johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Kaimu Mufti Shehe Ali Ngeruko amewataka Umma wa Waislamu na wasio Waislamu kuachana na Imani potofu ya Kumchinja Binadamu mwenzako Ili kujipatia Utajiri na Madaraka
Kuna Watu bado wanauwa Watoto wao kwa Imani ya kujipatia Utajiri na Madaraka na Ili wawe Watu Maarufu katika jamii hapa Duniani, amesema Shehe
Shehe Ngeruko amesema Baba wa Imani alishahitimisha ubaradhuri huo pale alipomchinja Kondoo badala ya mwanae Ismaili
Hivyo Shehe amewasihi sana wale waliochinja Watoto kwa Imani ya kale ya mungu wa Bahari na kuwachimbia kwenye Nguzo za Nyumba zao kufanya toba na kumrejerea Mwenyezi Mungu wa mbinguni
Source: TBC
Kuna Watu bado wanauwa Watoto wao kwa Imani ya kujipatia Utajiri na Madaraka na Ili wawe Watu Maarufu katika jamii hapa Duniani, amesema Shehe
Shehe Ngeruko amesema Baba wa Imani alishahitimisha ubaradhuri huo pale alipomchinja Kondoo badala ya mwanae Ismaili
Hivyo Shehe amewasihi sana wale waliochinja Watoto kwa Imani ya kale ya mungu wa Bahari na kuwachimbia kwenye Nguzo za Nyumba zao kufanya toba na kumrejerea Mwenyezi Mungu wa mbinguni
Source: TBC