Angekuwa Baba yako mzazi ndiye amekufa ungethubutu kuandika hayo ulio yaandika hapa!?heri wenye moyo safi maana watamuona mungu......
moyo wa sheikh ulikuaje? anajua allah.....
Sheikh mkuu wa mkoa wa Tabora, Sheikh Mavumbi amefariki Dunia leo asubuhi mjini Tabora na mazishi yanatarajiwa kuwa Kesho mjini Tabora.