TANZIA Profesa Henry Mgombelo wa UDSM afariki dunia

Championship

JF-Expert Member
Aug 7, 2019
5,499
10,540
Mwaka 2016 niliingia ofisini kwake pale CoICT nikitaka aniandikie reference letter nilipokuwa naenda kusoma University of Manchester.

Sasa nikakuta amefungua JamiiForums, anatoa michango yake kwenye majukwaa mbalimbali. Aliwahi kunifundisha kozi kadhaa za Telecom Engineering nilipokuwa CoET.

Pia aliwahi kuwa mbunge huko Tabora miaka ya nyuma. Leo nimeona tangazo kwamba amefariki dunia. Rest in peace prof.

IMG-20240313-WA0000.jpg
 
Mwaka 2016 niliingia ofisini kwake pale CoICT nikitaka aniandikie reference letter nilipokuwa naenda kusoma University of Manchester.

Sasa nikakuta amefungua JamiiForums, anatoa michango yake kwenye majukwaa mbalimbali. Aliwahi kunifundisha kozi kadhaa za Telecom Engineering nilipokuwa CoET.

Pia aliwahi kuwa mbunge huko Tabora miaka ya nyuma. Leo nimeona tangazo kwamba amefariki dunia. Rest in peace prof.

View attachment 2933369
Apumzike kwa amani
 
Mwaka 2016 niliingia ofisini kwake pale CoICT nikitaka aniandikie reference letter nilipokuwa naenda kusoma University of Manchester.

Sasa nikakuta amefungua JamiiForums, anatoa michango yake kwenye majukwaa mbalimbali. Aliwahi kunifundisha kozi kadhaa za Telecom Engineering nilipokuwa CoET.

Pia aliwahi kuwa mbunge huko Tabora miaka ya nyuma. Leo nimeona tangazo kwamba amefariki dunia. Rest in peace prof.

View attachment 2933369

The end of something good💔

Rest well Professor Mgombelo
 
Back
Top Bottom