Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,499
- 10,540
Mwaka 2016 niliingia ofisini kwake pale CoICT nikitaka aniandikie reference letter nilipokuwa naenda kusoma University of Manchester.
Sasa nikakuta amefungua JamiiForums, anatoa michango yake kwenye majukwaa mbalimbali. Aliwahi kunifundisha kozi kadhaa za Telecom Engineering nilipokuwa CoET.
Pia aliwahi kuwa mbunge huko Tabora miaka ya nyuma. Leo nimeona tangazo kwamba amefariki dunia. Rest in peace prof.
Sasa nikakuta amefungua JamiiForums, anatoa michango yake kwenye majukwaa mbalimbali. Aliwahi kunifundisha kozi kadhaa za Telecom Engineering nilipokuwa CoET.
Pia aliwahi kuwa mbunge huko Tabora miaka ya nyuma. Leo nimeona tangazo kwamba amefariki dunia. Rest in peace prof.