Masharobaro ni hatari hata kwa babu loliondo walidai mrija wa kunywea dawa.
Masharobaro ni hatari hata kwa babu loliondo walidai mrija wa kunywea dawa.
Ahahahaaah!!Masharobaro ni hatari hata kwa babu loliondo walidai mrija wa kunywea dawa.
Ahahaaah!! Hii kali zaidi...Gombs kwenye mabomu alitaka akaoge kwanza ndo akimbie wakati mabomu yanalipuka
Wanasema eti ni "mabitozi"Hao "sharobaro" ndio watu/vijana wa aina gani tena!?
Hao "sharobaro" ndio watu/vijana wa aina gani tena!?
Gombs kwenye mabomu alitaka akaoge kwanza ndo akimbie wakati mabomu yanalipuka
Daa napenda sana vituko vyao. Kuna yule alipolwa sim akawaa anasema hata line BaaB