali iingilie kati kadhia hii kwani nyumba za ibada zimevamiwa na mchwa.
Una laana ww, ngoja yakukute
 
SHEIKH PONDA, KUNDECHA, WAANZISHA DES YA KIISLAM,WAWADHULUM WAISLAM.

Mwenyekiti wa Baraza kuu la Taasisi za kiislam Mussa Kundecha kwa kushirikiana na Sheikh Issa Ponda Katibu wa baraza hilo na katibu wa shura ya maimam Tanzania wanamiliki DES inayotumika kuwatapeli waislam hapa Nchini.

Miaka kadhaa iliyopita Viongozi hao wa juu kabisa wa kiislam hapa Nchini kwa kushirikiana na maimam na waumini wa misikitini mingine walianzisha SACCOS ya kiislam iitwayo KUTAYBA SACCOS yenye lengo la kusaidia yatima, wajane na maskini na kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa jamii ya kiislam wakiwemo vijana na kina mama pia kusaidia ukarabati wa misikiti.

Masheikh hawa walipita katika miskiti iliyopo chini ya Baraza kuu kuhamasisha uchangiaji wa waislam kwa lengo la kutunisha mfuko huo ambapo ilikubalika kuwa kila msikiti uchangie Tshs 300,000 kila mwezi kwa muda wa miaka Nane ndipo waumini waanze kunufaika jambo ambalo lilifanyika kwa ufanisi mkubwa kwani maimam nchi nzima waliwahamasisha waumini fedha lukuki zikapatikana.

Kinyume kabisa na matarajio, zaidi ya miaka 12 sasa giza nene limetanda kwani hakuna hata yatima mmoja wala mjane aliyesaidiwa hali iliyowafanya waislam kwa kutumia maimam wao kuhoji nini kinaendelea jambo lililozua sintofaham kubwa.

Jana tarehe 10/04/2019 katika msikiti mmoja jijini Dsm waumini wa kiislam baada ya kuchoshwa na ukimya pamoja na majibu ya kisiasa waliwaita akina Ponda na Kundecha na kufanya nao kikao kuwahoji kinachoendelea kwny DES hiyo maana imepita miongo kadhaa sasa na waislam wanachangishwa fedha kila uchao lakini hakuna mtu yeyote aliyenufaika na mfuko huo.

Kwa mshangao mkubwa masheikh hao walishindwa kutoa maelezo ya kuridhisha huku wakieleza kuwa hakuna fedha yoyote kwenye SACCOS hiyo ya KUTAYBA.

Waumini walishangazwa na majibu hayo ya kisiasa huku wakieleza kuwa hakuna mwezi hata mmoja waliokosa kuchangia fedha katika mfuko pamoja na kupokea na kutekeleza maagizo mbalimbali ya kidini na kisiasa yanayotolewa na viongozi wao hao.

My take: Tunaomba serikali iingilie kati kadhia hii kwani nyumba za ibada zimevamiwa na mchwa.
Masufi mna mambo nyie!! Sijawahi ona
Ila mi naona sawa tu kwanza hilo la kupiga mpunga ni dogo sana kuliko hilo la USUFI
 
Katika Siku Za Karibuni kumekuwa Na nguvu kubwa isiyochoka kumchafua Alhabeeb Sheikh Ponda Issa Ponda

Kwa Taarifa tu hiyo SACCOS ipo Lakin Sheikh Ponda Issa Ponda alikataa kujishughulisha Na Saccos hiyo tangu kuanza kwake na alipoulizwa alisema Yeye hana utaalam wa Masuala ya Fedha


Nakuhakikishia Sheikh Ponda unaweza kumtengenezea tuhuma Sijui Za Uraia, sijui Za Siasa kali, Sijui Za kuchukia Serikal, Sijui Za Uchochezi Lakin Kwenye Masuala ya Fedha huwezi kumpata Hata Mara Moja kwa Kuwa issue yoyote ya kuhusu Masuala ya Fedha huwa hataki Hata kusikia kwa Kuwa anajua ndio eneo pekee ambalo Adui hutumia kumchonganisha

Saccos ina Management yake kuanzia Bodi ya Saccos, Mwenyekit Na Katibu , Manager Na Watumishi wengine wakiwemo Signatories wa Accounts zote Za Taasisi Na Kote huko Sheikh hayupo Na hajawahi kuwepo Na Hata Kuwa Mjumbe wa kawaida wa Saccos hiyo alikataa tangu awali


Kama Ni Mtu wa fursa Na kujipendekeza Basi yule aliekuwa anazunguka Na Mzee Ngoyai Sheikh Katimba Basi angekuwa Sheikh Ponda Lakin alikataa Pia
 
SHEIKH PONDA, KUNDECHA, WAANZISHA DES YA KIISLAM,WAWADHULUM WAISLAM.

Mwenyekiti wa Baraza kuu la Taasisi za kiislam Mussa Kundecha kwa kushirikiana na Sheikh Issa Ponda Katibu wa baraza hilo na katibu wa shura ya maimam Tanzania wanamiliki DES inayotumika kuwatapeli waislam hapa Nchini.

Miaka kadhaa iliyopita Viongozi hao wa juu kabisa wa kiislam hapa Nchini kwa kushirikiana na maimam na waumini wa misikitini mingine walianzisha SACCOS ya kiislam iitwayo KUTAYBA SACCOS yenye lengo la kusaidia yatima, wajane na maskini na kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa jamii ya kiislam wakiwemo vijana na kina mama pia kusaidia ukarabati wa misikiti.

Masheikh hawa walipita katika miskiti iliyopo chini ya Baraza kuu kuhamasisha uchangiaji wa waislam kwa lengo la kutunisha mfuko huo ambapo ilikubalika kuwa kila msikiti uchangie Tshs 300,000 kila mwezi kwa muda wa miaka Nane ndipo waumini waanze kunufaika jambo ambalo lilifanyika kwa ufanisi mkubwa kwani maimam nchi nzima waliwahamasisha waumini fedha lukuki zikapatikana.

Kinyume kabisa na matarajio, zaidi ya miaka 12 sasa giza nene limetanda kwani hakuna hata yatima mmoja wala mjane aliyesaidiwa hali iliyowafanya waislam kwa kutumia maimam wao kuhoji nini kinaendelea jambo lililozua sintofaham kubwa.

Jana tarehe 10/04/2019 katika msikiti mmoja jijini Dsm waumini wa kiislam baada ya kuchoshwa na ukimya pamoja na majibu ya kisiasa waliwaita akina Ponda na Kundecha na kufanya nao kikao kuwahoji kinachoendelea kwny DES hiyo maana imepita miongo kadhaa sasa na waislam wanachangishwa fedha kila uchao lakini hakuna mtu yeyote aliyenufaika na mfuko huo.

Kwa mshangao mkubwa masheikh hao walishindwa kutoa maelezo ya kuridhisha huku wakieleza kuwa hakuna fedha yoyote kwenye SACCOS hiyo ya KUTAYBA.

Waumini walishangazwa na majibu hayo ya kisiasa huku wakieleza kuwa hakuna mwezi hata mmoja waliokosa kuchangia fedha katika mfuko pamoja na kupokea na kutekeleza maagizo mbalimbali ya kidini na kisiasa yanayotolewa na viongozi wao hao.

My take: Tunaomba serikali iingilie kati kadhia hii kwani nyumba za ibada zimevamiwa na mchwa.

Umetumwa na BAKWATA mpuuzi mkubwa wewe. Umesikia waliotoa hizo fedha wamelalamika?. Hujui kinachoendelea. Funga bakuli lako
 
Yatima wangapi wameshasaidiwa?
Hata DEC ilijificha kwenye imani

Hiyo Saccos wanachama wanaweka na kukopa haihusiki na mayatima,japo hata Mimi nimesikia tetesi za hiyo Saccos kuanza kufilisika sababu ikiwa wanachama kutorudisha mikopo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom