Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
sasa msimamo wako ni upi?Ila anaongea kwa data huyu Sheikh haongei kwa porojo!
sasa msimamo wako ni upi?Ila anaongea kwa data huyu Sheikh haongei kwa porojo!
nambie nani analipa mishahara ya madaktari wa bugando ama kcmc?,seminary gani imejengwa kwa kodi za watz?Zitaje hapa.Chuo cha kiislamu morogoro kimejengwa kwa kodi za wananchi,hili hujakanusha.Magufuli katumia ofisi ya UMMA kuwaombea mjengewe msikiti,hili pia hujakanusha.
Huwa anawapa usia wasivunje Muungano wa Tanganyika na Zanzibarkama kwamba hujui jinsi wakatolic wanavyooperate..
Nambie huyo pengo huwa anaongea nini na wagombea wetu wa urais,kabla na ama baada ya uchaguzi
Jibu swali, Chadema inaingiaje kwenye malalamiko yenu kuwa mnabaguliwa na Rais? Au hayo majini mnayofuga yameshakuwehusha? Kama akili zenyewe ndiyo hizi mimi nasema mbaguliwe tu.Wewe punguani kweli Chadema inakuuma sana kutajwa? Hivi wewe na Mtei nani ana uchungu na Chadema? Acha unafiki wewe.
Ninapoishi muislamu ni mimi tuu na familia yangu. Walionizunguka ni wakristo.Umelishwa upuuzi na ujinga huu umekuingia mpaka kwenye mifupa na kutafuna akili na ufahamu wako wote, kama ulikuwepo. Povu loooote hili, linaashiria kuwa hukwenda shule na kama ulikwenda, basi hukuelimika. Nina mashaka pia na jamii inayokuzunguka. Ama imeshindwa kukusaidia au nayo inafanana na wewe, kitu ambacho siyo rahisi. Pole sana.
Inaonesha unachuki sana na waislamu au sijui waarabu. Hata hapa kwetu na wasomi wengi wakristo tulionao tumevumbua nini zaidi ya umasikini. Nadhani unaota mchana.Tanzania ina wasomi wengi Waislamu wanatoka wapi jamani? Ratio iliotolewa ni Wakristo 1000 kwa waislamu100 (1000:100 ).Watu wengine wanakurupuka tu toka usingizini na kudaia Waislamu wasomi ni wengi.Hakuna asiefahamu kuwa Waislamu wamewekeza kwenye dini na sio kwenye elimu ya kawaida.Angalia waasisi wa dini ya kiislamu Waarabu walivyojisahau kuwekeza kwenye elimu ya kawaida kumewagharimu kwa kuwa wa mwisho duniani baada ya Waafrika katika nyanja ya sayansi na teknologia.Kila kitu Mwarabu anatumia elimu ya mzungu katika kila kitu katika maisha yake yote.Vivyo hivyo na waislamu wengine popote walipo ikiwemo Tanzania wamewekeza zaidi kwenye dini kuliko elimu ya kawaida.Kwa hapa Tanzania hakuna asiejue kuwa waislamu kwenye mitihani ya sekondari miaka yote wanashika mkia katika ufaulu.Watoto wao wametiliwa mkazo kusoma madrasa zaidi kwa hiyo wanachopanda ndio hicho watakachovuma.Waache kulalamika bila sababu kwanza kulalamika kuna justify kuwa hawa watu kweli ni wanyonge kielimu!!
Nani kakwambia gharama za uendeshaji zinakuwa covered na MOU?Au kwako mishahara ndio gharama za uendeshaji?nambie nani analipa mishahara ya madaktari wa bugando ama kcmc?,
pesa za mapato ya huduma za afya zinatumika kwa kazi gani,kama gharama za uendeshaji zinakua covered na pesa za MOU?
was just a joke dont take it serious !!!!kama list ni ya tz nzima basi wasomi wa kiislamu bado ni wachache ukilinganisha na wa dini nyingine
Wengi wao doctorate zoo ni za kuunga ungaSikujua kama kuna PhD holders wa kislam wengi namna hii, tena kwa fani ngumu kabisa.
Huu uzi hautapata wachangiaji!
anatafuta balance of powerHuyu Halifa kuna kitu anatafuta, atakipata mda si mrf..
Lengo ni kuliondoa kanisa moja katika utawala wa taifa lenye imani nyingi,wanaoamini mungu na wasioamini pia.Ratio hii ya sasa baina ya dini hizi haijawahi kufikiwa tangu/hata enzi ya Nyerere
Suala je ni coincidence,accident or deliberate
Ukichukualia background yake ya Catholic Seminary ratio ya Catholics na Wakristo wengine ikoje? ( are in for a surprise here)
Siku zote Mimi najua bibi wewe si mwanaccm kindakindaki Bali upo kupigania wana ccm wakidini yako ndiyo maana bila haya umeonyesha ulipoegemea. Ushauri wangu kwako anzisheni cha cha siasa cha kiisalam kama ilivyokuwa cuf kabla ya kumegukaKweli kabisa, huwa anaangalia dini ya watu.
Lengo ni kuliondoa kanisa moja katika utawala wa taifa lenye imani nyingi,wanaoamini mungu na wasioamini pia.
Roma imejisahau sana na kuona bado wao ndiyo watawala,biashara ya utumwa ilikwisha na walishatawala kwa zaidi ya miaka 100,imetosha.