Rapha
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 634
- 200
Nimekuwa nikiangalia taarifa mbalimbali za habari na kuangalia pia picha za huyu jamaa. Nimestushwa zidi kuwa huyu jamaa aliwahi kuwa mwanjeshi! Hilo sio baya sana ila kwa hili la kutumia alama ya CDM linanipa wasiwasi kidogo!
Soon mtasikia chama hiki kinahusishwa na huyu jamaa! Inawezekana kabisa ukawa mpango mkakati wa jumuiya hii ya JUMIKI hasa Sheikh Farid kupandikizwa kama mbegu ya CHUKI dhidi ya Watanzania kuamini kuwa CDM ni chama chenye vurugu!
I might be wrong but we have to connect the dots! Kwa nini anatumia alama hii maarufu kwa chadema hasa wakati huu akiwa anamulikwa sana na vyombo vya habari. Kwenye siasa wanasema kuna mchezo mchafu! Is this one of the dirty game? am just thinking!
Hata freemansonry wanaitumia hiyo alama!!