tulikua tunawasiliana kabla ya kuonana na baadaye tukapanga kukutana na kuishia kuwa wapenzi,ni mwaka miwili sasa niko nae. mwanzoni sikuona tatizo,tatizo lilianza pale yeye mwenyewe alipanza kulalamikia ufupi wake. ninapofikiria kusonga nae mbele hicho ndo naona kikwazo kwangu. sasa ananishinikiza nikajitambulishe kwao .nashindwa kufanya maamuzi..ni msichana kutoka tanga